stabilityman
JF-Expert Member
- Jul 9, 2024
- 259
- 483
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Rituals, yasiyokuhusu achana nayo.
Hawakawii kusema wanamuabudu padre.Pinduapindua kama voda.Rituals, yasiyokuhusu achana nayo.
Hao ni mapadre wapya wanawekwa wakfu.
Upadrisho ndo nini? Mbona viatu sare?Siku ya kupokea upadrisho hiyo
Eti maandiko! Nitajie mahali kwenye Biblia ilipoandikwa "rozari" na " kumuomba Bikira Maria"Ishara kubwa ya kujitoa rasmi kumtumikia Mungu mazima,Kuna jambo kubwa Sana linaendelea apo
Kwa mfano, katika kitabu cha Mwanzo 17:2-3, Abramu anaanguka kifudifudi baada ya kuambiwa na Mungu kwamba ataweka agano kati yake na Mungu.
Hayo yana uzi wake.Anza na habari kwa picha.Eti maandiko! Nitajie mahali kwenye Biblia ilipoandikwa "rozari" na " kumuomba Bikira Maria"
Hiyo style ya kuwekana wakfu kifudifudi mmeitoa kwenye andiko gani mtumishi??Rituals, yasiyokuhusu achana nayo.
Hao ni mapadre wapya wanawekwa wakfu.
Tutakapoenda mbele zaidi lazima tutaulizana kama Yesu(wapi kwenye biblia)alitumia vijiko,uma,kuvaa saa,kutumia simu na hotpots.Maswali lainilaini ili mradi tu muonekane mnataka kuenenda sawa sawia.Hiyo style ya kuwekana wakfu kifudifudi mmeitoa kwenye andiko gani mtumishi??
Kwani wewe kunya kwenye choo cha shimo na kunya kwenye sink umetowa kwenye andiko gani?Hiyo style ya kuwekana wakfu kifudifudi mmeitoa kwenye andiko gani mtumishi??
Mungu yupi?kati yake na Mungu.
Duh kutumia vijiko si sawa na mambo ya dini. Hiyo ni ibada ilihali kutumia kijiko si ibada ni vema umamjibu muuliza swaliTutakapoenda mbele zaidi lazima tutaulizana kama Yesu(wapi kwenye biblia)alitumia vijiko,uma,kuvaa saa,kutumia simu na hotpots.Maswali lainilaini ili mradi tu muonekane mnataka kuenenda sawa sawia.
Kwa nini usimjibu kadiri ya matarajio yake?Duh kutumia vijiko si sawa na mambo ya dini. Hiyo ni ibada ilihali kutumia kijiko si ibada ni vema umamjibu muuliza swali
Unataka kuleta ubishi kipumbavu sana, unauliza as if umemaliza maandiko yote na as if ni lazima kila kitu kiwe kimeandikwa.Hiyo style ya kuwekana wakfu kifudifudi mmeitoa kwenye andiko gani mtumishi??
No, dini ina mafundisho hivyo mpe mafundisho sahihi hata kama lengo lake ni kupotoshaKwa nini usimjibu kadiri ya matarajio yake?
Ungemuuliza Yesu alikaa kwenye mabenchi alipokuwa kwenye masinagogi?Yeye huwa anaenda kuabudu kwenye masinagogi?Unataka kuleta ubishi kipimbavu sana
Kuna maswali hayapaswi kujibiwa.Muache abaki nalo.Angekuuliza kuhusu kupiga magoti kanisani kuna maana ipi ungemueleza nini?No, dini ina mafundisho hivyo mpe mafundisho sahihi hata kama lengo lake ni kupotosha