Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ulikuwa ni urafiki wa kawaida tu uliopelekea Pepe Kalle kumtungia wimbo au Pepe alikuwa akimla kabisa huyo Hidaya?Hidaya alitoa gari kwaajili ya kumbeba Pepe Kalle kutoka KIA mpaka Arusha alipoenda kufanya show.
Hidaya alijaaliwa uzuri wa kila eneo, basi ukichangia na ule uchangamfu na ucheshi wake, Kabasele Yampanya "Pepe Kalle" akamtungia wimbo maridadi sana uitwao "Shikamoo Seye" akiuimba kwa lugha adhimu ya Kiswahili...
Hivi ulikuwa ni urafiki wa kawaida tu uliopelekea Pepe Kalle kumtungia wimbo au Pepe alikuwa akimla kabisa huyo Hidaya?
Sema uliyekuwa hujui ni Wewe tu peke yako usiyependa Kufuatilia mambo mbalimbali.anakumbukwa baadanyankufariki.mimi sikujua kama huyu Hidaya alikuwa ni mtu wa kweli nilidhani pepekale aliimba tuuu
Walikuwa wapenzi, hidaya Alikaa pia Congo enzi za pepe Kalle. Walizaa watoto watatu. Mmoja alikuwa na mwili mkubwa kama babake.Kwanini Pepe Kalle alimuimba Hidaya, any detailed story?
Asante sana MkuuWalikuwa wapenzi, hidaya Alikaa pia Congo enzi za pepe Kalle. Walizaa watoto watatu. Mmoja alikuwa na mwili mkubwa kama babake.
Watoto wake wawili walilowea Congo maana baada ya kifo cha baba yao aliwaachia utajiri mkubwa...
[emoji28][emoji28] ndundundu shikamooNitarudii, Nitarudii kwa ajiliiii ya hidayaa,
Tudum tudum tudum turududum,
Shikamoo, marhaba ndundundu, shikamoo marhaba ndundundu
Yeah alichomwa kisu na mpenziwe huko UK na mtoto wa mwanamuziki Skass Kasambula.Aliyefariki mwaka juzi ni mwanawe wa kike huko uk 🇬🇧
Achana na Yanga wewe takataHHu
alimla kimasihara wakazaa watoto watatu ukija arusha msibani utawaona njoo kaloleni mkuuHivi ulikuwa ni urafiki wa kawaida tu uliopelekea Pepe Kalle kumtungia wimbo au Pepe alikuwa akimla kabisa huyo Hidaya?
Huyu hidaya alikuwa mpenzi wa Pepe kale pia wakazaa watoto watatu wawili wamelowea Congo sababu waliachiwa Mali nyingi.Walikuwa wapenzi, hidaya Alikaa pia Congo enzi za pepe Kalle. Walizaa watoto watatu. Mmoja alikuwa na mwili mkubwa kama babake.
Watoto wake wawili walilowea Congo maana baada ya kifo cha baba yao aliwaachia utajiri mkubwa..
Bila picha?Hidaya aliyeimbwa na Pepe kalle,Mola akulaze pema, mama Hidaya alikuwa akiishi Arusha Mtaa wa Kaloleni
Kwenye nyumbo yupo?
Watanzania kuwaza kula kimasihara hatujambo.Hivi ulikuwa ni urafiki wa kawaida tu uliopelekea Pepe Kalle kumtungia wimbo au Pepe alikuwa akimla kabisa huyo Hidaya?
Kimasihara tena😁😁😆alimla kimasihara wakazaa watoto watatu ukija arusha msibani utawaona njoo kaloleni mkuu
Watu wanaanzia mbali aisee! Awilo na hao jamaa wengine umewataja. Awilo hakuwa akisikia tofauti na hawa wengine. Nakumbuka mzee wangu alikuwa akinunua kila kaseti ya alubamu ya huyu mzee Pepe KalleSema uliyekuwa hujui ni Wewe tu peke yako usiyependa Kufuatilia mambo mbalimbali.
Kwa taarifa yako tu huyu Hidaya wa Pepe Kalle alijulikana na wengi tokea miaka ya 2000..