Mropoka Hovyo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2023
- 446
- 1,253
- Thread starter
- #21
Dah! Haya madude mkuu natamani nijifunze lkn ndio hivyo majukumu yananikaba mpaka nakosa mda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah! Haya madude mkuu natamani nijifunze lkn ndio hivyo majukumu yananikaba mpaka nakosa mda.
Eeeh nataka nifanye modelling ya groundwater flow.. maisha magumu sanaMkuu hii ni C++ nini?
Achana nayo mkuu, mateso tuDah! Haya madude mkuu natamani nijifunze lkn ndio hivyo majukumu yananikaba mpaka nakosa mda.
Deepseek tunalipa.chatGPT ni bure
Hahahaa mkuu nilikuwa napoteza nalo mda tuChat with real people, upweke utakuua kamanda wangu😃😃
Ni nini hii mkuu?Yani wazungu bana hii chartGPT wametuweza sana, hata hivyo wakuu, hii kitu isifananishwe na Ile takataka ya wachina kabisa. Chartgpt ni next level .
View attachment 3234506🤣🤣🤣.
Duh kila la kherEeeh nataka nifanye modelling ya groundwater flow.. maisha magumu sana
Na yanatupa ushauri mzuri kabisa, dunia inabadilika.Siku hizi hatuaminiani hadi mahusiano tunaiuliza chatgpt daahh
Binafsi natumia hii ya free tu mkuu.By the way mkuu.. Hivi ni shilingi ngapi kwa mwezi kama ukihitaji kulipia au unatumia ya free tu
Siku hizi hatuaminiani hadi mahusiano tunaiuliza chatgpt daahh
By the way mkuu.. Hivi ni shilingi ngapi kwa mwezi kama ukihitaji kulipia au unatumia ya free tu
Ni freeHivi zinalipiwa hizo app
Hahaha dah!Sio kila kitu ni accurate 😂
ni nzuri ila inatakiwa iwe for fun na haifai kwa watoto sababu mtoto anatakiwa ajifunze kusocialize na watu halisi sio AiYani wazungu bana hii chartGPT wametuweza sana, hata hivyo wakuu, hii kitu isifananishwe na Ile takataka ya wachina kabisa. Chartgpt ni next level .
View attachment 3234506🤣🤣🤣.
Mbona me natumia bure hiyoDeepseek tunalipa.
Mbeya sana yani anakuulizia hadi mrembo wako wa Nigeria
Tengeneza ya kwako basi kama ni jambo la kawaidaSasa cha ajabu ni kipi hapo? Si hiyo information inakua fed in kwenye system nakutumika wakati wowote.
Kuna Siku nilikuwa najaribu kuiuliza Deepseek kuhusu mambo ya china, dah! it was very boring lkn nakubaliana na wewe Deepseek bado nitishio kwa chartgpt.Unajua kuna chatbots nyingi marekani, kuna gemini, kuch glock, kuna ya facebook jina nimesahau lakini hizo zote hazijawahi kuipa presha chatgpt. Ukion ile deepseek imeipa presha chatgpt na waliotetemeka na hao hao wamarekani jua kuna kitu. Altman mwenyewe alisema nao wataangalia namna ya kutumia njia waliotumia deepseek kutrain models zao.
Yani wazungu bana hii chartGPT wametuweza sana, hata hivyo wakuu, hii kitu isifananishwe na Ile takataka ya wachina kabisa. Chartgpt ni next level .
View attachment 3234506🤣🤣🤣.
Big NOBaada ya Mungu Ni mzungu
Mimi nimeshindwa kuitumia maana unaniambia ni login kwa emailKuna Siku nilikuwa najaribu kuiuliza Deepseek kuhusu mambo ya china, dah! it was very boring lkn nakubaliana na wewe Deepseek bado nitishio kwa chartgpt.
Yani wazungu bana hii chartGPT. Chartgpt ni next level.