Tanga haiwezi kuishusha Mbeya, tuache ubishi wa mwanza na mbeya, ile ni zone kubwa Kwa Tanzania lile ni lango, utake kutoka mbeya, south, zimland, zambia, tswanaland, malawi, halafu kilimo, mpunga, mahindi, uchimbaji wa dhahabu japo chunya yote imejaa wasukuma ndio wanaofaidi dhahabu ile, kitu pekee cha ajabu ni serikali kutowekeza miundombinu bora, mfano uyole na mafiati panakosaje bypass au hata vivuko vya juu Kwa watembea Kwa miguu, haya cocoa ujue kyela ndio ina bei nzuri kuliko Tanga na Moro japo nao wana kokoa, Kwa kesi ya moro ngoja waanze kuexport karafuu tutawasikilizia mbali sana