Hey naombeni ramani ya kufika maeneo haya nakuja Dar Jumatatu

Hey naombeni ramani ya kufika maeneo haya nakuja Dar Jumatatu

Kuwa makini sana na kuwaamini watu humu ndani ya jukwaa, usizani wote wema,utapigwa mapema kabla hata hujafika, ukitegemea unatokea njombe

Cha kukushauli mbona huko kwenu njombe kuna watu wengi tu wanaokuja dar, umeshindwa kuwauliza? Ukishindwa sana muulize konda ndani ya basi akutafutie kijana pale magufuri stend atakayekusaidia kukutafutia guest mpaka kukupeleka k/koo, maana huyo lazima atakuwa mtu wa njombe kama wewe, huku Dar hata polisi wezi kuwa makini
Mtu kuja huku kuomba ushaur maana yake kashajipanga tyr , hkn kijiji Tz kinawashamba wa uzaniavyo , watu walishaamka , jichanganye utapeliwe ww
 
Jamani naombeni mnipe ramani, yani nakuja Dar natokea Njombe.

Natarajia kuingia Dar stand ya Magu saa 1 usiku naombeni mnielekeze guest( cheap) ya karibu na pale.

Kesho yake nitatarajia kwenda K,koo - hapa naomb mnitajie ntapand hiace zipi Hadi nifike Kariakoo(yani Ile center ya biashara).

Baada ya hapo kuna sehem nasikia ni special Kuna ofisi za usafirishaji wa mizigo mikoani naombeni mnielekeze pia nipand dldala zipi( kama zipo) kutok Kariakoo Hadi nifike kweny ofisi hizo.

Nitawashukuru sana Kwa miongoz mtakayonipa.🙏
Naomba nije kukupokea, mgeni karibu.
 
Kama mizigo yako inaenda njombe utanicheki mwanetu.

Nina hizi gari
Mabeva cargo-hii inaingia hadi ludewa

Lusitu cargo-hii inaingia hadi njombe mjini stendi ya zamani pale karibu na soko jipya

Don_cargo- hii inaingia hadi njombe mjini stendi ya zamani.

Ukinunua hiyo mizigo nicheki tusafirishe Mnyalukolo

0745645035 (PIGA/SMS/WHATSAPP).
 
Jamani naombeni mnipe ramani, yani nakuja Dar natokea Njombe.

Natarajia kuingia Dar stand ya Magu saa 1 usiku naombeni mnielekeze guest( cheap) ya karibu na pale.

Kesho yake nitatarajia kwenda K,koo - hapa naomb mnitajie ntapand hiace zipi Hadi nifike Kariakoo(yani Ile center ya biashara).

Baada ya hapo kuna sehem nasikia ni special Kuna ofisi za usafirishaji wa mizigo mikoani naombeni mnielekeze pia nipand dldala zipi( kama zipo) kutok Kariakoo Hadi nifike kweny ofisi hizo.

Nitawashukuru sana Kwa miongoz mtakayonipa.🙏
Ukiona unahitaji usaidizi wa kuonyeshwa machimbo ya bidhaa na manunuzi pamoja na ufungaji hadi usafirishaji wa mzigo basi mimi nipo kwaajili yako bravo.

Piga *149*46*30# kwenda vodacom,tigo na airtel bure kabisa.

Dsm -njombe nina hizi gari za kubeba mizigo yako
-Mabeva cargo (hii inaenda hadi ludewa)
-Lusitu cargo
-Don cargo
 
Mnahis kila mtu ni bilionea?
Una uhakika huo usafiri wa bolt unatumiwa na mabilionea? Yaani kuita bodaboda ya bolt kupotia App yao maalum na kulipia elfu 3 ndiyo lazima uwe bilionea!!
 
Ukishuka ongea na mtu wa bajaji akupeleke lodge iliyopo Jirani siyo hotel.

Hapohapo Mbezi Louis kuna route za mwendokasi zinaanzia kwenye terminal ya Mbezi Louis uliza line ya mwendokasi Kata ticket za kariakoo shuka Msimbazi karibu na klabu ya Simba tayari upo kariakoo.

Kama ndio Mara ya kwanza kuja Dar ni bora umlipe mtu pesa kidogo akuzungushe kariakoo uwokowe muda na pesa zako ufunge mzigo Urudi zako mapema.

Je unakwenda kariakoo kufunga mzigo gani?
Umejibu kistaarabu sana na kwa kujali

Subiri Ng'ombe wajuaji waje kumpoteza
 
Msihof naend kuchra mazingira tu nimpang kama safari Tano ivi zitakuwa za kuchora mazingr , nishpata mwenyeji (jamaa yangu) wa kunitembeza Asante kwa mawazo yenu

Nb- Naend kutembea tuu na hayo ni maeneo niliyochgua kutemblea kulngn na future yangu kutak kufny biashr
 
Wewe ni jinsi Gani...?me

Ukishuka ongea na mtu wa bajaji akupeleke lodge iliyopo Jirani siyo hotel.

Hapohapo Mbezi Louis kuna route za mwendokasi zinaanzia kwenye terminal ya Mbezi Louis uliza line ya mwendokasi Kata ticket za kariakoo shuka Msimbazi karibu na klabu ya Simba tayari upo kariakoo.

Kama ndio Mara ya kwanza kuja Dar ni bora umlipe mtu pesa kidogo akuzungushe kariakoo uwokowe muda na pesa zako ufunge mzigo Urudi zako mapema.

Je unakwenda kariakoo kufunga mzigo ga

Ukishuka ongea na mtu wa bajaji akupeleke lodge iliyopo Jirani siyo hotel.

Hapohapo Mbezi Louis kuna route za mwendokasi zinaanzia kwenye terminal ya Mbezi Louis uliza line ya mwendokasi Kata ticket za kariakoo shuka Msimbazi karibu na klabu ya Simba tayari upo kariakoo.

Kama ndio Mara ya kwanza kuja Dar ni bora umlipe mtu pesa kidogo akuzungushe kariakoo uwokowe muda na pesa zako ufunge mzigo Urudi zako mapema.

Je unakwenda kariakoo kufunga mzigo gani?
Siendi kufunga mzigo naenda kupajua
 
Msihof naend kuchra mazingira tu nimpang kama safari Tano ivi zitakuwa za kuchora mazingr , nishpata mwenyeji (jamaa yangu) wa kunitembeza Asante kwa mawazo yenu

Nb- Naend kutembea tuu na hayo ni maeneo niliyochgua kutemblea kulngn na future yangu kutak kufny biashr
Karibu sana mkuu.


Ukitaka kujua maeneo ya magari ya mizigo ya njombe usisite kunicheki.

Mabeva cargo
Lusitu cargo
Don_Cargo
 
Dah! tulioizoea Dar tunachukulia easy ila sio poa wakuu, Jamaa kama ndo first time anapaswa apate mtu ambae amejitolea kwaajili yake maana hivihivi na ili jua asije akajikuta kichwa cha moto kwenye daraja la TipTop
 
Back
Top Bottom