mkuu, hata kuwapigania wananchi dhidi ya utawala dhaifu kiutu ni njia moja wapo ya kumtumikia MunguKwa muujiza ule wa kupona risasi 32 ningekuwa mimi ndo muusika ningetubu kwa Mungu na kuamua kumtumikia Mungu maisha yangu yote yaliyobaki duniani ili angalau nifidie dhambi nilizomkosea Mungu
Mwanza nyumbani wanachangia kumwua mzee wa watu
Mwanza wanajitokeza kwa wingi kumsikiliza Lissu hili linamuua JPMUna maana gani?
Au ulimaanisha cramming capacity?Ni mzuri kwenye claiming capacity na sio kwenye reasoning yupo shallow Sana japo ni much know lkn ni empty kabisa kuhusu modern world.
Wanaomkataa Magufuli in wapiga deal na vijana Wavivu na wanategemea Serikali iwafanyie kila kitu ila Wenye uwelewa Mpna Wa Mambo Magufuli ndio Rais Wa nchii hii na Ataendelea Baada ya October Wapiga Deal Watapata Tabuuu sanaUkiona mtu anakataliwa ujue hafanyi mazuri kwa watu.
Kwani ile phd aliipataje pataje ?Uwezo wake wa kusoma,kuelewa na kuanalyse mambo mbali mbali ni mdogo sana
Kajitoa kwa lipi lililohatarisha maisha yake? Kujaribu kuuwa wengine si kujitoa!Alitegemea kukubarika zaidi, kwa jinsi alivyokuwa akitumia vyombo vya Habari, shirika la utangazaj nchini TBC, vyombo vya Habari vya CCM.
Yawezekana watu hawavifuatilii sana ama ugumu wa maisha kwa watanzania a.k.a vyuma vimekaza vina wafanya watu wabeze juhudi zake, ama visasi kwa wanaompinga na kumkosoa, wabunge wa CCM kusifu kila linalofanywa na serikali hata kama baya ama kuna usaliti ndani ya CCM, ama amekosa watu makini wenye uzoefu na kampeni ama mgombea wa CHADEMA ana Sera nzito zinazosikika na kueleweka na kugusa maisha ya Watanzania.
Kiukweli kama ulifanya vitu vingi vya kujitoa hata kuhatarisha maisha Lakin watu hawaoni hii inaweza kumkatisha tamaa JPM.
Ni Kweli awamu ya tano Iko kwenye ujenzi wa miundombinu, maendeleo ya nchi na vitu Lakin Wananchi Wana hali ngumu.
Jiandae kisaikolojia Magufuli ndiyo Rais mpaka 2025Mimi mwenyewe Msukuma kabisa na kama ningekuwa mtu wa kujipendekeza sasa hivi labda ningekuwa mkuu wa mkoa au mbunge wa kuteuliwa kutokana na ukaribu alikuwa nao mzee wangu na Magu, lakini simtaki kabisa mpaka ndugu zangu wanashangaa! Tumwue tu mzee jeuri sana huyu!
Maombi yako mazuri sana,Mungu akuongoze vyema kwa kuwaza mabaya, Rais ni mpakwa mafuta wa Bwana ukimuwazia kumuua unakuwa hulitakii mema Taifa, kumbuka JPM ni matokeo ya maombi ya watanzania wakilalamika kwamba JK amekuwa mpole sana.Makanisa na Misikiti watu wakaomba kupata Rais Mkatili, Mungu kajibu.Usiombe auawe, omba vizuri maana sala yako ikitimizwa ndio utajua maana ya MPAKWA MAFUTA ni nini.Namuombea maisha marefu JPM, abarikiwe, afunguliwe ufahamu, AMEN.
Kuna ukweli na usemalo na linatoka moyoni au ni kwa kuwa umekosa uteuzi na upepo unavuma kuelekea upande wa pili unaanza kujihami? Kudo kama usemalo linatoka moyoni!Wasukuma tumeshasema hatumtaki Magufuli asituchonganishe sisi na Makabila mengine sisi sote ni Watanzania
Limuume tu. Ametutesa sana huyu bwana.Mwanza wanajitokeza kwa wingi kumsikiliza Lissu hili linamuua JPM
Imhotep ameokoka toka 2018. Mpokee vizuri usimhukumu. Amejisalimisha kwenye timu ya wapenda haki.Kuna ukweli na usemalo na linatoka moyoni au ni kwa kuwa umekosa uteuzi na upepo unavuma kuelekea upande wa pili unaanza kujihami? Kudo kama usemalo linatoka moyoni!
https://www.facebook.com/Tatizo katiba yetu ni mbovu . Hadi sasa, ni mgombea lakini bado anawaita wasimamizi wasaidizi (deds) na kuteta nao, achilia mbali kuwa ni mteuzi wao !!. Katiba yetu siyo