Hii Kesha,'s saloon Sinza ichunguzwe na wanawake acheni ujinga wa kutengeneza shepu

Mwanamke kupunguza ukubwa ukubwa wa tumbo kwa kuingiziwa ''dawa'' sehemu zake za siri kwa kutumia uume? Huu ni ujinga uliopitiliza.
 
Mkuu dunia imeshaharibika! Serikali haina cha kufanya. Uzinzi umeshamiri dunia nzima.
Serikali ina mengi ya kufanya ila siyo ujinga wa mkuu wa mkoa au polisi kufukuzana na machangudoa. Serikali inatakiwa ijenge shule zenye kutoa elimu yenye ubora ili wananchi waelimike na kujitambua. Pia kuwa na ajira au mazingira mazuri kwa wananchi kiuchumi.
 
Yani hii inashangaza hasa ni ukosefu wa akili kiasi gani
 
Hamna cha kusikitisha hapo ni wapuuzi tu hao wanaoenda kutafuta shape sinza, tena anawachatisha kabisa mwanamke analalamika we umeingiza dawa hadi ukakojoa jamaa anasema sahivi ntajitahidi nisikojoe....kmmmaee zao mazombie kabisa. Wapigwe tu dudu

🤣🤣🤣🤣

Watu Wana faidi kweli yani..

Hizo conversations wewe umeziona wapi? Au na wewe uliingiziwa dawa hadi sindano ikavunjikia ndani..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…