Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Juzi kati hapa alienda kuhemea Arabia.

Kwani hakuna kilichoingia?
 
Duh!....zimekwenda wapi hizo pesa ?
 
Jipe miaka 3 au 4 jijenge vyema. Baada ya hapo jijenge zaidi kwa kufanya uwekezaji.

Yaani shughuli za kwako mwenyewe binafsi ambazo zitakuingizia kipato na kuweza kumudu gharama za maisha mbali na kunyanyuka kiuchumi.
 
Kimsingi hamuna malipo yoyote si kwa wakandarasi wala wazabuni wala mradi wowote wa Maendeleo toka mwanzo wa mwezi huu. Hali ni ngumu kibubu kimekauka kabisa.
Upo sahihi!

Ila kwa ambao hawajui watakubishia.
 
DALILI ZINAONYESHA HAZINA HELA NI CHANGAMOTO KWANI NASIKIA HATA ELIMU BURE HAIJAWEKWA YA OCTOBER .
Sio elimu bure, niradi yote ya maendeleo imesimama. Hakuna fedha iliyolipwa toka October ndio maana hata wale wa SGR hawafanyi kazi na wanapunguza watu. Hakuna OC Maofisini wala malipo ya fedha za maendeleo. Kama kuna mtu yupo kwenye mfuml ule wa MUSE aseme hapa kama nadanganya.
 
Mtu kaanza kazi mwanzo wa mwezi, tarehe 1, kwanini alipwe mshahara tarehe 22? Au 12 kama ulivyotoa mfano?
Kwahyo kwakuwa watumishi wanatofautiana siku ya kuanza kazi kwahyo...unapropose kila siku iwe ni Siku ya Mshahara kwa kila mtu?

Kwa mfano kuna wanaoanza tarehe 1 kazi 2 mpaka 10 na kuna wengine wanaanza 12 na kuendelea..

Kwahyo kila mtu alipwe kwa Tarehe iliyoanza kazi?
Huoni kama itakuw Vurugu?
Maana leo unaweza ukasikia Fulani leo kapata mshahara,kesho kapata ,mwingine n.k

Na ndio maana kuna standard ya Payroll Iwe siku zinazofanan haijalishi umeanza kazi lini ila tu uwe umeanza kabla ya tarehe 15 ya ujazwaji ya Taarifa za kiutumishi za mishahara HCMIS...

Na kumbuka Tarehe hiyo huwa ni starting point ya Circle ambayo itaendelea Kila mwezi ambayo hukamilisha siku thelethni inaweza ikaanza kwa circle ndogo ila kadiri inavyoendelea huwa sawa..

Kwa mfano unaweza ukaanza kazi tarehe 1 na tarehe 22 ukapata mshahara wa mwezi wa Tatu (lets say)

Ili ifike tarehe 30 tangu upokee mshahara wa kwnza itakuwa Tarehe 22 ya mwezi wa 4 (Unaofuata)..
So iko sawa kulingana na miezi inayofuata sio mwezu uliopo.....

Huwezi kuhesabu kabla hujaanza na Moja hapo moja yenyewe haihesabiki!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…