Hezbollah yaanza kuishambulia Israel kwa roketi nzito za angani na ardhini, kulipa kisasi mauaji ya makamanda wake

Hezbollah yaanza kuishambulia Israel kwa roketi nzito za angani na ardhini, kulipa kisasi mauaji ya makamanda wake

Hii iron dome ya Israel kweli au msumbuji ...kama Hezbollah anawachapa atakavyo hiv Iran mtamueza kweli
 
Hezbollah na hamas wanasafisha njia alaf Iran anamaliza nyeti nyau na alies wake
 
Mbona hakuna jipya hayo yanayoendelea kati ya Hizbullah na IDF yapo Toka Oct 7
 
Naona Iron dome imezuia karibu asilimia 90 ya rocket za magaidi Hezbollah
 
Hii iron dome ya Israel kweli au msumbuji ...kama Hezbollah anawachapa atakavyo hiv Iran mtamueza kweli
Hezbollah wana Silaha kali sana. Watashinda vita hii
 

Attachments

  • IMG_9708.png
    IMG_9708.png
    1.2 MB · Views: 1
Hawa kazi yao ndogo tu, kama 'mtu' anafuatwa hadi ndani ya Iran na kula kipande cha nondo wapi hawa jamaa hawawezi kufika tena
Kinachosikitisha mauhaji haya yamefanywa kwenye moja wapo ya jengo lenye ulinzi mkali sana 🤣
 
Mohammed Al Dhaifu hatumjui sisi tunamjua Mohammed Deif.
We kondoo kweli jina lake ni Mohamed Al Masri au Al Dhaifu. Sababu ya kuitwa Al Dhaifu ni mgeni asiye baki ugenini. AL Dhaifu kwa kiarabu ni mgeni. We na wajinga wakristo mtaweza kutanka Al Dhaifu nyie ulimi wenu wa aleluya lazima mpindishe lugha, ulimi wenu umelainishwa na milenda mtaweza wapi kutamka majina ya kislam nyie.
 
Baba Yenu wa Iran bado anatafuta Ushaidi - Ili aanze Vita na Mtoa Roho (Israili) .Maana anajua litakalompata So Bado anatapa tapa kuanza Vita na Israili
We imba nyimbo tu nyimbo za Aleluya, America kisha changanyikiwa kajaribu kumsemesha Oman amsemeshe Iran asipige Israel. Iran kagoma hataki kabisa. Al Houth sa yeyote atajibu shambulio alilo piga Israel pale Al Houdaida inajulikana ni America na UK ndio walio piga sio Israel. Yemen alisha jipanga kulipa sio ajabu yeye akawahi kulipa kabla ya Iran. Hezbullah analipa huko moto unawaka Kyriat Shmona karibu 90% wakazi wamekimbia huko na hao 10% wako njiani haijawahi kutokea Israel hivyo tangu 1970 😄

Nyie endeleni kupiga ngoma zenu za kujifurahisha eti Israel ni super power 😄
 
Wadau hamjamboni nyote?

Hezbollah imeanza kuishambulia vikali Israel kama walivyoahidi Ili kulipa kisasi dhidi ya mauaji ya makamanda wao wawili Ismail haniyeh na shukru

Hadi muda huu bado hali ni tete nchini Israel kufuatia shambulizi hilo la nguvu kutokea angani na ardhini

We will keep you updated

Mengi ya maroketi hayo yameangushwa na Ironed Dome

Well keep you updated

Taarifa kamili hapo chini:

===

Rocket barrage fired from Lebanon at north; Iron Dome intercepts many

The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)

The Iron Dome system intercepts projectiles fired from Lebanon at the Galilee Panhandle in the early morning of August 4, 2024. (Screenshot)

Numerous Iron Dome interceptions are seen over the Galilee Panhandle amid a rocket barrage from Lebanon.
😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_20240801_010243.jpg
    IMG_20240801_010243.jpg
    73.9 KB · Views: 2
We jamaa akili zako ni kidogo sana! Yani unataka waizrael ndio wakuchukulie picha? Kwani nyie kinachowashinda kuchukua hizo picha ni Nini??
Jamaa unalalamikia vitu ambavyo hata mtoto wa miaka mitano hawezi kuvilalamikia.
Jamani shule muhimu, tupeleke watoto shule.
Hahaha sasa media kazi yake ni nini kama unazuia ukweli, hivi wewe unadhani Hezbullah hapati signal alicho kipiga kakipiga au hajakipiga. Israel anacho ogopa ni aibu taifa lake liko uchi kabisa linatiwa vidole tu. Anaruhusu media zionyeshe missiles anazo zipiga mambo yake ni show off zinazo penya anazuia media kabisa kuchukua. Sehemu zile anapigwa vidole, anaficha watu wasione , mashoga noma sana hata mfiche vipi mnajulikana tu imedundwa 😄
 
Dalili hi hapa hi channel ni jina tu inaitwa al arabiya, lakini iko against Hezbullah, Al houth na Iran ona ilivyo onyesha wanaficha nini? Nchi za kiarabu hawana sababu za kuficha unaficha nini na wakati wanaona kule kwenye control room wamepiga target 😄 Au wanaona aibu kuonyesha udhaifu wao vitu vinavyo tereza kiulaini kabisa kupiga taifa teule la Paulo.


View: https://youtu.be/4EFsuXv8ZF4?si=Ki1R5oXlThWqLT77

Israel wanatukosesha raha watazamaji kuona vitu vya Hezbullah vinavyo land na kuchakaza Israel.

Mkuu nimeona Jana wayahudi wanavyokimbia mwendo wa Ngiri mkia juu😂😂😂
 
Unaliliwa wewe

Hilo ndilo jambo tunalotaka kuhabarishwa; wamefanya uharibifu kiasi gani!?
Hiyo idadi ya makombora na umahiri wa Iron dume ni ngonjera tu!
IRON DOME NDIO HIZI ZINALIPULIWA NA HAMAS KILA SIKU 😂😂😂😂😂😂
 

Attachments

  • IMG_20240622_224124.jpg
    IMG_20240622_224124.jpg
    231 KB · Views: 1
We imba nyimbo tu nyimbo za Aleluya, America kisha changanyikiwa kajaribu kumsemesha Oman amsemeshe Iran asipige Israel. Iran kagoma hataki kabisa. Al Houth sa yeyote atajibu shambulio alilo piga Israel pale Al Houdaida inajulikana ni America na UK ndio walio piga sio Israel. Yemen alisha jipanga kulipa sio ajabu yeye akawahi kulipa kabla ya Iran. Hezbullah analipa huko moto unawaka Kyriat Shmona karibu 90% wakazi wamekimbia huko na hao 10% wako njiani haijawahi kutokea Israel hivyo tangu 1970 😄

Nyie endeleni kupiga ngoma zenu za kujifurahisha eti Israel ni super power 😄
Wababe hawa hapa_ Alafu kuna hawa Vibaraka wa Iran na Silaha za mwaka 1947🤣🤣
 

Attachments

  • IMG_9798.jpeg
    IMG_9798.jpeg
    206.4 KB · Views: 1
  • IMG_9774.jpeg
    IMG_9774.jpeg
    640.1 KB · Views: 1
  • IMG_9759.jpeg
    IMG_9759.jpeg
    418.8 KB · Views: 1
  • IMG_9760.jpeg
    IMG_9760.jpeg
    52.7 KB · Views: 1
  • IMG_9727.jpeg
    IMG_9727.jpeg
    347.7 KB · Views: 1
  • IMG_9708.png
    IMG_9708.png
    1.2 MB · Views: 1
Back
Top Bottom