TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,816
- 3,150
Ushu.i mtupuππππππ labda rais wako na mkeo ππππwatanzania kibao hawampendi na anajulikana kwa upigaji kwa taarifa yakoKuna mtu fulani mwenye mapungufu makubwa ya kibinadamu aliwahi kuwa rais itakuwa mwanadamu mstaarabu na mwenye akiili January Makamba??
Mfyuuu hovyooooo sanaπAliwahi kuwa rais mpumbavu fulani aiiyejiita jiwe, itakuwa January Makamba??
Mkuu, andiko lako kwa mara nyingine linatukumbisha ya kwamba "mti wenye matunda ndiyo hupopolewa sana kwa mawe"1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Gesi anayoisemea makamba ni LNG sio LPG io ni community change program kuwa watu waanze kutumia gesi badala ya mkaaWewe. Ngungenge
Je!
Samia Anauza Gas ya Taifa Gas,hiyo anayoinadi Makamba?
Je!
Makamba anatumia ofisi kwa maslahi binafsi,badala ya kutimiza majukumu ya serikali,anatimiza majukumu ya mtu binafsi,halafu tukiwaambia nyinyi vilaza,mnakimbilia Majungu!
Tutajie mafanikio ya Makamba yoyote yale ndani ya hiyo wizara,tangu alipoingia...alivyoikuta na ilipo sasa!
Wezi mkiambiwa ukweli,mnakimbilia kusema mmetumwa na Samia,kwa hiyo Samia kawatuma mkusanye 10% kwa niaba yake sio?
Kuna mradi wa nishati mbadala wa mkaa wa mawe ambao umezinduliwa na Waziri Biteko hivi karibuni.
Kupitia STAMICO.
Nishati ile ni bei rahisi,hata Samia analijua hilo.
Maana alikwisha tembelea STAMICO kupitia Banda lao la maonyesho.
Kwa nini Makamba asiupigie chapuo huo mradi,badala ya Gesi ya Rostam ya Taifa gas hiyo anayoitembeza nchi nzima kwa gharama za Serikali?
Sio kila mtanzania ni mbumbumbu kama mnavyofikiria nyoote na hao mabwana zenu,mnaowatetea humu.
Makamba ameichakaza Tanesco kimkakati,kuanzia utawala hadi kimfumo.
Ili tu achomekee miradi yenye kumpatia 10% akijiandaa kuutafuta urais na ndoto zake za mchana.
That's it......
Wanakosea kumshambulis mtu ambaye analeta serious renovation Kwa taifaMkuu, andiko lako kwa mara nyingine linatukumbisha ya kwamba "mti wenye matunda ndiyo hupopolewa sana kwa mawe"
Pia wapo vijoka mdimu ambao hukaa kwenye miti ya midimu, hung'ata watu ijapokuwa wao wenyewe hawali ndimu..
Ninahisi hii ni ID ya MaropeNa chawa wewe kakulipa nani? Nenda kamwambie huyo upara labda ahame Tanzania hii, huu udhalimu ataulipa.
Tutamkamua tu na pesa ya watanganyika ataitolea matundu yote mwilini kwake, iwe leo, iwe kesho, iwe mtondogoo.
nchi ina wapuuzi na wanafiki wengi sana hii1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Kwa sababu mtu alitofautiana na magufuli Basi afai huu ujinga unatakiwa ufike mwishonchi ina wapuuzi na wanafiki wengi sana hii
unampima waziri kwa kutumia bwawa la mwalimu nyerere tu?
mm siyo mnufaika wa mtu yeyote serikalini lakini january anasakamwa kwa sababu ALIDUKULIWA na MGUFULI
Nakubaliana na mleta mada. Kuna mashambulizi ya kimkakati dhidi ya January na yamekuja baada ya jenereta kuzimwa Kigoma.
Fitna za wanufaika wa biashara ya mafuta Sasa wamekosa soko ni kumuandama jamaaNakubaliana na mleta mada. Kuna mashambulizi ya kimkakati dhidi ya January na yamekuja baada ya jenereta kuzimwa Kigoma.
Umeme umekuwa tatizo. Njaa zenu zitazidi kituletea balaa.1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Wewe yaelekea kipindi cha Magufuli ulikua usingizini. Nikufahamishetu kipindi cha Magufuli hatukuona upuuzi kama huu.Yaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.
Anayempima na kumnanga January Makamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.
Hawa sukuma gang tumewastukia.
M0ini wa shoka (chama) umeshikwa na mama. Utapenyea wapi ??Atakuwa rais wa mama yako na baba yako na familia yako wewe lakini sio Tanzania hii .
Mb*a nyie mmejisahau sana,dawa yenu inapikwa soon mtainywa kwa kutaka au kwa kulazimishwa .
Kama kampiga mkeo pole yakona anajulikana kwa upigaji kwa taarifa yako
Wewe na kipara ni [emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote