Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ni upumbavu tu! Magari yenyewe mabovu kwelikweli hayo... namfahamu huyo kijana 😅Range siku hizi sio gari za kutisha jamaa anaendesha used car anatunisha ta.ko. Kuna jamaa anaitwa Chris's Lukosi anayauza mengi kwa mafungu pale salasala
We ni MSENGE! Nakulisha wewe na mabwana zako wote wanaokutia jeuri mjini!Vipi JF makasiriko mental health is real, umekula mkuu
Eti nimeshakula 😅😅😅Vipi JF makasiriko mental health is real, umekula mkuu
Hamna Mwanamke mkali wanawake wote wanafanana,na Mwanamke anayejieleqa hasubiri matunzo kutoka kwa Mwanaume atatafuta kazi afanye kisha ajihudumie.Pisi kali hazihitaji hela ya mawazo, kama hutaki ivo oa wako mmoja tulia nae ndani watoto wakali wanahitaji matunzo sio kuwakiwa na Jua kama nguo mbichi.
Mwanamke yoyote ni mkali kabla ya kumvua ngua,ukisha mvua nguo hakuna chochote cha ziada.ukiishakula pisi kali ukamwaga unagundua ni ufala tu,ulikuwa unasumbua.
We nae hujielewi hivi mtu akijivuna kupitia Mali yake wewe inakuuma nini muache ajivune si mali yake unampangiaje kujivuna wakati hauna mchango kwake na wewe tafuta yako mzee inaonesha unamaanisha magumu maana inakuuma jamaa akiongea muache ajivune Kila mtu anaingia kaburini kivyakeHayupo mtu ambaye kakataa watu tutafute hela na kama kweli umezaliwa hapa duniani usitegemee mtu aje akwambie utafute hela maana ni jukumu lako.
ila huyo jamaa ni mjivuni hii sio video yake moja ni nyingi anakejeli.
kingine usinunue gari kwa ajili ya kuwafurahisha wanawake nunua kwa ajili ya umuhimu wako
Tafuta pesa umasikini unakufanya uchukue watu mzeeUzi wa KIPUMBAVU ulioandikwa na MPUMBAVU! na hiyo video inamuonesha MPUMBAVU asiyejielewa akizungumza UPUMBAVU! na range yake ya milioni 19, bei sawa na Kluger au Alphard... anajiona kashawin maisha tayari.
Wacheni watoto wazuri wapende wanaume wenye magari, kwa maana jua huko nje ni kali.
Wewe unamtembeza mtoto wa kike kwenye bodaboda mishkaki tena anapanda na jua kali halafu anakuja kwako anachoka na jua kabla ya kumchosha halafu bado unataka akupende the way jinsi ulivyo.
Hakuna mwanamke atakupenda the way ulivyo mhudumie mtoto wa watu hata kama huna hela uwe hata na gari anavokuja mtoto wa watu asichoke akae hata kwenye ma AC.
Video hapo chini kaongea mengi
View attachment 2717759
Utakua unanijua kama ninamaisha magumu okWe nae hujielewi hivi mtu akijivuna kupitia Mali yake wewe inakuuma nini muache ajivune si mali yake unampangiaje kujivuna wakati hauna mchango kwake na wewe tafuta yako mzee inaonesha unamaanisha magumu maana inakuuma jamaa akiongea muache ajivune Kila mtu anaingia kaburini kivyake
Huwezi kuwa na gari ya 30m+ alafu usiwe na maisha safi. Labda kama umeibaNi chombo tu cha usafiri..hakina uhusiano wa moja kwa moja na mafanikio ya mtu kifedha.Japo ukiwa na fedha ni rahis kumilik gari lakin kuna watu tuna magar na wala hatuna maisha yaaaaleee...kawaida. siku nyingine unapaki unakula toyo au boda..imeisha hiyo
Inategemea ni kipi kinaingiza ela, unaweza kuta gari hiyo ingiza faida ya 500k kwa mwezi huwezi ilinganisha na kiwanja cha 10m unachongoja kipande thamani ndio upate ela.kwa akili yako mwenye gari ya mil 100 na mwenye uwanja wa milion 10 nani tajili?
Ndio unamaisha magumu ndio maana umefuatilia pesa za mtu tajiri hawezi kuona wivu wa dizaini yako tafuta pesa wivu hautokufikisha kokote zaidi utakufa masikiniUtakua unanijua kama ninamaisha magumu ok
Wewe bwana unanichekeshaga sana 😀 na comment zako full migegedoo tuu hapo juu nimecheka eti "I hate women" 😀Kweli kabisa ukiwa na gari mbona totoz unaenjoy nazo vizuri.
Gari muhimu jamani ili kupata pisi kali ugegede
Hivi mwanamke naridhika?Anachofanya jamaa ni sahihi? Uhangaikie kununua gari kisa kumridhisha mwanamke?