Paulsylvester
JF-Expert Member
- Oct 15, 2021
- 1,464
- 3,379
Mfanye rais wa nyumbani kwakoYaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.
Anayempima na kumnanga January amakamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.
Hawa sukuma gang tumewastukia.
Wakati wa jiwe umeme haukua kama hivi leoYaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.
Anayempima na kumnanga January amakamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.
Hawa sukuma gang tumewastukia.
Naunga mkono hoja.Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Mnaudhi sana yani mnavyofanya mchezo na huduma mhimu mnaleta ngonjera na uchawa.1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Wewe. Ngungenge1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Na itakuwa hivyo hadi kwa baba yake aliyemvimbisha kichwa hadharani.Na chawa wewe kakulipa nani? Nenda kamwambie huyo upara labda ahame Tanzania hii, huu udhalimu ataulipa. Tutamkamua tu na pesa ya watanganyika ataitolea matundu yote mwilini kwake, iwe leo, iwe kesho, iwe mtondogoo.
Atakuwa rais wa mama yako na baba yako na familia yako wewe lakini sio Tanzania hii .Yaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.
Anayempima na kumnanga January amakamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.
Hawa sukuma gang tumewastukia.
Hawa mb*a wanatuona watanzania wote kama vile ni mahamnazo muda wote.Gesi hii ikiisha hawa watakuwa na uwezo wa kunuua ingine?? Na je Inawafikiaje?Na je Serikali ya mama Samia mbali na kupata Kodi inanufaika na nini kwa Mtumishi anaelipiwa V8 mafuta ,Nyumba kufanya kazi ya umeneja masoko wa product isiyo zalishwa na taasisi ya Serikali ambayo anaitumikia na kulipwa mshahara??? Tafakari na Chukua hatua
Bado LNG pia!1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Sasa wewe ndio chawa lenyewe alafu bahati mbaya una njaa sana... hiyo hela uliyopewa uje umkingie kifua jamaa ni ndogo sana. Inanunua hata baiskeli??1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Sukuma Gang sasa mko kama mbwakoko tu,mnabweka sana lakini hamna madhara tunawapuuza tu.Atakuwa rais wa mama yako na baba yako na familia yako wewe lakini sio Tanzania hii .
Mb*a nyie mmejisahau sana,dawa yenu inapikwa soon mtainywa kwa kutaka au kwa kulazimishwa .
Heeeee.....mamaaaaaaaaaaa.Yaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.
Anayempima na kumnanga January amakamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.
Hawa sukuma gang tumewastukia.
Yaani wewe hujielewi kabisa na chawa namba moja. Huu unafiki ndo unaoliangamiza taifa hili. Unaacha kuongelea issues ambacho ni critical kwa sasa wewe unamwongelea mtu.ama kweli simple mind always discuss people. By the way who is makamba! That is poor thinking. Njaa ni mbaya sana mpaka watu wanauza utu wao.1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
huo upuuzi wenu wa kichawa muumalize kwenye vikao vyenu vya ccm.1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote