jimmykb197
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 485
- 482
Lazima atakuwa njema tu wewe si unaona hata huyo binti yake na safari za ughaibuni?Walikuwa wapenzi, hidaya Alikaa pia Congo enzi za pepe Kalle. Walizaa watoto watatu. Mmoja alikuwa na mwili mkubwa kama babake.
Watoto wake wawili walilowea Congo maana baada ya kifo cha baba yao aliwaachia utajiri mkubwa.
Hidaya yeye alirudi bongo kuja kumuuguza mamake baada ya hapo hakurudi tena Congo.
Hidaya kafariki akiwa tajiri haswa