HESLB Mikopo kuunganishwa na NIDA, TIN, Passport na kadi za benki

Mtazamo ubadilike mikopo itolewe kwa vijana wasomee ujuzi wasomee ujasiliamali vyuo vya maendeleo ya Jamii au veta,mkopo wa mwanachuo kikuu mmoja unaweza ukawapa wanaveta 70 ambao wataingia mtaani kuzalisha Ili kuchochea uchumi,, kuliko kupeleka elimu ya juu wakariri theory then wanarudi mtaani useless kuendesha boda boda na umachinga,huku Kodi zetu zimepotea.
Kurundika vyuo vikuu vingi nchini ni kuongeza idadi ya masikini nchini.
 
Sasa Passport inahusiana vipi na mkopo? Alaf mbona wanaolipa ni wachache hivyo kulinganisha na waajiriwa.
endelea na maswali ya ki-MATAGA siku Majembe auction Mart wakija hapo kuuza hicho kibanda cha urithi ndiyo utaelewa ninachotahadharisha hapa, haya mwenyewe naskia anaelekea INDIA akitokea NAIROBI, tuendelee na mfungo wa siku 21 na wenzetu TAG
 

Ndani hakukuwa na vyuo au ni kutafuta kujimwambafy?? Moto utawawakia na bado watakunywa sana banana
 
Ndani hakukuwa na vyuo au ni kutafuta kujimwambafy?? Moto utawawakia na bado watakunywa sana banana
1.Kuna kozi nyingi sana hapa ndani hakuna kabisa, yani kwa namna yeyote lazma ukasome nje ya nchi.

2. kusoma nje ama ndani ni uamuzi wa mtu, mfano oil and Gas juzi hapa ndio UDOM na UDSM wameleta ila watu walikuwa wanaifuata hiyo kozi south Afrika na UK.

3.
 
WASISAHAU KUUNGANISHA NA MPESA SASA!!!
 
WASISAHAU KUUNGANISHA NA MPESA SASA!!!
Kumbuka kuna watu wnakatwa 150,000 kwa mwezi na kuna watu wamejiajiri wanapata fedha nyingi hawakatwi kwakuwa BODI haijui walipo.
Ifike wakati nyie wazalendo mumsaidie Magufuli kwenye utambuzi wa watu hao ili fedha za maendeleo zipatikane.
 
Huyu ni Mimi kabisa Mkuu, Kula ni shida, kupata Kodi ni shida hicho kiwango ni Kikubwa sana
 
Majembe Auction Mart wazee wa Kazi utawapa hayo majibu wakati ukifika.
 
JF acheni uFala. Mnafuta baadhi ya nyuzi na comments sijui ili muwafurahishe nani.
 
JF acheni uFala. Mnafuta baadhi ya nyuzi na comments sijui ili muwafurahishe nani.
usitukana ndugu, toa malalamiko kwa staha, huenda kuna sheria yao umekiuka , labda sijasema kwamba umekiuk.
 
una point nzuri sana, watoto wangu nimesomesha huko Moshi kwa milioni 3 kwanini nije kuwakopea milioni moja ambayo watalipa kwa riba?

Tumezoea vya bure sasa vinatutokea puani.
Kwani sasa hivi wanaoumia wazazi au watoto?
Kama mzazi una pesa hata mtoto amalize chuo huwezi kumtegemea.

Tatizo watoto wa masikini tu hapa,ndiyo wanateseka.

Serikali iangalie background ya mdaiwa ndiyo ijue itamkata vipi na siyo wote masikini na matajiri wakatwe sawa.
 
Abdul Razak tuligoma naye UDSM 1994 hadi chuo kikafungwa.Tuligomea hii mikopo wakati huo ikiitwa "cost sharing".Tuliiona mapema kwamba italeta taharuki baadae....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…