TANZIA Hidaya wa Pepe Kalle afariki dunia jijini Arusha

Mbona Hidaya alishawahi kuripotiwa kufariki dunia miaka kadhaa nyuma hapa hapa JF, huyu ni Hidaya yule yule au Hidaya mwingine?
 

 
Hidaya aliimba Pepe Kale ama Kanda Bongoman?
Unforgetable
Peppe kalle jitu la miraba minne.wakati peppe kale amekuja kutumbuiza DAR akamnyakua huyu mrembo.Show ya pili ya pepe kalle Tanzania alifika Arusha kumrudia Hidaya na hapo iliporomoshwa bolingo moja matata sana HIDAYA .
Mtoto mpana Hidaya akampa zawadi ya nguo pana ya rangi ya blue (unaweza kuiita dera au bazzee )peppe kale aliivaa pale pale uwanjani Shekh Amri Abed...watu wakafoka kwa bashasha halafu pini kali la HIDAYA likappromoshwa ...dah hizi burudani hazipo tena duniani.
Siku hizi kina zuchu sijui simba sijui harmorapa wanatupigia kelele tu.
 
Ama kwa hakika mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…