Palmoni
JF-Expert Member
- Jun 13, 2024
- 1,968
- 3,760
Mungu Ukiongeza Z Baada M=Mzungu,,,Mzungu Ukitoa Z=Mungu,,,,Niendelee Na Somo Au Tuachane Na Mambo Ya Kospiransi.Baada ya Mungu Ni mzungu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu Ukiongeza Z Baada M=Mzungu,,,Mzungu Ukitoa Z=Mungu,,,,Niendelee Na Somo Au Tuachane Na Mambo Ya Kospiransi.Baada ya Mungu Ni mzungu
Ushamba mwingine ukafungua na nyuzi, kweli kuna watu wapo nyuma sanaYani wazungu bana hii chatGPT wametuweza sana, hata hivyo wakuu, hii kitu isifananishwe na Ile takataka ya wachina kabisa. Chatgpt ni next level .
View attachment 3234506🤣🤣🤣.
Unachukulia rahisi??Sasa cha ajabu ni kipi hapo? Si hiyo information inakua fed in kwenye system nakutumika wakati wowote.
Kwenye coding mtumie quen ai
ukitaka ikijibu irun locally na uedit code maana wao kama wao hawawezi ruhusu hilo labda kama wanataka kufungwaKuna Siku nilikuwa najaribu kuiuliza Deepseek kuhusu mambo ya china, dah! it was very boring lkn nakubaliana na wewe Deepseek bado nitishio kwa chartgpt.
Huoni cha ajabu hapo wewe unaweza kutengeneza roboti na likawa linaongea au kuchart na mtu kama real..Sasa cha ajabu ni kipi hapo? Si hiyo information inakua fed in kwenye system nakutumika wakati wowote.
DeepSeek is an Open-source AI model that uses a mixture of experts approach, making it more efficient and cost-effective than ChatGPT. it excels in technical tasks and mathematical computations, while ChatGPT offers better use experience and broader capabilities.What is Deepseek
OkDeepSeek is an Open-source AI model that uses a mixture of experts approach, making it more efficient and cost-effective than ChatGPT. it excels in technical tasks and mathematical computations, while ChatGPT offers better use experience and broader capabilities.
Nakazia.Baada ya Mungu Ni mzungu
Ndo akina nani hao lo??
ndio meku.. karibu ofisini kwetu tunawaunganisha watu na chatGTP kwa gharama nafuuHivi zinalipiwa hizo app
AINdo akina nani hao lo??
Interesting