Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Ukiongea Ukristo unamaanisha Ukatoliki kwa kuwa ndiyo Wakristu wa kwanza kabla ya kugawanyika kanisa la mashariki na la magharibi Karne ya 11 na kisha ujio wa Waluteri na Waanglikana karne ya 15.Ni ngumu sana kuelewa lengo la ukatoliki katika imani ya Kikristo
Kama una question Ukatoliki basi una question Ukristu