Hey naombeni ramani ya kufika maeneo haya nakuja Dar Jumatatu

Hey naombeni ramani ya kufika maeneo haya nakuja Dar Jumatatu

Baba ww nishaona utaibiwa
Unaongelea hiace dar unafanya watu wakuchoree ramani , mtu atakuja PM kujifanya anajua kila sehemu dar ni ndogo kwa eneo ila ni kubwa kimatukio , ahsante
Ahsante Kwa ushaur pm wamkuj lakin hata kidogo sijihusish na mmoja wao Kwa kusema eti nimfate ila nawaskilz tuu then nachmbua. Kuna mdada mmoj kaniongz ila mipak nilkwa nazingatia
 
Mkuu ni PM ntakuzungusha kariakoo kwa bei nafuu kabisa
 
Back
Top Bottom