Jolie Jolie
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 7,406
- 13,806
Hahahha nimecheka tuMzigua90 Mzigua90 Mzigua90 raha zaidi ni muwe mnapika pamoja. Jiko la ndani, nyumbani mko wawili peke yenu...Ijumaa jioni mmewahi wote kutoka kazini au Jumamosi asubuhi mmeamka saa mbili hivi, ama Jumapili hivi mmetoka ibadani...mnaingia jikoni wewe na khanga tu (au mtandio) na bra pekee, yeye atupie vest na bukta..muanze kukarangiza..huyu anafanya hiki mwingine anafanya kile aisee....
Hata ikiwa katikati ya wiki..aisee jikoni ukiamua kupatumia vizuri utapapenda kuliko chumbani nakuhakikishia.
Hilo zoezi la kupika hivyo jikoni nitaunguza chakula na masufuria kila siku. Wakati sijawa mama naishi mwenyewe bf alikua akija inabidi nipike kabla hajaingia ndani. Maana akifika eti niko jikoni na zoezi la kupika linaingia mapumziko. Nikipata anaejua kupika nitakua napika nae mkuuMzigua90 Mzigua90 Mzigua90 raha zaidi ni muwe mnapika pamoja. Jiko la ndani, nyumbani mko wawili peke yenu...Ijumaa jioni mmewahi wote kutoka kazini au Jumamosi asubuhi mmeamka saa mbili hivi, ama Jumapili hivi mmetoka ibadani...mnaingia jikoni wewe na khanga tu (au mtandio) na bra pekee, yeye atupie vest na bukta..muanze kukarangiza..huyu anafanya hiki mwingine anafanya kile aisee....
Hata ikiwa katikati ya wiki..aisee jikoni ukiamua kupatumia vizuri utapapenda kuliko chumbani nakuhakikishia.
Wengi hawafanyi ng'o kwanz wanaume wengin kuingia jkon anaona kama anajishushia heshimaswali ni je? wangapi wanafanya hivyo ili kudumisha uhusiano
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ningekua bado ningekuPM bahati mbaya/nzuri mdogo wako ameniwahi [emoji13] maana mi sioni tabu kumpikia mtu madhali usiku inakuwa zamu yake kushika mwiko[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
Hahha aaaaiseeeKuweka sukari kwenye chapati za maji {magole} inamaana hata kama utakosa chai au kinywaji chochote basi unaweza kuzila kavu au hata ukashushia na maji.
Wachache sana. [emoji23][emoji23]swali ni je? wangapi wanafanya hivyo ili kudumisha uhusiano
Kwa hii chapati hongera mkuuHii ilikuwa chapati yangu ya kwanza kutengeneza...
View attachment 717963
Hii ni baada ya kufundishwa....
Na bado nina imani nina a lot of room for development. Sikuwahi kudhani kama ningeweza kupika chapati, nilikuwa nachukulia ni mapishi magumu balaa....ila....
Hiyo mingano iliyofinyangwa kwa pamoja ndo unaiita chapati? Acha dharau mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Heshima kwenu wakuu,
Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.
Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani
Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.
Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani? View attachment 717776
Naona zinakifu bwana. Uweke yai bado na sukari.Kuweka sukari kwenye chapati za maji {magole} inamaana hata kama utakosa chai au kinywaji chochote basi unaweza kuzila kavu au hata ukashushia na maji.
Kwamba mnaanza mechi badala ya kupika ama vepeHilo zoezi la kupika hivyo jikoni nitaunguza chakula na masufuria kila siku. Wakati sijawa mama naishi mwenyewe bf alikua akija inabidi nipike kabla hajaingia ndani. Maana akifika eti niko jikoni na zoezi la kupika linaingia mapumziko. Nikipata anaejua kupika nitakua napika nae mkuu
nikiwemo hahahaWachache sana. [emoji23][emoji23]
Acha tuu. Maana navaaga mitandio tu sasa akiona aanashindwa kabisa yani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba mnaanza mechi badala ya kupika ama vepe
Huu mfuniko wako tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
swali ni je? wangapi wanafanya hivyo ili kudumisha uhusiano
Unajitahidi kupika ila njegere upike za nazi ndo nzuri
Itakua chura kubwa,sas sisi tusio na chura uvae mtandio peke ake si kutaka tu kuchekesha waliofiwaAcha tuu. Maana navaaga mitandio tu sasa akiona aanashindwa kabisa yani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio maisha hayoHuu mfuniko wako tu[emoji23] [emoji23] [emoji23]