Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Israhell iliahidi kuangamizwa Kwa hizbullah mpaka sasa bado ipo waliahidi pia wakazi wa kaskazini kurudi ila mpaka sasa Hola mwisho wakasema kwamba hawaongei na magaidi ila wamekubali kuongeaHezbolaha waongo,waliahidi kipigana mpaka Israeli iondoke Gaza,Israeli bado ipo Gaza na inaendeleza kipondo
Israeli ili waonya waache kuingilia ugomvi wake na Hamasi wakagoma Sasa Leo wapondwa na wamekubali hawataingilia Tena kuwasaidia Hamasi
Israeli pia opareshi yake ilikuwa kuwaondoa Hezbollah kwenye mpaka wake Ili raia warudi na Hilo lengo limetimia
Wenye akili hatudanganyiki na na uongo wa kitoto
Baada ya kuliwa ikawa jeViongozi wa commanding power karibu wote wa hezbollah waliwa vichwa
Wangekua wanaweza si wangefanya israhell kapelekewa moto mpaka kakubali kukaa chini na magaidiHahaha hizi akili za magaidi ni shida sana, yana roho ngumu kama kunguni. Hayafi yote usipotumia njia sahihi kuyaua.
Kunguni hawapingwi nyundo, ukigundua godoro lina kunguni dawa ni kulichoma moto tu, lakini sijui kulianika juani, mara kupulizia dawa, huwa wanalewa dawa tu, kisha wanaamka wanaanza kukuuma upya kabisa.
Sasa ona wameomba cease fire, wamekubaliwa, wao wanajitangazia ushindi.
ISrael haipaswi kusikiliza mtu, ipige sumu angani na ardhini yafe hadi mayai.
Wazayuni kama miji yao haija haribiwa mbona wamehama kaskazinWahuni tu bao Hezbulah...viongozi wao wengi wa juu wamelambishwa udongo huku miji yao hasa kusini ya Lebanon imeharibiwa vibaya majengo na miundombonu muhimu ya maji na umeme.
Alokwambia kama ushindi wa vitani Unapimwa kwa kufa watu wengi na uharibifu mkubwa naniPima uwezo wa kijeshi. Hezbollah wanarusha makombora toka mbali, Israel wameingiza jeshi mpaka Lebanon ndani. Askari wa Israel 130 wamekufa, raia 3800 na Viongozi wote wa Hezbollah wamekufa. Majengo yote ya jeshi la Hezbollah na majengo makubwa yamevunjwa. Tuambie tena nani mshindi nani ameshindwa.
Kama kelele za nje hata kiongozi wa Hamas nae katolewa warranty yakukamatwaimekuwaje ICC wakatoa hati ya kukamatwa kwa waziri mkuu wa israel kama si kelele za nje?
Unajua ni mataifa mangapi yamepeleka petition against israel?
Mwishowe hata washirika wake wakamgeuka?
Imagine kusingekuwa na kelele na dunia isingejali kinachoendelea lebanon?
Hizi tena ni chumvi, fuatilia ripot ya Hizibolla nini wamesema katika kile wamemtia hasara IsraelMaana ya kudhoofisha kundi ni kitendo ambacho kundi haliwezi kufanya oparation zake kwa wakati na kuishiwa man power na weapons lakini mpaka siku ya mwisho nusu saa kabla ya sizi faya hizb kalipua Zaid ya rockets 200 kaktk nusu kabla ya sizi faya na kalipua wanamgambo wa Israel waliokua wana retreat kurudi nyuma na zisi faya isingekuwa serikali ya Lebanon msingefikia makubaliano nao never! Ipo siku hzb wataifurusha serikali ya Lebanon ndio inawaletea usiku
Hezbollah wameambiwa waondoke ktk mpaka kusini,na wananchi wa pande zote mbili Israeli na Lebanoni wanarudi ktk makazi Yao kama hueliwi BBC basi hata Aljezeera fungua update ufahamu naona Bado hujajua kinachoendeleaIsrahell iliahidi kuangamizwa Kwa hizbullah mpaka sasa bado ipo waliahidi pia wakazi wa kaskazini kurudi ila mpaka sasa Hola mwisho wakasema kwamba hawaongei na magaidi ila wamekubali kuongea
Hezbollah walikiuka sharti la kutojipanga upya. Walikuwa wanakusanya silaha na kuzihifadhi nyumba mojawapo ya zilizosambaratishwa.Leo isbola wamepigwa kipigo cha haja,sasa sijui walikuwa wanawahadaa au vp.
Exactly yes.Yani waanzishe upumbavu/uchokozi wao wadundwe na kuomba cease-fire ambayo wamepewa masharti magumu na Israel ndiyo waseme wameshinda?Bloody fools!
Bado Hezbollah anahesabu. Inakadiriwa ni wapiganaji 4000+anayejua wao walifiwa wanajeshi ngapi aseme
Hakuna hata kijiji kimoja Lebanon kuna jeshi la Israel walijaribu underground wakashindwa wenyewe na kuumizwa kuliko kuumizwa na kuuliwa, ile mission ilifeli, Hizbollah sio jeshi linaloishi magorofani, uko magorogani waliuwa raia tu hezbollah wako makiniPima uwezo wa kijeshi. Hezbollah wanarusha makombora toka mbali, Israel wameingiza jeshi mpaka Lebanon ndani. Askari wa Israel 130 wamekufa, raia 3800 na Viongozi wote wa Hezbollah wamekufa. Majengo yote ya jeshi la Hezbollah na majengo makubwa yamevunjwa. Tuambie tena nani mshindi nani ameshindwa.
Hezbollah ni pasua kichwa.Umeandika ukweli mtupu
Mhhh! Mkuu; hadi tunaongea hapa leo 29/11/2024 bado Hezbollah anaendelea kuhesabu vifo vya wapiganaji wake. Inakadiriwa ni 4000+ halafu ww unasema wako makini? Yani kuhesabu 1,2,3,4,5,6.......imekuwa ni shughuli kwake. Mwisho wa siku atatoa figure ya uongo.Hakuna hata kijiji kimoja Lebanon kuna jeshi la Israel walijaribu underground wakashindwa wenyewe na kuumizwa kuliko kuumizwa na kuuliwa, ile mission ilifeli, Hizbollah sio jeshi linaloishi magorofani, uko magorogani waliuwa raia tu hezbollah wako makini
Lengo la Israel lilikuwa kuisambaratisha HAMAS huko Gaza. Hapa tunasubiri ifike mwisho kwani bado ngoma inapigwa.Lengo kuu la hezbollah lilikuwa ni kumshinikiza Israel aachane na vita ya Gaza kitu ambacho bado israel anaendelea kurusha mabomu gaza, hapa kafaeli hezbollah.
Hezbollah wamepoteza viongozi wao wote wakuu na waliobaki hawajulikani walipo kwa hofu ya kuuawa na Israel, hapa pia hezbollah wamefeli.
Lengo la Israel lilikuwa ni kuwatoa hezbollah mpakani, hapa israel kafaulu.
Sijajua mpaka sasa hezbollah wameshinda sehemu gani.
Wamepunguza nini hakuna meli ya zayuni zinapita Red Sea π kule paka kaamua kusarenda kwa kuongea na hizbullah ambao awali alikataa katakataa kuongea nao hizbullah wapo kusini tokea 2006 makubaliano yaliwataka waondoke huko ila tumewaona wapo mpaka leo au unadhani kipengele cha kuondoka ni kipyaHezbollah wameambiwa waondoke ktk mpaka kusini,na wananchi wa pande zote mbili Israeli na Lebanoni wanarudi ktk makazi Yao kama hueliwi BBC basi hata Aljezeera fungua update ufahamu naona Bado hujajua kinachoendelea
Israeli alikuwa tangu mwanzo alikuwa anapambana na Hamasi,Hezbolah akaja kimsaidia Hamas alikanywa hakusikia na akasema haachi mpaka Gaza iwe huru,akapondwa na yeye Sasa amekubali kutulia licha kwamba Hamas wamekabwa bado
Ila akitaka ateketee arudie Tena,wenzao wa Houth wamepewa kitu kizito mpaka wamepunguza kimbelembele
Iran aliahidi Israel akiingia Gaza itaingilia ataingia mazima nayeye kaona moto mkali kabaki kutuma mabomu kwa mbali anashidwa hata kuinua helkopta we bado huelewi kweli
Nanukuu:Hezbollah wameambiwa waondoke ktk mpaka kusini,na wananchi wa pande zote mbili Israeli na Lebanoni wanarudi ktk makazi Yao kama hueliwi BBC basi hata Aljezeera fungua update ufahamu naona Bado hujajua kinachoendelea
Israeli alikuwa tangu mwanzo alikuwa anapambana na Hamasi,Hezbolah akaja kimsaidia Hamas alikanywa hakusikia na akasema haachi mpaka Gaza iwe huru,akapondwa na yeye Sasa amekubali kutulia licha kwamba Hamas wamekabwa bado
Ila akitaka ateketee arudie Tena,wenzao wa Houth wamepewa kitu kizito mpaka wamepunguza kimbelembele
Iran aliahidi Israel akiingia Gaza itaingilia ataingia mazima nayeye kaona moto mkali kabaki kutuma mabomu kwa mbali anashidwa hata kuinua helkopta we bado huelewi kweli