Hii ina maana gani kwenye kanisa katoliki

Hii ina maana gani kwenye kanisa katoliki

stabilityman

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2024
Posts
259
Reaction score
483
1721497211928.jpg
hi
 
Ishara kubwa ya kujitoa rasmi kumtumikia Mungu mazima,Kuna jambo kubwa Sana linaendelea apo
Kwa mfano, katika kitabu cha Mwanzo 17:2-3, Abramu anaanguka kifudifudi baada ya kuambiwa na Mungu kwamba ataweka agano kati yake na Mungu.
Eti maandiko! Nitajie mahali kwenye Biblia ilipoandikwa "rozari" na " kumuomba Bikira Maria"
 
Tutakapoenda mbele zaidi lazima tutaulizana kama Yesu(wapi kwenye biblia)alitumia vijiko,uma,kuvaa saa,kutumia simu na hotpots.Maswali lainilaini ili mradi tu muonekane mnataka kuenenda sawa sawia.
Duh kutumia vijiko si sawa na mambo ya dini. Hiyo ni ibada ilihali kutumia kijiko si ibada ni vema umamjibu muuliza swali
 
Back
Top Bottom