Hizo ni akili za wakoloni kuwaambia watumwa Fanyeni kazi MUNGU atawajalia huku wao wakinenepa kama ngedere,Kwa hiyo hata Tanzania watumwa wanakamatwa Kwa kusema ukweli juu ya tozoooooo,so angalia watumwa wamekaakimya huku mwenzao akinyongwa wao wapo pembeni wakishangaa