Hey naombeni ramani ya kufika maeneo haya nakuja Dar Jumatatu

Hey naombeni ramani ya kufika maeneo haya nakuja Dar Jumatatu

Kuwa makini sana na kuwaamini watu humu ndani ya jukwaa, usizani wote wema,utapigwa mapema kabla hata hujafika, ukitegemea unatokea njombe

Cha kukushauli mbona huko kwenu njombe kuna watu wengi tu wanaokuja dar, umeshindwa kuwauliza? Ukishindwa sana muulize konda ndani ya basi akutafutie kijana pale magufuri stend atakayekusaidia kukutafutia guest mpaka kukupeleka k/koo, maana huyo lazima atakuwa mtu wa njombe kama wewe, huku Dar hata polisi wezi kuwa makini
 
Jamani naombeni mnipe ramani, yani nakuja Dar natokea Njombe.

Natarajia kuingia Dar stand ya Magu saa 1 usiku naombeni mnielekeze guest( cheap) ya karibu na pale.

Kesho yake nitatarajia kwenda K,koo - hapa naomb mnitajie ntapand hiace zipi Hadi nifike Kariakoo(yani Ile center ya biashara).

Baada ya hapo kuna sehem nasikia ni special Kuna ofisi za usafirishaji wa mizigo mikoani naombeni mnielekeze pia nipand dldala zipi( kama zipo) kutok Kariakoo Hadi nifike kweny ofisi hizo.

Nitawashukuru sana Kwa miongoz mtakayonipa.🙏
Ntafute Pm nikusaidie.Nipo Njombe Mji mwema mtaa wa Mtazamo.Ntakupa kijana Akusaidie
 
Unaonekana wew ni mgeni haswa chakukusaidia ukisha shuka ongea na boda akupeleke gest ya bei nzuri ukienda ya bei rahisi sana nako ni changamoto unaweza ingia ndani sana ukapotea ....... kesho yake ulizia boda akuelekeze sehem ya kukatia tuketi ya mwendo kqsi ya gerezani shukia kituo kinacho itwa msimbazi B ..... hapo utakuwa umesha fika .... transport ya njombe ulizia boda pale watalupeleka kamata kwa 2000 ..... mengine utamalizia kulingana na boda utakaye mpata .... kuwa makini kuna baadhi ya watu hku ni matapeli
 
Ukishuka ongea na mtu wa bajaji akupeleke lodge iliyopo Jirani siyo hotel.

Hapohapo Mbezi Louis kuna route za mwendokasi zinaanzia kwenye terminal ya Mbezi Louis uliza line ya mwendokasi Kata ticket za kariakoo shuka Msimbazi karibu na klabu ya Simba tayari upo kariakoo.

Kama ndio Mara ya kwanza kuja Dar ni bora umlipe mtu pesa kidogo akuzungushe kariakoo uwokowe muda na pesa zako ufunge mzigo Urudi zako mapema.

Je unakwenda kariakoo kufunga mzigo gani?
Hahahaha umefafanua vyema
 
Ukishuka ongea na mtu wa bajaji akupeleke lodge iliyopo Jirani siyo hotel.

Hapohapo Mbezi Louis kuna route za mwendokasi zinaanzia kwenye terminal ya Mbezi Louis uliza line ya mwendokasi Kata ticket za kariakoo shuka Msimbazi karibu na klabu ya Simba tayari upo kariakoo.

Kama ndio Mara ya kwanza kuja Dar ni bora umlipe mtu pesa kidogo akuzungushe kariakoo uwokowe muda na pesa zako ufunge mzigo Urudi zako mapema.

Je unakwenda kariakoo kufunga mzigo gani?
Huyu atakuwa kaja kununua nguo tu na sandles
 
Usijichanganye kuomba maelekezo toka kwa watu...utapigwa ushangae,wenyeji wa Dar bado wanaibiwa...tafuta kijana wa huko Njombe anayeifahamu Dar na kariakoo vzr...mlipe safiri nae asubuhi amkieni K/koo funga mzigo mrudi Njombe...ukifanya hivyo mara 2 tatu utapata uzoefu,...kinyume na hapo,utapotea pale pale k/koo...utampa mtu mzigo akubebee huyo mtu atayeyuka kama mwewe...fanyia kazi huu ushauri ili uwe salama.
 
Usijichanganye kuomba maelekezo toka kwa watu...utapigwa ushangae,wenyeji wa Dar bado wanaibiwa...tafuta kijana wa huko Njombe anayeifahamu Dar na kariakoo vzr...mlipe safiri nae asubuhi amkieni K/koo funga mzigo mrudi Njombe...ukifanya hivyo mara 2 tatu utapata uzoefu,...kinyume na hapo,utapotea pale pale k/koo...utampa mtu mzigo akubebee huyo mtu atayeyuka kama mwewe...fanyia kazi huu ushauri ili uwe salama.
Hii nondo watu wengi wametumia wageni wa jiji.
 
Jamani naombeni mnipe ramani, yani nakuja Dar natokea Njombe.

Natarajia kuingia Dar stand ya Magu saa 1 usiku naombeni mnielekeze guest( cheap) ya karibu na pale.

Kesho yake nitatarajia kwenda K,koo - hapa naomb mnitajie ntapand hiace zipi Hadi nifike Kariakoo(yani Ile center ya biashara).

Baada ya hapo kuna sehem nasikia ni special Kuna ofisi za usafirishaji wa mizigo mikoani naombeni mnielekeze pia nipand dldala zipi( kama zipo) kutok Kariakoo Hadi nifike kweny ofisi hizo.

Nitawashukuru sana Kwa miongoz mtakayonipa.🙏

Sasa huko Kariakoo si ndio utapotea au kuingizwa mjini na wazee wa jiji?
 
1. Tumia akili yako vizuri sana.
2. Angalia usije geuzwa fursa.

Tafuta Guest maeneo hayo hayo ya Stand/kimara, mapema tafuta mwendo kasi.

Huna haja ya maelekezo, ukitumia akili vizuri kuuliza na kukwepa kugeuzwa fursa utagundua hupaswi uliza huku jamii forum.
Watu wema wapo sanaaa tuu & vice versa is true
 
Sasa huko Kariakoo si ndio utapotea au ku8ngizwa mjini na wazee wa jiji?
Yaan ukiwa kariakoo Alone for the first time ever in your life it's challenging a lot mzeeya........

Kwanza magorofa marefu marefu kupata north direction ni kimbembe..........

Ili mentality ya kimkoa mkoa ikutoke na kuizoea kariakoo it takes much time kama miezi mitatu mpaka sita au mwaka inategemea na your sharpness....

Ofcourse kariakoo ili kui master na kuiweka kiganjani mwako ni kua hapo muda mrefu sana am 4 real
 
Inabidi mumshauri pia afungue App ya hiyo Bolt kwenye simu yake ili imrahisishie mizunguko yake. Na uzuri ataamua mwenyewe achukue Bolt ya bodaboda, bajaj, au gari.
Mnahis kila mtu ni bilionea?
 
Back
Top Bottom