Hii ina maana gani ni positive au negative?

We mzee acha ubishi jaribu siku uchukue damu ya mbuzi uipime kwenye kale kakipimo utaleta mrejesho.
 
Kuna mdau wangu huwa natamani sana kumuuliza, "eti ma'am upo salama kweli"?....naanzaje sasa🤣🤣🤣🤣
Ukimwi kupata kazi sana mtaalamu.. ila ukimwi hupatikana siku moja tu katika maisha ya binadamu.. ukiikwepa hiyo siku hutokuja upata tena.. hadi unaingia kaburini.. ( ukimwi hupatikana siku moja tu katika maisha ya mtu, ukikwepa hiyo siku hutokaa ukaupata tena ).
 
Iv hii nguvu mnaipataga wap ya kufika geto ndo mnaanza kupima, kwaiyo badala ya kudinyana mnakaa kungojea majb duuuh kwel mnakazi

Mnataka kudinyana na hamtaki kutumia kondom why msipange sku mkaenda zahanat mkapima tena kwa vipimo vyakueleweka ili ikifka sku ya kudinyana ni kudinyana tu

Ebu tu imagine mmefka geto mnapimana zen mmoja wenu anakutwa anangoma vp ndo kudinyana kunaishia apo na mizuka ishapanda
 
Ushauri mzuri sanaaa 👊👊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…