Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Hezbollah ilisubiriwa kuingia kwenye vita, kiongozi wao kabwatuka mikwara kisha kaenda kulala zake

Anaye ingiza udini ni nani si nyie. We kama uko sawa kichwani utafurahi kuona watu wasio na hatia wanauliwa na unafahamu wazi adui yako yuko kwenye bunkers kama mnavyosema mbona hamumfati na bunduki, au vifaru mnaenda piga hospital.

Nyie ndio mnaosema Israel taifa teule, yani taifa teule linalindwa na America na Europe šŸ˜„ si mnasema Mungu wenu wa bibilia analilinda, sa vipi ulie kila siku unaomba pesa toka America na silaha mkiambiwa nyie machizi mnabisha.

Unajua hapo Israel kuna waislam wanaoipiga Hamas?
Hiyo ni vita baina ya Israel na Palestina.
Na kama ingekuwa dini basi ingekuwa Wayahudi Vs Waislamu.
Sasa kwa nini mnawaingiza Wakristo ambao hawahusiki katika vita vyenu.

Au mmezoea kuwachezea Wakristo na kwa vile wakristo imani yao inawataka kuwasamehe mpaka mashetani, na machizi ndio mnataka kuhamisha hasira zenu kwao.

Wayahudi kanuni zao mnazijua. Hawacheki na kima, na mkileta uchizi wanawaonyesha kuwa wao ni machizi mara elfu kuwashinda.

Watibeli sisi tunawaona ninyi mnaodhulumiwa ni Wapuuzi kwa sababu hamna akili. Mngekuwa na akili wala msingekuwa mnafanyiwa hayo
 
Tatizo la waarabu ni waoga. Matamko mengi kujificha kwingi. Matendo sifuri.

Tunasubiri Hao Hezibola waingie naamini nao watafurahishwa tena ndani ya nchi ya Lebanon. Hesabu za Wayahudi zinajulikana.
Kisasi chao kinafahamika.
Kwa hiyo wanakaribishwa kuonja Sumu.

Badala Waarabu waungane kupambana na dhalimu Israel yao yenyewe yanakalia kubweka kama mbwa Koko. Upuuzi tuu
Mkuu mbona unachukilia mambo kirahisi sana šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€hao Hizbulah karibia kila siku wana pambana na wanajeshi wa Israel mpakani tangu hamas ifanye shambulizi na pande zote zimepoteza wapiganaji.
Alafu kingine unacho takiwa kujua hawa Hizbulah walisha pigana vita na Israel mwaka 2006na wakaifurusha Israel kwenye ardhi ya Lebanon aliyo kuwa ameiteka kutoka kwa jeshi la Lebanon kwa hiyo usiwachukie poa.

Achana na Hizbulah Israel haitaweza hata kuiondoa gaza hii hamas ambao yupo anapambana nayo sasa hivi.
 
Mkuu mbona unachukilia mambo kirahisi sana šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€hao Hizbulah karibia kila siku wana pambana na wanajeshi wa Israel mpakani tangu hamas ifanye shambulizi na pande zote zimepoteza wapiganaji.
Alafu kingine unacho takiwa kujua hawa Hizbulah walisha pigana vita na Israel mwaka 2006na wakaifurusha Israel kwenye ardhi ya Lebanon aliyo kuwa ameiteka kutoka kwa jeshi la Lebanon kwa hiyo usiwachukie poa.

Achana na Hizbulah Israel haitaweza hata kuiondoa gaza hii hamas ambao yupo anapambana nayo sasa hivi.

Unajua kwa nini Mpaka sasa Israel ipo hapo ilipo?
Unajua mwaka 1948 Israel ilikuwa inamiliki kiasi gani cha ardhi hapo Palestina?
Mpaka sasa hivi kati ya Israel na Palestina nani anamiliki eneo kubwa hapo Palestina?

Kama Hezibola na hao Hamas na waarabu kwa ujumla na Iran wangekuwa na nguvu ya aina yoyote ile hata hiyo ya kimungu basi Israel wasingekuwa hapo walipo.
Lakini kwa sababu hawana nguvu yoyote ndio maana unasikia kuwa Israel inanyanyasa Waarabu hapo Palestina n mashariki ya kati.

Huwezi mnyanyasa mtu aliyekuzidi nguvu.
Tatizo haya mambo mnayachukulia kishabiki.
 
Aiseeeeee, naona hasira za mama yako kufukuzwa na kubomolewa sehemu yake anapofanyia biashara na DC wa Kinondoni unanihamishia mimi. We nilishakupuuza, ngoja nikuweke kwenye ignore list.
Na mwaka huu mtakufa njaa maana charamila kaja kuharibu sehemu ya mama yako kupata buku 2 ya kukulisha ww na wadogo zako.

Cha kukusaidia njoo nyumbani nina ka single kamoja mje mjiifadhi na ugali mtapata ila sharti ww uwe mke wangu mdogo.
 
Unajua hapo Israel kuna waislam wanaoipiga Hamas?
Hiyo ni vita baina ya Israel na Palestina.
Na kama ingekuwa dini basi ingekuwa Wayahudi Vs Waislamu.
Sasa kwa nini mnawaingiza Wakristo ambao hawahusiki katika vita vyenu.

Au mmezoea kuwachezea Wakristo na kwa vile wakristo imani yao inawataka kuwasamehe mpaka mashetani, na machizi ndio mnataka kuhamisha hasira zenu kwao.

Wayahudi kanuni zao mnazijua. Hawacheki na kima, na mkileta uchizi wanawaonyesha kuwa wao ni machizi mara elfu kuwashinda.

Watibeli sisi tunawaona ninyi mnaodhulumiwa ni Wapuuzi kwa sababu hamna akili. Mngekuwa na akili wala msingekuwa mnafanyiwa hayo
Tatizo nyie wakristo mnajidai ni watu wa imani, kwanza imani ipi mnayo, ikiwa Mungu aliye umba mbingu na ardhi na kila kitu mnamfananisha na binadamu.

Aliye leta balaa hapo Palestine ni nani kama si mkristo aliye waleta waisrael hapo, wao walisha wachoka wakaona waje watupandikizie taifa teule la Paulo šŸ˜„

Eti sisi wakristo hebu toa tamko wapi ukristo ni dini, mnabudu picture la mzungu kila kanisani eti Yesu, kwani Yesu aliwambia yeye Mungu.

Afu bibilia inawambia aliye tundikwa kwenye msalaba ana lana, nyie ndio kwanza mnaukumbatia, wako wanaushikilia, wako wanauvaa, wako wanaupa mgongo. Wako wanauweka mbele hamfahamiki kabisa.

Mara Alpha omega mara sijui mtoto wa bikira Mariam sa nani alikuja mwanzo Yesu au mama yake nikiwambia nyie vichaa mnabisha.
 
Unajua kwa nini Mpaka sasa Israel ipo hapo ilipo?
Unajua mwaka 1948 Israel ilikuwa inamiliki kiasi gani cha ardhi hapo Palestina?
Mpaka sasa hivi kati ya Israel na Palestina nani anamiliki eneo kubwa hapo Palestina?

Kama Hezibola na hao Hamas na waarabu kwa ujumla na Iran wangekuwa na nguvu ya aina yoyote ile hata hiyo ya kimungu basi Israel wasingekuwa hapo walipo.
Lakini kwa sababu hawana nguvu yoyote ndio maana unasikia kuwa Israel inanyanyasa Waarabu hapo Palestina n mashariki ya kati.

Huwezi mnyanyasa mtu aliyekuzidi nguvu.
Tatizo haya mambo mnayachukulia kishabiki.
Mkuu hakuna sehemu niliyo sema Israel haina nguvu, Israel ina nguvu tu za kawaida kama nchi nyingine nyingi tu na sio kama mnavyo tuaminisha.

Nilicho pinga ni hoja yako ya kusema eti Israel inaweza kuipiga Hizbulah na kufukuza Lebanon yaani umeongea jambo hilo kana kwamba utekelezaji wake ni rahisi sana.

Israel iliteka ardhi kubwa mwaka 1967 baada ya kuzipiga pigo la kushutukiza nchi tatu za kiarabu yaani misri ,Jordan na Syiria ,mwaka 1972 misri ikaanzisha vita kulirudisha eneo lake la sinai na ikafanikiwa kulirudisha, miaka ya 80 Israel ikaivamia Lebanon na kuliteka eneo lake Israel ikaja kutemeshwa hilo eneo na Hizbulah.

Alafu mbona huwa mnarazimisha matatizo ya wapalestina yawe ya waarabu wote?
Kwani nyinyi ndani ya bara lenu la Africa kuna nchi ngapi zenye vita na mateso mbona hamjawahi kuyachukulia matatizo ya waafirika wenzenu kwenye nchi hizo kuwa ni ya waafirika wote,ila iwe kwa waarabu?

Hapo wanao nyanyaswa na kunyanganywa ardhi yao ni wapalestina na sio waarabu wote suala la kuwa saidia ni uwamuzi wa nchi hisika tu na sio razima kwa kigezo cha uarabu.
 
Haya mapicha yatawasaidia nini, jana mlituaminisha mtatangaza vita, mumeambulia kupachika mapicha humu na mzee wenu wa hezbollah kalala zake.
Yaani Lebanon inabidi iwe makini sana maana ikijichanganya itafanywa shamba, Israel wapo kwenye harakati za kuhakikisha hili tatizo limetatuliwa kwa miaka 100 ijayo.
Kimsboy alikuwa very excited akawa anatupa update za masaa, lakini hotuba ikaishia kuwa great disappoinment.
 
Sasa ww hata ukiwaonea huruma utabadilisha nini ?
Ww endelea kutapika mavi tu hapa jf tu
Jionee huruma mwenyewe usiye jua utakula nn jioni wapalestina hawahitaji huruma yako.
Zile freee palestina na kulia lia kote mnajitoa ufahamušŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†. Ni hivi hata mim ukinichokoza ni jino kwa jino hakuna kumuacha gaidi kizembe. Nimekuvuruga naona. Israel fanya kweli wapalestina wa buza huku washaanza kusanda
 
Mkuu hakuna sehemu niliyo sema Israel haina nguvu, Israel ina nguvu tu za kawaida kama nchi nyingine nyingi tu na sio kama mnavyo tuaminisha.

Nilicho pinga ni hoja yako ya kusema eti Israel inaweza kuipiga Hizbulah na kufukuza Lebanon yaani umeongea jambo hilo kana kwamba utekelezaji wake ni rahisi sana.

Israel iliteka ardhi kubwa mwaka 1967 baada ya kuzipiga pigo la kushutukiza nchi tatu za kiarabu yaani misri ,Jordan na Syiria ,mwaka 1972 misri ikaanzisha vita kulirudisha eneo lake la sinai na ikafanikiwa kulirudisha, miaka ya 80 Israel ikaivamia Lebanon na kuliteka eneo lake Israel ikaja kutemeshwa hilo eneo na Hizbulah.

Alafu mbona huwa mnarazimisha matatizo ya wapalestina yawe ya waarabu wote?
Kwani nyinyi ndani ya bara lenu la Africa kuna nchi ngapi zenye vita na mateso mbona hamjawahi kuyachukulia matatizo ya waafirika wenzenu kwenye nchi hizo kuwa ni ya waafirika wote,ila iwe kwa waarabu?

Hapo wanao nyanyaswa na kunyanganywa ardhi yao ni wapalestina na sio waarabu wote suala la kuwa saidia ni uwamuzi wa nchi hisika tu na sio razima kwa kigezo cha uarabu.
Ulicho kiandika hapa ndicho watu tulikua tunakisemea kuwa sisi hatuiombei palestina wala muarabu yeyote kwa maana ni aibu muislam anasifia hamas kuua watu wa israel afu kenya, somalia, sudan congo nk walilipuliwa mkaufyata. Nyie na dini yenu mnaunafiki mwingi saana. Na ugomvi mnauanza nyie kwanza wabinafsi saana.
 
Ha Zile freee palestina na kulia lia kote mnajitoa ufahamušŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†. Ni hivi hata mim ukinichokoza ni jino kwa jino hakuna kumuacha gaidi kizembe. Nimekuvuruga naona. Israel fanya kweli wapalestina wa huku washaanza kusanda
Mbowe na wafuasi wake akiwemo ww ndo magaidi na mahakama ilisha lidhibitisha hilo.

Sasa kama mnatoa kichapo mbona mpaka sasa hivi mmeshindwa kurudisha mateka nyumbani mpaka mmeanza kuwaomba hao magaidi msaada wa kuwapata mateka wenu šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€šŸ˜€
 
Mkuu hakuna sehemu niliyo sema Israel haina nguvu, Israel ina nguvu tu za kawaida kama nchi nyingine nyingi tu na sio kama mnavyo tuaminisha.

Nilicho pinga ni hoja yako ya kusema eti Israel inaweza kuipiga Hizbulah na kufukuza Lebanon yaani umeongea jambo hilo kana kwamba utekelezaji wake ni rahisi sana.

Israel iliteka ardhi kubwa mwaka 1967 baada ya kuzipiga pigo la kushutukiza nchi tatu za kiarabu yaani misri ,Jordan na Syiria ,mwaka 1972 misri ikaanzisha vita kulirudisha eneo lake la sinai na ikafanikiwa kulirudisha, miaka ya 80 Israel ikaivamia Lebanon na kuliteka eneo lake Israel ikaja kutemeshwa hilo eneo na Hizbulah.

Alafu mbona huwa mnarazimisha matatizo ya wapalestina yawe ya waarabu wote?
Kwani nyinyi ndani ya bara lenu la Africa kuna nchi ngapi zenye vita na mateso mbona hamjawahi kuyachukulia matatizo ya waafirika wenzenu kwenye nchi hizo kuwa ni ya waafirika wote,ila iwe kwa waarabu?

Hapo wanao nyanyaswa na kunyanganywa ardhi yao ni wapalestina na sio waarabu wote suala la kuwa saidia ni uwamuzi wa nchi hisika tu na sio razima kwa kigezo cha uarabu.

Kwa nini unakataa kuwa Israel haiwezi kuipiga Hezibola na kuifurusha Lebanon na Wakati huohuo hiyo Israel imewafukuza Wapalestina kwenye Ardhi yao kwa miaka zaidi ya 73?
Kwamba Lebanon inanguvu kuliko Palestina? Ndicho unajaribu kueleza?
 
Tatizo nyie wakristo mnajidai ni watu wa imani, kwanza imani ipi mnayo, ikiwa Mungu aliye umba mbingu na ardhi na kila kitu mnamfananisha na binadamu.

Aliye leta balaa hapo Palestine ni nani kama si mkristo aliye waleta waisrael hapo, wao walisha wachoka wakaona waje watupandikizie taifa teule la Paulo šŸ˜„

Eti sisi wakristo hebu toa tamko wapi ukristo ni dini, mnabudu picture la mzungu kila kanisani eti Yesu, kwani Yesu aliwambia yeye Mungu.

Afu bibilia inawambia aliye tundikwa kwenye msalaba ana lana, nyie ndio kwanza mnaukumbatia, wako wanaushikilia, wako wanauvaa, wako wanaupa mgongo. Wako wanauweka mbele hamfahamiki kabisa.

Mara Alpha omega mara sijui mtoto wa bikira Mariam sa nani alikuja mwanzo Yesu au mama yake nikiwambia nyie vichaa mnabisha.

Kwa hiyo hii mada inahusu kile ulichoandika?
Ninyi adui zenu ni Wayahudi sasa sijajua kwa nini mnawaingiza Wakristo.

Kama mayahudi hamuwawezi Wakristo ndio mtawaweza?

Kwa nini vita hii unaingiza Udini?
Ilhali hata mkitumia huo Udini bado vita inawashinda.
 
Hakuna hata dron, sijui ballestic ya Yemen iliyotua ktk ardhi ya Israel ustaadh ok🤣🤣🤣🤣 kiongozi wenu alitoa hotuba akiwa wapi?🤣🤣🤣

Kwamba Hezbollah nao wako shimoni, binadamu wamegeuka panya aise Israel apunguze ubabe, wazee akina Nasrallah wanapata shida🤣🤣🤣🤣
Mbona hata Netanyau kahama nyumbani kwake kaenda kwenye nyumba ya rafiki yake yenye mahandaki anacho ogopa ni nn?
 
Ulicho kiandika hapa ndicho watu tulikua tunakisemea kuwa sisi hatuiombei palestina wala muarabu yeyote kwa maana ni aibu muislam anasifia hamas kuua watu wa israel afu kenya, somalia, sudan congo nk walilipuliwa mkaufyata. Nyie na dini yenu mnaunafiki mwingi saana. Na ugomvi mnauanza nyie kwanza wabinafsi saana.
Umekurupuka huaelewa point yangu.
 
Hezbollah leader amesema all possibilities still open in hostilities with Israel.

Kwanza lazima ufahamu Hezbullah huwa haingi tu total war sababu wao si kama Hamasi wapo wanawatu wao katika parlment ya Lebanin.

Saud Arabia, Qatar, UAE, Jordan na America wamewatia pressure serekali ya Lebanon wasimruhusu Hezbullah aingie vita kwa kuwapa guarantee [emoji817] America hataki vita iendelee na Natanyahau ataondoka kwenye kiti.

Lazima ufahamu Hezbullah pia huyu Rais aliyopa madarakani Lebanon kwa sasa ni mtu wao, hawataki kumkera, pili Saud Arabiana Qatar na UAE wemewambia serekali ya Lebanon watawapa pesa wahakikishe wanamtia pressure Hezbollah asingie hi vita.

Alicho wambia atasubiri aone kama Israel na America wanaendelea na hi vita kuwauwa watoto na wanawake basi hana guarantee ya kuwapa hata ingia hi total war.

Lazima ujuwe nyuma ya pazia America alikuwa anabembeleza nchi za kiarabu ziwasemeshe Lebanon wamtie pressure Hezbullah asingie hi total war na Israel sababu America hataki vita
[emoji23][emoji23][emoji23] dah! Yani unaongea kama vile upo WH na hizo Ikulu zote za Nchi ulizozitaja.Wewe ni mtu hatari sana kujua Intel info za Nchi zote hizo kuhusu hii vita.Mkuu kubali tu kile mlichokitegemea jana kutoka kwa kiongozi wa Hizbollah hakikuwa,hizi nyingine unatueleza ni blah blah tu.
 
Kwa nini unakataa kuwa Israel haiwezi kuipiga Hezibola na kuifurusha Lebanon kampala Wakati huohuo hiyo Israel imewafukuza Wapalestina kwenye Ardhi yao kwa miaka zaidi ya 73?
Kwamba Lebanon inanguvu kuliko Palestina? Ndicho unajaribu kueleza
Tz ili pigana vita na Uganda mwaka 1979 na tukaishinda na mpaka Ikaiteka kampala iwapo Nyerere angetaka kuichukua uganda wenda sasa hivi ingekuwa ni ardhi ya Tz lakini ushindi huo haumaanishi ya kuwa sasa hivi tunaweza kuivamia uganda na kufanya kile tulicho fanya mwaka 1979.

Israel ilitumia siku 6 kushinda vita dhidi ya nchi tatu , lakini leo hii ana mwezi anapambana na kundi la wanamgambo wasio zidi 30000 nka wenye silaha duni lakini hakuna hata dalili ya kulishinda.

Mkuu vita ni kitu rahisi kwenye kukiongea lakini mambo ni tofauti kabisa unapo kuwa ground.
 
Tz ili pigana vita na Uganda mwaka 1979 na tukaishinda na mpaka Ikaiteka kampala iwapo Nyerere angetaka kuichukua uganda wenda sasa hivi ingekuwa ni ardhi ya Tz lakini ushindi huo haumaanishi ya kuwa sasa hivi tunaweza kuivamia uganda na kufanya kile tulicho fanya mwaka 1979.

Israel ilitumia siku 6 kushinda vita dhidi ya nchi tatu , lakini leo hii ana mwezi anapambana na kundi la wanamgambo wasio zidi 30000 nka wenye silaha duni lakini hakuna hata dalili ya kulishinda.

Mkuu vita ni kitu rahisi kwenye kukiongea lakini mambo ni tofauti kabisa unapo kuwa ground.

Tofauti vita ya nchi na nchi.
Na vita ya kupambana na magaidi yanayojifichia kwenye makazi ya Watu. Ni mambo mawili tofauti na ambayo ni mbali mno.

Nimekuambia Wapalestina na wĆ shirika wao hawana uwezo wowote na mbinu yoyote ikiwemo kutumia miungu yao ili wawashinde Wazungu.

Wangekuwa na namna yoyote ya kushinda Waisraeli wasingekuwa hapo walipo.

Ni kujifariji kwa Watu wajinga kama unavyofanya wewe.
Lebanon, Iran, Yemen na hao Palestina ni Watu walioshindwa tangu 1947 kwa sasa wanatapatapa tuu. Ili maeneo mengine yasibebwe.
 
Itakua kuna mtu kamtonya kiongozi wa Hezbollah kwamba kwa sasa Israel wana hasira isiyo na kifani na kujaribu ugomvi nao ni kujitakia kipigo cha mbwa, walisubiriwa watangaze vita, nyuzi zikaanzishwa humu, mzee wa watu alipopewa mic atangaze vita, akabwatuka mikwara kisha muda wa kulala ulipofika akaenda zake.

Ifahamike kwa sasa hakuna taifa au kundi lolote linalotaka kujiingiza kwenye huu ugomvi, hata kubwa la magaidi ya dini, Iran, limeogopa na kukaa pembeni, kwa sasa HAMAS wako wenyewe na picha za satellite zinaonyeshwa Gaza imezingirwa kote.....

Hivi waarabu wa Bongo waliandamana jana?

ai2html-graphic-mobile375.11af033c.png



For weeks, Lebanon was preparing for war. People spoke about their backup plans in hushed tones. The government said it was putting together contingency supplies for the public’s basic necessities.

It all hinged on Hezbollah Secretary General Hassan Nasrallah’s thinking about the Hamas-Israel war, which he kept close to his chest before breaking his nearly month-long silence about October 7 on Friday.

In a fiery speech from an undisclosed location, the reclusive head of the Iran-backed Lebanese militant group heaped praise on Hamas and hailed the war as a ā€œturning pointā€ in the Arab-Israeli conflict. He extolled the virtues of the weekslong cross-fire with Israel on Lebanon’s southern border, which he described as an ā€œunprecedented battle.ā€

He also said Hezbollah would be "prepared for all scenarios,ā€ and that any escalation by the Israeli army at the border would be a "historic folly" that would prompt a major response.

Yet for all the tough talk, Nasrallah was not banging war drums. He said Hezbollah’s ā€œprimary goalā€ was to achieve a ceasefire in Gaza, and said it was incumbent on the US — which he held directly responsible for the bloodshed in the Palestinian enclave — to implement the cessation of hostilities.

What this tells us is that Nasrallah’s immediate plans do not include a broader conflict.

This may come as a disappointment to many in the Arab street. When the pro-Palestinian demonstrations washed over much of the region in recent weeks, many of the chants called on Nasrallah to go to war.

But it will be a relief to Israel’s Western allies, who fear a wider regional conflict and have repeatedly warned Nasrallah not to enter the fray. Two US aircraft carriers — including the nuclear-power USS Gerald Ford — were dispatched to the Mediterranean in an apparent bid to deter Hezbollah.

That relief will be shared by many in Lebanon. The tiny eastern Mediterranean country has barely recovered from the devastating economic crisis of 2019, and much of the population — while horrified by the soaring death toll and widespread destruction wrought by Israel’s offensive in Gaza — has been worn down by decades of war and crises.

Nasrallah may have been restrained by that popular sentiment, or he may have concluded, after weeks of deliberation, that his powerful paramilitary has too much to lose in a war with Israel.
Hahaha
Namna unavyoripoti aisee hata wanaopigwa wakisoma.hapa watalala wanacheka
 
Back
Top Bottom