[emoji13] kati ya watu ambao wanapata raha basi ni wanawake ambao wameolewa na wanaume wanaojua kupika, maana ukimzingua tu ye anaingia jikoni mwenyewe, sema wanawake wengi hilo hawalijui[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Na kingine napenda mwanaume anaejua kupika. Nikae ye anipikie siku moja moja.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ulishawahi kuingia jukwaa la mapishi kwenye ule uzi wa vyakula tu? Kwa kubobea tu ni mbobezi si mchezo, miaka zaidi ya 20. Hata kama ningekuwa nimesomea basi ni mwaka mmoja tu unakuwa fit jikoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Usinikumbushe nilitengeneza juice nilichokitoa Mungu anajuaKuna pishi nililiona la keki ya nanas kuja kuijaribu aaaaai ni chachu hahaha sikuitaka tena,kutaka kujifunza kila kitu kunatucost,sjui nlikosea wap
Kwa imani amen..Utapata tu
Hahaha we ni mfatliaj wa mapish loh aiseSometimes ka video kanasaidia. Unakuta anakuambia kaanga vitunguu hadi viwe 'golden brown' sasa hapo golden brown labda kwenu wadada..mimi golden brown ni rangi nyingi mno.
Wakati mwingine recipe za kizungu zinasema;
- add a pinch of sugar
- add a dash of salt
- add a smidgen of cinnamon
- add a tad of cardamom
Hapo unaahirisha kupika, unapika zako ugali na tembele unalala.
Unaendaga kwny nyumba za majirani wa kiume na marafiki...Zingine ni za majirani,ndugu,jamaa,na marafiki,zikiwa zangu mbona nasema tu[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba hata huelewi ndo vimekua golden brown au vimeungua unajionea mauza uza tu.Sometimes ka video kanasaidia. Unakuta anakuambia kaanga vitunguu hadi viwe 'golden brown' sasa hapo golden brown labda kwenu wadada..mimi golden brown ni rangi nyingi mno.
Wakati mwingine recipe za kizungu zinasema;
- add a pinch of sugar
- add a dash of salt
- add a smidgen of cinnamon
- add a tad of cardamom
Hapo unaahirisha kupika, unapika zako ugali na tembele unalala.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] upate anang'arisha af ni mchambaj utajutaHapo kwenye kufua kwa kweli sina kazi napo sanaaa maana mi mwenyewe kufua siwezi.
tupooooWanaume wanaojua kupika hua wanachelewa sana kuoa
Mi bwana natamani niolewe na mwanaume anaejua kupika. Sababu nikikaa na mtu anajua kupika napenda anipikie.[emoji13] kati ya watu ambao wanapata raha basi ni wanawake ambao wameolewa na wanaume wanaojua kupika, maana ukimzingua tu ye anaingia jikoni mwenyewe, sema wanawake wengi hilo hawalijui[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Majiran wa kike wanakujaga kunisimulia nyumban kwetuUnaendaga kwny nyumba za majirani wa kiume na marafiki...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Usinikumbushe nilitengeneza juice nilichokitoa Mungu anajua
Mi ntamwambia baby kanunue tu mashine maana hilo jambo litatugombanishq [emoji23][emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] upate anang'arisha af ni mchambaj utajuta
Na kingine napenda mwanaume anaejua kupika. Nikae ye anipikie siku moja moja.
swali ni je? wangapi wanafanya hivyo ili kudumisha uhusianoMzigua90 Mzigua90 Mzigua90 raha zaidi ni muwe mnapika pamoja. Jiko la ndani, nyumbani mko wawili peke yenu...Ijumaa jioni mmewahi wote kutoka kazini au Jumamosi asubuhi mmeamka saa mbili hivi, ama Jumapili hivi mmetoka ibadani...mnaingia jikoni wewe na khanga tu (au mtandio) na bra pekee, yeye atupie vest na bukta..muanze kukarangiza..huyu anafanya hiki mwingine anafanya kile aisee....
Hata ikiwa katikati ya wiki..aisee jikoni ukiamua kupatumia vizuri utapapenda kuliko chumbani nakuhakikishia.
Ningekua bado ningekuPM bahati mbaya/nzuri mdogo wako ameniwahi [emoji13] maana mi sioni tabu kumpikia mtu madhali usiku inakuwa zamu yake kushika mwiko[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Mi bwana natamani niolewe na mwanaume anaejua kupika. Sababu nikikaa na mtu anajua kupika napenda anipikie.
Na we unajua kupika?tupoooo
Haraka haraka haina baraka[emoji23] [emoji23] hawana haraka
Kuweka sukari kwenye chapati za maji {magole} inamaana hata kama utakosa chai au kinywaji chochote basi unaweza kuzila kavu au hata ukashushia na maji.Umeziangalia vizuri lakini? Halafu siwaelewagi wanaowekaga sukari kwenye chapati za maji
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mi ntamwambia baby kanunue tu mashine maana hilo jambo litatugombanishq [emoji23][emoji23]