Hii daladala iliyotaka kuleta ajali msafara wa CDF iadhibiwe, haina adabu

 
hata viongozi wezi nao mungu aendelee kuwalinda?
 
Tulikwisha kubaliana kuwa Serikali yote ihamie Dodoma!!
 
Siku hizi vigolagola vingi

Ova
 
Uzuri wa misafala ya kijeshi huwa ni chap kwa haraka, wengine hata hawawasikamishi ila wanapenya penye nafasi tu, wanasepa zao.

Wakibeba mavifaru na mavifaa yao wala hawataki tabu na mtu, wanapishana na magari tu, wao wanapanda nyie mnashuka na wako kasi kishenzi, akili zao wanazijua wao.
 
hata wale mammp nimewapenda sana traffic alipokuja akawashusha abiria janaa wakasemaa no tupabde nao wakashuke tumalizane nao hawa aisee niliogopa walipanda wanne tu
 
Huyo jamaa leo atapigwa sana...

Lakini tujiulize, kipigo ni njia sahihi ya kurekebisha maadili ya mtu?

Kama jibu ni ndio, kwanini tusitumie njia hii kwa viongozi wetu wasio na maadili!

Mfano mtu amefanya ufisadi anapelekwa jeshini, anapigwa sana.
Kwa waTZ wenye vichwa vigumu...nadhani hii ndiyo njia mujarabu kabisa.
 
Semaanasiii Bwanaaaa sema na moyooowanguuuu semanasiisiBwanaa semaa na Moyooowanguu kula wimbo mkuu umenifurahisha patasmart gin mbili kwa bili yanguu...
Mpe salamu zangu huyu mtu na nusu
 
sitosahaauuuu watu walijambaa hataree walipoona gari linasimamishwa tukajua wotee tunaelekea pale karibu na mwenge kwenye 🥣 dah hamad tukasalimika
 
Nikiwa nasoma mbagala sikumoja daldalaa likaingilia msafara sikumbuki wa nani miakabhio gafla tukasimamishwa jitegemeee mara dreva ongoza gari mara shusha abiria aisee nikasema si angetushusha tu kituon maana wengine tulipoingizwa ndan kule tulipotoka tulianza kuulizia vyoo vya kulipia vikowapi......

Baada ya wiki jamaa mmoja akawa anaelezea konda na mwenzie walipelekwa sehenu wakapewa miche 3 ya sabuni na robo ndoo kila mmoja waaakikishe wameimaliza sijui walikula maskini......

Hawa mmmh...anawaona watakuja adithia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…