Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Je, ulipona kuibiwa?Mamndenyi
haaaa, kumbe bado, mpaka upakie mzigo kwenye fuso ndo uniiteNaomb uelkz vzur
Ndo mana nikakuita mamndenyi kama ulivyodai nikuite nisipoibiwa ila bado Niko mbez njoo uniibie😅
Baba ww nishaona utaibiwaJamani naombeni mnipe ramani, yani nakuja Dar natokea Njombe.
Natarajia kuingia Dar stand ya Magu saa 1 usiku naombeni mnielekeze guest( cheap) ya karibu na pale.
Kesho yake nitatarajia kwenda K,koo - hapa naomb mnitajie ntapand hiace zipi Hadi nifike Kariakoo(yani Ile center ya biashara).
Baada ya hapo kuna sehem nasikia ni special Kuna ofisi za usafirishaji wa mizigo mikoani naombeni mnielekeze pia nipand dldala zipi( kama zipo) kutok Kariakoo Hadi nifike kweny ofisi hizo.
Nitawashukuru sana Kwa miongoz mtakayonipa.🙏
Ukifika hapo stendi ya Magu muombe boda boda akuoneshe guest iko pembezoni na hiyo stendi inaitwa Ganafa lodge gharama ni elfu kumi tu .Jamani naombeni mnipe ramani, yani nakuja Dar natokea Njombe.
Natarajia kuingia Dar stand ya Magu saa 1 usiku naombeni mnielekeze guest( cheap) ya karibu na pale.
Kesho yake nitatarajia kwenda K,koo - hapa naomb mnitajie ntapand hiace zipi Hadi nifike Kariakoo(yani Ile center ya biashara).
Baada ya hapo kuna sehem nasikia ni special Kuna ofisi za usafirishaji wa mizigo mikoani naombeni mnielekeze pia nipand dldala zipi( kama zipo) kutok Kariakoo Hadi nifike kweny ofisi hizo.
Nitawashukuru sana Kwa miongoz mtakayonipa.[emoji120]