Bado sisi ni unbeaten. Matches za kimataifa tumefungwa moja, draw mbili na kushinda mbili.
Tunazungumzia Msimu huu.... Kwani Simba haijawahi pigwa 5 na 5 tena?Mechi za kimataifa umefungwa moja!???
Rivers si alikuchania chupi nje ndani,
Vipers nae akakupiga MBILI UCHI
Sasa mbona unbeaten zako zinabagua mechi π
Tunazungumzia Msimu huu.... Kwani Simba haijawahi pigwa 5 na 5 tena?
niko palee nasubiri atajibu niniKwani hizo unbeaten zilizofika 40+ zote ni mechi za msimu huu!????
niko palee nasubiri atajibu nini
Hata tuache za msimu uliopita tuanze sasa. Yanga ndo team pekee ambayo haijapoteza kwenye ligi...πniko palee nasubiri atajibu nini
Basi una afadhali kubwa sana kama unaridhika na mwenendo wa Yanga na nakupongeza maana hautapata magonjwa ya kujitakia. Angalia mwenzako huyu anavyojitafutia magonjwa kwa kukataa kuridhika:Hata tuache za msimu uliopita tuanze sasa. Yanga ndo team pekee ambayo haijapoteza kwenye ligi...π
Kwa hiyo hii mechi mmeshaimaliza kama ulivyosema jana, au kuna marekebisho ya kauli? π€£Hata tuache za msimu uliopita tuanze sasa. Yanga ndo team pekee ambayo haijapoteza kwenye ligi...π
Lengo lilikuwa wasitufunge hata goal moja huku. Ili sisi tukawafunge au kutoa draw ya magoli kwao.Kwa hiyo hii mechi mmeshaimaliza kama ulivyosema jana, au kuna marekebisho ya kauli? π€£
Sawa, nadhani lengo la kocha limetimia kwa 100%Lengo lilikuwa wasitufunge hata goal moja huku.
Lengo lilikuwa wasitufunge hata goal moja huku. Ili sisi tukawafunge au kutoa draw ya magoli kwaoKwa hiyo hii mechi mmeshaimaliza kama ulivyosema jana, au kuna marekebisho ya kauli? π€£
Kumbukeni hili neno.Lengo lilikuwa wasitufunge hata goal moja huku. Ili sisi tukawafunge au kutoa draw ya magoli kwao.