.........................Wiki ijayo mnaanza kuchungulia kalenda na kuona tarehe 22 ipo mbali.Wanajeshi tumelipwa Jana mapema tu tuko baa saiv tunatamba tu keshokutwa tunarudi vilabu vya pombe chafu
Pesa ya bandari ndiyo ilikuwa inalipa mishahara, sasa bandari kapewa DPWorld. Wafanyakazi mtajitafutaSina hakika kama serikali itakuja shindwa kulipa watumishi mishahara kama sri lanka
Pesa hamna? Dreamliner limepeleka taifa stars morocco, limekaa kule siku hamsa, timu imepewa 0.5bn ya bure bure, halafu unasema sirikale haina 700bn ya kulipa watumishi? Acheni utani. Mama anaupiga mwingiKimsingi hamuna malipo yoyote si kwa wakandarasi wala wazabuni wala mradi wowote wa Maendeleo toka mwanzo wa mwezi huu. Hali ni ngumu kibubu kimekauka kabisa.
Sina njaa Zaid nimeona niwachane wote mnadhan kila mwajiriwa serikalin Ana njaa kuwazid nyie mliomitaani.Pole sana,hizi hasira za kucheleweshewa mshahara!
Muache huyo wa biashara ndogo ndogo anaufala mwingiSina njaa Zaid nimeona niwachane wote mnadhan kila mwajiriwa serikalin Ana njaa kuwazid nyie mliomitaani.
Na mbaya Zaid hao hao watumish kwa asilimia kubwa ndio tegemeo kwa nyie wafanyabiashara ndogo ndogo.
Kwahiyo wewe ndio una njaa maana biashara imebuma mzunguko hakuna ,had watumishi wapate salary ndipo na wewe unawili.
Thubutu 😂 😂 hapa mshamisi kelele za ATM 😀😀Hata mwaka🤣
Kule gaza wanatumia nn mkuu,TISS ya huko au military intelligenceNajua na Hadi Kuna cheo kinaitwa Chief of military intelligence
Huwezi kulinganisha Military intelligence na TISS ambayo ndio yenye mamlaka kamili kwenye Ujasusi na intelligence
Hivi nanyinyi Bado?Thubutu 😂 😂 hapa mshamisi kelele za ATM 😀😀
Nafikiri bado sijacheck lakiniHivi nanyinyi Bado?
Huna haraka, hapa mwenzio Kila muda naangalia simuNafikiri bado sijacheck lakini
Hamna kituu bado kelele za wanasiasa unaweza ukapiganaHivi nanyinyi Bado?
Ehne wewe si umesema hata mwak poa tu😀😀🙌Huna haraka, hapa mwenzio Kila muda naangalia simu
Namlipaje leo tarehe 12 wakati alianza kazi tarehe 1?, kwa msingi upi hasa?Kwa umelipa Mfanyakazi wako Wa ndani Leo Tarehe 12 mwezi ujao unategemea umlipe tarehe ngapi?
Tarehe 30 au tarehe 12..
Ukimlipa Tarehe 30 mwezi ujao utakuwa Sawa..?
Ya kweli hayo?Mishahara imeshaanza kutoka subirini.Mi sms imeingia toka NMB tayari.
UmenichekeshaKwa Kaz gani wannafanya wanashinda makambini tu na Kisha kwema kuwapiga kina genta kawe ukwamani
Umeelewa swali?Namlipaje leo tarehe 12 wakati alianza kazi tarehe 1?, kwa msingi upi hasa?
Amelewa swali😅Umeelewa swali?