Hii Button (Kitufe) kwenye hii gari hakuna anayejua kazi yake nini na wote wanaogopa ibonyeza

Hii Button (Kitufe) kwenye hii gari hakuna anayejua kazi yake nini na wote wanaogopa ibonyeza

watu wenye akili kama wewe walibaki wachache sana JF yaani hili huw alinanisikitisha sana kwa sasa wengi wamekuwa ni wale wengine. umetoa maelezo mazuri so. jamaa akabonyeze tu siyo kijipu uchungu?
Ahsante mzee

Hakina neno, akibonyeze tuu hamna tatizo kabisa
 
Jamaa yangu alinipitia tuende somewhere kusherehekea sikukuu yetu ya Muunganisho wa Tanganyika na Tangapwani.

Alikuja na gari yake mpya Toyota Rumion mwaka 2008 engine ya 1.8 actually hizi gari huwa naziona tu sikuwahi panda au dhania zingekuwa nzuri.

Ndani mambo si mengi saaaana. Ila imetulia sana barabarani. Inakamata vizuri lami hata ukifika 140 unaona gari imetulia tu imelalia lami vizuri inaji servia taratibu.

Nlichopenda ukienda upande wa Manual ina gear mpaka 7. Balaa lake si dogo. From 0- 100 kms inatumia sekunde 9. So nayo imo vizuri tu. Pia ni push start. Yaani unawasha kwa kubonyeza kitufe siyo kuzungusha funguo.

Jambo ambalo sikupenda sana ni kuwa ni CVT gear box. Inapobadili gear husikii kitu upande wa auto. Mimi napenda nisikie gear ikibadilika. Of course nina gari yenye mfumo huo but siifurahii sana. Coz napenda nisikie kitu kiki change.

Ina ECO system unapokuwa speed ndogo automatically inaenda kwenye mfumo huo. Ukikanyaga mafuta ikachanganya inajiondoa yenyewe.

Kiufupi nimeifurahia kuliko Forester yangu ya 2011 sijui kwa nini. Kubwa ni uwezo wake wa ku absorb mashimo kuliko Forester XT 2011. Yangu ni mpya pia ya mwaka jana mwezi wa 11.

But kuna button niliiona pembeni chini ya Usukani. Ni kabutton kadogo tu keusi. Nlimuuliza jamaa haka kana kazi gani. Hakuweza jibu. Akasema naye hajui sababu aliwauliza show room hawakuweza mjibu so anaogopa kukabonyeza.na akanitaka nisikaguse kanaweza kuwa ni kajipu Uchungu.

Ka button kenyewe ndo haka hapa. Wadau wenye kufahami je. Kana kazi gani haka.

View attachment 2202021
Anaogopa kubonyeza kibutton cha gari,ila kubonyeza kavu kwa demu wake haogopi...
 
Ngoja niseme uongo ili mjuaji aje aseme ukweli hako kabutton kazi yake ni kuiadjut steering inaweza kukufata mbele zaidi au kuishusha chini zaidi ndo hivyo.
 
Hiyo ni voice command mkuu [emoji1787] bonyeza tuu ila tatizo huwa zinaongea kijapan kwhy jipange pia kwenye lugha [emoji1787][emoji1787]
 
huna gari au una kagari kadogo sana. Range Rover Sports zinatoka 0-100 speed kms kwa sekunde 6.6 we unashangaa hiyo 9? na zipo ambazo ni chini ya hapo.

unatakiwa uwe unafahamu magari usiwe tu unabisha sababu ni maskini. mara nyingi maskini wa mawazo huwa wanatafuta pa kubisha au kukosoa. hiyo kawaida kabisa. nenda kawaulize wenye magari ya ukweli. achana na usafiri maana pengine una babywalker inatumia sekunde 60+

Ungejibu swali lake la msingi (la kitufe) haya mengine hayana umuhinu, tupo wengi sana hapa JF muhimu ni “FOCUS” ya kilicho ulizwa ili wote tupate elimu.
 
huna gari au una kagari kadogo sana. Range Rover Sports zinatoka 0-100 speed kms kwa sekunde 6.6 we unashangaa hiyo 9? na zipo ambazo ni chini ya hapo.

unatakiwa uwe unafahamu magari usiwe tu unabisha sababu ni maskini. mara nyingi maskini wa mawazo huwa wanatafuta pa kubisha au kukosoa. hiyo kawaida kabisa. nenda kawaulize wenye magari ya ukweli. achana na usafiri maana pengine una babywalker inatumia sekunde 60+
Kuna gari inaitwa Golf GTI MK7 aisee huyo mnyama ni balaa...ila mkuu Range Rover ni nzito inaweza ikaanza kukimbia hivyo lakini baada ya ya kufika top speed ikawa kawaida...gari za chini ndo hua zinabalaa..i e Porsche 911, VW etc...
 
Muachage uongo bhana, unazijua sekunde 9 wewe?

Ni nyingi au chache?

huna gari au una kagari kadogo sana. Range Rover Sports zinatoka 0-100 speed kms kwa sekunde 6.6 we unashangaa hiyo 9? na zipo ambazo ni chini ya hapo.

unatakiwa uwe unafahamu magari usiwe tu unabisha sababu ni maskini. mara nyingi maskini wa mawazo huwa wanatafuta pa kubisha au kukosoa. hiyo kawaida kabisa. nenda kawaulize wenye magari ya ukweli. achana na usafiri maana pengine una babywalker inatumia sekunde 60+

  • McLaren P1, BAC Mono - 2.8s. ...
  • Caterham 620R, 2.79s to 60mph. ...
  • Hennessy Venom GT - 2.7s to 60mph. ...
  • Porsche 911 Turbo S (992) - 2.6s to 62mph. ...
  • Rimac Concept One – 2.5sec to 62mph. ...
  • Porsche 918 Spyder, Koenigsegg One:1 – 2.5sec to 60mph. ...
  • Tesla Model S, Porsche Taycan Turbo S, Bugatti Chiron - 2.4s to 62mph.
angalia hizi please ujifunze kitu.. kuna gari zinatumia sekunde 2.5 kutoka 0-100. imagine 2.5 seconds. acha kabisa.

Koenigsegg Gemera
Inaenda 0-60mph in under 2 seconds

According to some sources wanasema its 12.7

kwaio inaweza kutembea 100km\9sec from 0

Toyota supra ina 4,3 seconds na ni ya kijapan

Nissan GT-R R35 ina 3.7 seconds
... ninyi wote mnazungumzia concept moja - ACCELERATION. Ni gari ipi yenye acceleration kubwa; inayobadili kasi kwa haraka zaidi.
 
... ninyi wote mnazungumzia concept moja - ACCELERATION. Ni gari ipi yenye acceleration kubwa; inayobadili kasi kwa haraka zaidi.
Mnataka kutuambia kwamba kuna magari 'super car' yana speed inayokaribiana na umeme?

Yaani li-accelerate umbali wa KM 100 kwa sekunde 2.5?

Hivi unajua sekunde 2.5 ni almost sawa na kufumba na kufumbua macho mara 3 kasoro

Yaani hata lisipoanzia initial velocity "0" haliwezi kusafiri umbali wa KM 100 kwa sekunde 2.5

Fastest jet kuliko zote ulimwenguni ina-accelerate kwa muda gani umbali wa KM 100?

Kwa heshima na taadhima naomba nirekebishwe kama nimekosea
 
Mnataka kutuambia kwamba kuna magari 'super car' yana speed inayokaribiana na umeme?

Yaani li-accelerate umbali wa KM 100 kwa sekunde 2.5?

Hivi unajua sekunde 2.5 ni almost sawa na kufumba na kufumbua macho mara 3 kasoro

Yaani hata lisipoanzia initial velocity "0" haliwezi kusafiri umbali wa KM 100 kwa sekunde 2.5

Fastest jet kuliko zote ulimwenguni ina-accelerate kwa muda gani umbali wa KM 100?

Kwa heshima na taadhima naomba nirekebishwe kama nimekosea
... gari kwenda kwa kasi ya 100km/hr haimaanishi itasafiri 100km kwa sekunde 2.5 bali ina uwezo wa kusafiri 100km kwa 1 hr. Kinachozungumzwa hapa ni kwamba kuna gari zenye uwezo wa ku-attain 100km/hr ndani ya 2.5 sec which is possible. Nikupe mfano mwingie, inawezekana gari kufikia kasi ya 200km/hr ndani ya umbali mita 50.
 
... gari kwenda kwa kasi ya 100km/hr haimaanishi itasafiri 100km kwa sekunde 2.5 bali ina uwezo wa kusafiri 100km kwa 1 hr. Kinachozungumzwa hapa ni kwamba kuna gari zenye uwezo wa ku-attain 100km/hr ndani ya 2.5 sec which is possible. Nikupe mfano mwingie, inawezekana gari kufikia kasi ya 200km/hr ndani ya umbali mita 50.

Sawa, nimekuelewa, ahsante [emoji4]
 
Hicho unabonyeza halafu una adjust steering kama unataka kushusha au kupandisha ukikiachia ina lock sehemu unayotaka steering.
 
Back
Top Bottom