Hii ina maana gani kwenye kanisa katoliki

Ishara kubwa ya kujitoa rasmi kumtumikia Mungu mazima,Kuna jambo kubwa Sana linaendelea apo
Kwa mfano, katika kitabu cha Mwanzo 17:2-3, Abramu anaanguka kifudifudi baada ya kuambiwa na Mungu kwamba ataweka agano kati yake na Mungu.
Eti maandiko! Nitajie mahali kwenye Biblia ilipoandikwa "rozari" na " kumuomba Bikira Maria"
 
Tutakapoenda mbele zaidi lazima tutaulizana kama Yesu(wapi kwenye biblia)alitumia vijiko,uma,kuvaa saa,kutumia simu na hotpots.Maswali lainilaini ili mradi tu muonekane mnataka kuenenda sawa sawia.
Duh kutumia vijiko si sawa na mambo ya dini. Hiyo ni ibada ilihali kutumia kijiko si ibada ni vema umamjibu muuliza swali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…