Hey naombeni ramani ya kufika maeneo haya nakuja Dar Jumatatu

Mtu kuja huku kuomba ushaur maana yake kashajipanga tyr , hkn kijiji Tz kinawashamba wa uzaniavyo , watu walishaamka , jichanganye utapeliwe ww
 
Naomba nije kukupokea, mgeni karibu.
 
Kama mizigo yako inaenda njombe utanicheki mwanetu.

Nina hizi gari
Mabeva cargo-hii inaingia hadi ludewa

Lusitu cargo-hii inaingia hadi njombe mjini stendi ya zamani pale karibu na soko jipya

Don_cargo- hii inaingia hadi njombe mjini stendi ya zamani.

Ukinunua hiyo mizigo nicheki tusafirishe Mnyalukolo

0745645035 (PIGA/SMS/WHATSAPP).
 
Ukiona unahitaji usaidizi wa kuonyeshwa machimbo ya bidhaa na manunuzi pamoja na ufungaji hadi usafirishaji wa mzigo basi mimi nipo kwaajili yako bravo.

Piga *149*46*30# kwenda vodacom,tigo na airtel bure kabisa.

Dsm -njombe nina hizi gari za kubeba mizigo yako
-Mabeva cargo (hii inaenda hadi ludewa)
-Lusitu cargo
-Don cargo
 
Mnahis kila mtu ni bilionea?
Una uhakika huo usafiri wa bolt unatumiwa na mabilionea? Yaani kuita bodaboda ya bolt kupotia App yao maalum na kulipia elfu 3 ndiyo lazima uwe bilionea!!
 
Umejibu kistaarabu sana na kwa kujali

Subiri Ng'ombe wajuaji waje kumpoteza
 
Msihof naend kuchra mazingira tu nimpang kama safari Tano ivi zitakuwa za kuchora mazingr , nishpata mwenyeji (jamaa yangu) wa kunitembeza Asante kwa mawazo yenu

Nb- Naend kutembea tuu na hayo ni maeneo niliyochgua kutemblea kulngn na future yangu kutak kufny biashr
 
Wewe ni jinsi Gani...?me


Siendi kufunga mzigo naenda kupajua
 
Karibu sana mkuu.


Ukitaka kujua maeneo ya magari ya mizigo ya njombe usisite kunicheki.

Mabeva cargo
Lusitu cargo
Don_Cargo
 
Dah! tulioizoea Dar tunachukulia easy ila sio poa wakuu, Jamaa kama ndo first time anapaswa apate mtu ambae amejitolea kwaajili yake maana hivihivi na ili jua asije akajikuta kichwa cha moto kwenye daraja la TipTop
 
nipe umri wako na kama upo serious njoo PM najitolea kukutembeza, wekend nakuwaga free.
Aaaaahh we mzee, PM ya nini tena? Tafadhali usimfanye huyu jamaa fursa kwa kumkomba pesa yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…