jimmykb197
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 485
- 482
Lazima atakuwa njema tu wewe si unaona hata huyo binti yake na safari za ughaibuni?Walikuwa wapenzi, hidaya Alikaa pia Congo enzi za pepe Kalle. Walizaa watoto watatu. Mmoja alikuwa na mwili mkubwa kama babake.
Watoto wake wawili walilowea Congo maana baada ya kifo cha baba yao aliwaachia utajiri mkubwa.
Hidaya yeye alirudi bongo kuja kumuuguza mamake baada ya hapo hakurudi tena Congo.
Hidaya kafariki akiwa tajiri haswa
Congo DR nzima ukitafuta wapiga Drums ( Wakaanga Chips ) bora waliowahi kutokea na waliopo lazima uanze na hawa....Watu wanaanzia mbali aisee! Awilo na hao jamaa wengine umewataja. Awilo hakuwa akisikia tofauti na hawa wengine. Nakumbuka mzee wangu alikuwa akinunua kila kaseti ya alubamu ya huyu mzee Pepe Kalle
Sio kanda bongoman ni pepe kaleHidaya aliimba Pepe Kale ama Kanda Bongoman?
Unforgetable
Ni mkongo yule jamaa?Marioo la kikongo lile
Hidaya yeye ni kabila gani?Walikuwa wapenzi, hidaya Alikaa pia Congo enzi za pepe Kalle. Walizaa watoto watatu. Mmoja alikuwa na mwili mkubwa kama babake.
Watoto wake wawili walilowea Congo maana baada ya kifo cha baba yao aliwaachia utajiri mkubwa.
Hidaya yeye alirudi bongo kuja kumuuguza mamake baada ya hapo hakurudi tena Congo.
Hidaya kafariki akiwa tajiri haswa
Ni kama vile, mwaka jana au juzi alifariki binti yake ambaye alikuwa anaishi Uingereza. Aliuawa na mpenzi wake huko huko Uingereza.Huyu anakufa kila mwaka au?
Hivi hii kesi iliishaje?Yeah alichomwa kisu na mpenziwe huko UK na mtoto wa mwanamuziki Skass Kasambula.
Hivi Allan Kabasele aliyekuwa Akudo naye ni damu ya Pepe Kalle?Huyu hidaya alikuwa mpenzi wa Pepe kale pia wakazaa watoto watatu wawili wamelowea Congo sababu waliachiwa Mali nyingi.
Pia huyo huyo hidaya alirud Tanzania kuja kumuuguza mama yake.
Huyo huyo hidaya kafa akiwa Tajiri sana.
Pepe kale kathibitisha alimuona hidaya Mara moja tuu na nafsi ilimkubali sana na kuweka Nia ya kurudi Tanzania japo hajui atamkuta Morogoro au Arusha.
Sasa wewe unamzungumzia hidaya yupi?
Ntapita nije niwaone kina Pepe kale hapo na kuwapa pole
ALifungwa huko huko UK.Hivi hii kesi iliishaje?
YeahNi mkongo yule jamaa?
Nimeona ,wanasema anaweza kutoka baada ya miaka 23.ALifungwa huko huko UK.
Mkuu utafute wimbo wa "safari sio kifo" kuwahusu hao Akudo, kisha, kabla Allan Kabasele hajaanza kughani kimadoido, Christian Bella atakuwa ameshakupa jibu kwa mwitikio wa sauti zake za nyuma. Akhsante!Hivi Allan Kabasele aliyekuwa Akudo naye ni damu ya Pepe Kalle?
MSAGA SUMU,,Umenoshtua na hii picha huyu sio hidaya wa msaga sumu huyu manzi namfahamu na anaitwa hidaya anakaa kati ya madukani na kwa morombo na hap nakwenda kwaokumbukizi
Khamisa Mobeto at that age!
Ampunguzie au amuondolee?Mashaalah Mungu ampunguzie adhabu za kabri