DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,805
- 4,107
Nimekupata mkuu, ngoja nimteme huyu bata.Oya tafuta namna ya kuishi nae au potezea hapo yatatoka matusi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupata mkuu, ngoja nimteme huyu bata.Oya tafuta namna ya kuishi nae au potezea hapo yatatoka matusi tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji7] [emoji7] tena ukutane na chuma TATA Konde Boy au Ruwaika eeh utafurahi mwenyewe
gari ya milion 100 service yake kwa mwaka ni viwanja vyako viwili na bado mafuta CC35000kwa akili yako mwenye gari ya mil 100 na mwenye uwanja wa milion 10 nani tajili?
Daladala/mwendokasi zifutwe.[emoji7] [emoji7] tena ukutane na chuma TATA Konde Boy au Ruwaika eeh utafurahi mwenyewe
Hiki ni kipimo cha nini?Huu Ni upambavu wa kiwango Cha juu Sana, gari sio kipimo Cha utajiri
chuma Makumbusho Mbagala hiyoDaladala/mwendokasi zifutwe.
Zinadhalilisha na zinavunja haki za binadamu.
Wasio na usafiri na wasioweza kukodi usafiri kama uber wafukuzwe daslam.View attachment 2720133
Sent using Jamii Forums mobile app
Ee kumbe?Kama ukoo mzima hawana Gari unategemea nini?
Hiyo ndio tafsiri ya athari Mbaya za Umaskini.
Fikiria kijana au Binti anaamini kuwa MTU kuvaa vizuri na nguo Safi ndio kuwa na Pesa.
Wanatumia Ile msemo wa Maskini kuwa kuvaa huficha umaskini.
Wanasahau kuwa kuvaa kunaficha umaskini Mbele ya Maskini wenzako.
Ukifika keko mataa ushashika bomba umechoka umechakaa, unaona mzazi wako au mkeo wanambambia huna cha kufanya...unatia huruma kama kubwa jinga.chuma Makumbusho Mbagala hiyo
yaani hapo full kuibiana
Si usafiri wa makapuku na watu wa hovyo lazima uwe kama bure.Unaweza ukajua bure yaani[emoji119][emoji119]
na bado gari litakufa na kuwa skrepa ila uwanja wangu uko palepale. sasa hapo mkuu nani tajiri hapo?gari ya milion 100 service yake kwa mwaka ni viwanja vyako viwili na bado mafuta CC35000
😂😂 we kwel maskini, ivi unajua mtu mpaka apate wazo la kutoa million 100, unadhani ni mdhaha huyu mtu ni tajiri tayari kupata chain ya kushila 100M cash brooo tafuta pesa fedha zinauwa watuna bado gari litakufa na kuwa skrepa ila uwanja wangu uko palepale. sasa hapo mkuu nani tajiri hapo?
mkuu ulikusudia gari ya aina gani maana kiupande wang tajiri ni mwenye gari la million 100..maana atakua analitumia kwenye harakat za kupakia abiria kwa route mbali mbali za mjini ila mwenye uwanja ule utabaki kua uwanja tu maana hautakua na msaada wowote wa kumuingiza kipatoUnamuuliza nani mimi mleta maada au muongeaji?
Si usafiri wa makapuku na watu wa hovyo lazima uwe kama bure.
#kataadaladala
Daladala ni kero
Daladala ni mateso
Daladala ni unyanyasaji
Daladala ni umaskini
Daladala ni laana
Daladala ni usafiri wa makapuku na watu wa hovyo
Wapanda daladala ni mazombi wafukuzwe mjini
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo mambo ya kuhudumia wanawake yamepitwa na wakati, ndio maana wanawake wanatafuta kazi za kufanya ili wajihudumie wenyewe.Hakuna mwanamke atakupenda the way ulivyo mhudumie mtoto wa watu hata kama huna hela uwe hata na gari anavokuja mtoto wa watu asichoke akae hata kwenye ma AC.
Mwenye gari ya ml. 100kwa akili yako mwenye gari ya mil 100 na mwenye uwanja wa milion 10 nani tajili?