Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,805
- 17,850
Hidaya aliimba Pepe Kale ama Kanda Bongoman?
Unforgetable
Unforgetable
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pepe Kalle Alifariki mwaka 1998 !RIP.
Hivi Pepe Kale mzima?
Alikua binti yakehuyu Hidaya kila mwaka anafariki? kuna uzi humu uliwahi kutoa tanzia yake. Lakini apumzike kwa amani
Lololo alikuwa jirani yangu kule kwenye mji wa copper, tulikuwa tunapata breakfast paris france, lunch dinner London, uk.
Na ndio mwaka wa mwisho Yanga kuingia makundi klabu bingwa Afrika.Pepe Kalle Alifariki mwaka 1998 !
Kaburi gani lenye adhbu wewe? Mtadangnywa mpaka lini hata karne ya utandawazi mnaamini vitu vya kusadikika?Mashaalah Mungu ampunguzie adhabu za kabri
Huyu anakufa kila mwaka au?
Pepe kale alisha fariki toka mwaka 1998RIP.
Hivi Pepe Kale mzima?
Mwanamama maarufu na mrembo Hidaya Khamis Mtumwa almaarufu Hidaya wa Pepe Kalle amefariki Dunia leo asubuhi jijini Arusha, msiba upo nyumbani kwake Kaloleni.
Hidaya alitamba miaka ya mwanzoni mwa 90 baada ya mkongwe wa mziki wa Rhumba Marehemu Pepe Kalle kumtungia wimbo wakumsifia.
Pia soma
Mama mrembo, aliyekuwa mke wa mwanamuziki Pepe kale amefariki leo nyumbani kwake jijini Arusha.
Marehemu ameacha watoto watatu wa kiume, wawili wanaishi Congo kwa baba yao.
Baada ya kifo cha pepe kale hidaya alirudi nyumbani kwao Arusha ambapo alikuwa akiishi hadi umauti ulipomkuta..
Haijalishi kafariki lini la muhimu halipi TozoPepe Kalle Alifariki mwaka 1998 !
Peppe kalle jitu la miraba minne.wakati peppe kale amekuja kutumbuiza DAR akamnyakua huyu mrembo.Show ya pili ya pepe kalle Tanzania alifika Arusha kumrudia Hidaya na hapo iliporomoshwa bolingo moja matata sana HIDAYA .Hidaya aliimba Pepe Kale ama Kanda Bongoman?
Unforgetable
Ama kwa hakika mkuuPeppe kalle jitu la miraba minne.wakati peppe kale amekuja kutumbuiza DAR akamnyakua huyu mrembo.Show ya pili ya pepe kalle Tanzania alifika Arusha kumrudia Hidaya na hapo iliporomoshwa bolingo moja matata sana HIDAYA .
Mtoto mpana Hidaya akampa zawadi ya nguo pana ya rangi ya blue (unaweza kuiita dera au bazzee )peppe kale aliivaa pale pale uwanjani Shekh Amri Abed...watu wakafoka kwa bashasha halafu pini kali la HIDAYA likappromoshwa ...dah hizi burudani hazipo tena duniani.
Siku hizi kina zuchu sijui simba sijui harmorapa wanatupigia kelele tu.