Unajitahidi kupika ila njegere upike za nazi ndo nzuri
Hii comment sjui niitunze wapi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani true kabisa[emoji13] [emoji13] [emoji13] walisema kuhusu ukosoaji kumbe wao ndio wakosoaji wakubwa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
Hahaha mmegundua na nyie mmekuwa kama hawa wanaume mnaowasema wakosoaji eeh...!
ama kweli nyani haoni kundule...
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nataman nikuone unavokuna naziHalafu ukimkuta Joseverest amekaa upande anakuna nazi na mbuzi wake utamsema na kumuanzishia thread humu hahaha...
Mimi kwa kweli mbuzi ninayo lakini ni kwa ajili ya wadogo zangu tu wakija. Nikihitaji ladha ya nazi natumia za azam...ingawa mara moja moja huwa najilipua tu ila nikikuna nakuwa na mlango nimefunga kabisa! Wabongo mna maneno sana....
Nimekufowadia PM.
Nashukuru ntaifoad sehemHalafu ukimkuta Joseverest amekaa upande anakuna nazi na mbuzi wake utamsema na kumuanzishia thread humu hahaha...
Mimi kwa kweli mbuzi ninayo lakini ni kwa ajili ya wadogo zangu tu wakija. Nikihitaji ladha ya nazi natumia za azam...ingawa mara moja moja huwa najilipua tu ila nikikuna nakuwa na mlango nimefunga kabisa! Wabongo mna maneno sana....
Nimekufowadia PM.
Mimi ujinga wa kuendeshwa endeshwa na jirani sitaki..!Na ndo uswahilin kwetu ilivyo,hasa sie wa majiko ya mkaa,ah mwanaume anawashia jiko ndani,akitoa nje anaweka haraka haraka afu mbio ndani
Mkuu mbona picha umechukua FB umetengeneza ww kweli?Heshima kwenu wakuu,
Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.
Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani
Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.
Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani? View attachment 717776
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] namuelekeza jamani anogeshe chakula chakeHahaha mmegundua na nyie mmekuwa kama hawa wanaume mnaowasema wakosoaji eeh...!
ama kweli nyani haoni kundule...
[emoji85] [emoji85] [emoji85]Yaani true kabisa[emoji13] [emoji13] [emoji13] walisema kuhusu ukosoaji kumbe wao ndio wakosoaji wakubwa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
Mmhh! Emu acha kunikalili..! Utakujaga kuninyima papuchi wewe[emoji125][emoji125][emoji125]Na Mama T je???
Usione haya kawaida tu, hata kwenye mpira wa miguu aliye juu anaona sana kuliko mchezaji uwanjani[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125][emoji85] [emoji85] [emoji85]
DahMimi ujinga wa kuendeshwa endeshwa na jirani sitaki..!
Demu wangu sipendi upuuzi wa majirani kujifanya ni zaidi ya wenyeji kwangu..
Hahahaaa.... Hiyo ndo raha. Ukikosea si anakuelekeza? Ukijua maisha yanasonga. Usiogope kukosolewa.Mtu ukiolewa na mwanaume anaejua kupika ni kazi sana,utapika mchuzi wako vzur atakosoa mpaka ujione mdogo,pika andazi lako atalitoa kasoro hadi ujiogope,mara vitunguu hujakaanga vizuri,mara nyanya hazikuiva,mara mafuta umetia mengi,mara andazi halijaumuka yan tabu
Mmmh
Kwani kakuambia hana😱
Mmhh! Emu acha kunikalili, utakujaga kuninyima papuchi wewe[emoji125][emoji125][emoji125]Na Mama T je???
Uwe unakuna nazi ya kutosha unaweka kwenye fridge. Ukikata kupika unapasha tu maji unachuja zako tui. Mi nazi ya azam siwezi kuila tena. Nazi ya kawaida ina ladha kwenye msosi. Ile ya azam unasikia harufu tu ila ladha hamna. Kama dada anakujaga kwako mwambie awe anakukunia aweke kwa fridge uachane na nazi za azamHalafu ukimkuta Joseverest amekaa upande anakuna nazi na mbuzi wake utamsema na kumuanzishia thread humu hahaha...
Mimi kwa kweli mbuzi ninayo lakini ni kwa ajili ya wadogo zangu tu wakija. Nikihitaji ladha ya nazi natumia za azam...ingawa mara moja moja huwa najilipua tu ila nikikuna nakuwa na mlango nimefunga kabisa! Wabongo mna maneno sana....
Nimekufowadia PM.
Jamaa kaniumbua kweli. Ila maisha yanasonga.Hahah..
Nimeenda kwa yule Aroma. Nitaanza kupika vyakula vyake weekend[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hii sijajua. Wanaringa kwa upande upi?Na wanaringa sana
Mmhh! Emu acha kunikalili, utakujaga kuninyima papuchi wewe[emoji125][emoji125][emoji125]Na Mama T je???
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwamba unahisi atakua anakuna kama wanavyofunzwa kina dada jinsi ya kukuna nazi na makungwi wao?[emoji23] [emoji23] [emoji23] nataman nikuone unavokuna nazi