Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Hiyo nguvu wanayo basi ...Kwani Kassimu ma Jobu wakijiunga na kushawishi wabunge waseme hawana imani na serikali si bunge litavunjwa na uchaguzi utaitishwa kwa nini wasifanye hivyo?
Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Hakuna mbunge atakayekubali kumpiga kura kuwa Hana Imani na rais ikizingatia wabunge wengi waliopita kimichongo kwenye chama na hata majimboni kwenye uchaguziKwani Kassimu ma Jobu wakijiunga na kushawishi wabunge waseme hawana imani na serikali si bunge litavunjwa na uchaguzi utaitishwa kwa nini wasifanye hivyo?
Lini umebadilisha ID yako ya @victoire ? Au nawe umekumbwa na mkondo wa walinda legacy baada ya kabila lako kutajwa negatively (Because I know you are not among the green bleeding individuals)!!!Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Hii homa ya 2025 kila mtu anamuona ni adui.kitendo Cha kumwita Majaliwa Kasim,ujue kuna shida ....Mama anapaniki anahoma ya 2025!
Bora hata angesema "kwa akina Majaliwa".kitendo Cha kumwita Majaliwa Kasim,ujue kuna shida ....Mama anapaniki anahoma ya 2025!
Natamani sana siku moja nchi iwe chini ya Kassimu, ni mtu sahihi sana.
Kupigiwa shangazi ndio ilikuwa kiboko.Hiyo ni dharau kwa waziri Mkuu, hwezi mwita kwa kejeli hivyo
Huo ndyo ukweli. Pm akijiuzulu atajiongezea credit but akisbili atakua amebugi sana!!Kwa mtu mzima ambaye amekuwa kiongozi kwa muda mrefu, naamini Mh Job Yusto Ndugai ataamua kuachia ngazi ili kulinda kaheshima alikonako. Asipoachia ngazi kabla ya Bunge kuanza basi mambo mawili yanaweza kumtokea:
Ima CCM imuite, imuhoji na kumnyang’anya uanachama na hivyo kupoteza Uspika na Ubunge ama Bunge litoe hoja ya kumvua Usipika na kubaki na ubunge wake. Vyovyote itakavyokuwa, sioni Ndugai akikalia kiti cha Uspika kwenye kikao kinachoanza mwishoni mwa mwezi huu ama mapema mwezi ujao. Ndugai anaondoka, atumie busara kuchagua anaondoka vipi. Aondoke kwa kupokwa uanachama wa kijani ba hivyo kukosa Ubunge na Uspika au ajiuzulu Uspika na kubaki na ubunge wake au wabunge wamuondoe! Bora aondoke mwenyewe as this option is a lesser devil for his situation.
Kwa upande mwingine nilimsikia Mh Rais akisema nyumba ya akina Kassim ilikuwa inasema serikali yake ni ya mpito. Kassim (naamini ni PM), ni kiongozi wa shughuli za serikali Bungeni, sasa kama Bunge, ambalo yeye ni Mbunge No 1, linamsema Mh Rais basi ni vyema PM naye akaangalia busara katika hilo na hivyo kuachia tu ngazi ili Mh Rais apate nafasi ya kuunda serikali upya kama atataka kumrudisha basi atamteua. Pia Mh Rais kasema kuna Mawaziri wanaoangalia 2025 badala ya kufanya kazi na hivyo atawatoa; PM kama mkuu wa Mawaziri anatakiwa kutumia busara na kuandika kwa Mh Rais ili akae kando na kumpa nafasi Mh Rais kupanga vyema Serikali yake na kuondoa wale wote wenye matamanio ya 2025. Kumbuka PM akijiuzulu Baraza la Mawaziri linapoteza uhalali hivyo kumlazimu Rais kuunda upya serikali kuanzia PM.
Ni imani yangu kwamba kwa hali ilivyo hawa wakuu wawili wanatakiwa kutumia busara na kuamua kumpisha Mh Rais.
There you go. Wakati nawasaidia homework wanangu kuna sehemu nilisoma kwamba waziri mkuu ndio kiongozi wa serikali bungeni. Kwahiyo wakati ule wa Kikwete angesema kule kwa kina Edward/ Mizengo.Alimaanisha huko 'bungeni'Kassim ni kiongozi wa serikali bungeni.
Urais ni raha kweli kweli Chadema usiku na mchana wanaota lini wataishi pale magogoniMama alikuwa anautamani uraisi miaka mingi alichelewa kuupata.
TECNO atapotea Kama NOKIA ilivyopotea kwenye midomo yetuKasimu nae yumo kwa wanaofukuzia 2025
Afu watagombea kupitia chama gani?? CCM mwenyekiti ndio RAIS huyo, unadhani utapitishwa na CCM ugombee ubunge?. Wakimwaga Mboga, Samia anamwaga Ugali na kuchoma moto nyumba yenyewe.Kwani Kassimu ma Jobu wakijiunga na kushawishi wabunge waseme hawana imani na serikali si bunge litavunjwa na uchaguzi utaitishwa kwa nini wasifanye hivyo?
"NINGEANZA NA KUPIGA SHANGAZI ZAO"Hiyo ni dharau kwa waziri Mkuu, hwezi mwita kwa kejeli hivyo
Kwa hiyo ccm wanaishi magogoni? Wewe unaishi mle?Urais ni raha kweli kweli Chadema usiku na mchana wanaota lini wataishi pale magogoni