ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Nani anapenda kuachia fupa lenye nyama!!?Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anapenda kuachia fupa lenye nyama!!?Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Yeye ndo kigogoNi kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
Acheni majungu mbona Nyerere alikuwa anaita Rashid anaita John badala ya kutaja vyeo vyao.kitendo Cha kumwita Majaliwa Kasim,ujue kuna shida ....Mama anapaniki anahoma ya 2025!
Kasim si anayejibu hoja za wanaoishambulia serikali, sasa hapo unashangaa kipi mama kusema huko kwa akina Kasim!!?Kama ni bungeni ilitakiwa iwe kwa akina ndugai? Kauli hiyo imebeba mengi sana.
Nyie watu ni zaid ya nyoka , lakini iwe ali force au alifanyaje yeye ndiye rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzaniaHuenda Ali4c pia
Hana maana kwa sababu hana subira na haito kuja kutokeaNatamani sana siku moja nchi iwe chini ya Kassimu, ni mtu sahihi sana.
Amalizie muda wa serikali yake ya mpito aachie wenye maono. Kumbe ndio maana akaita awamu ya sita, huku iliyopigiwa kura ni awamu ya tano.Ni kama Mama anamuamini sana Kigogo2014. Halafu Mama anaupenda sana urais alioupata kwa bahati. Sasa 2025 nae hataki kuachia wengine.
[emoji849][emoji849]huyo mwongo mwongo?Natamani sana siku moja nchi iwe chini ya Kassimu, ni mtu sahihi sana.
Mama hayuko pamoja na Majaliwa.
Nyie ndiyo mnapita hivo!Amalizie muda wa serikali yake ya mpito aachie wenye maono. Kumbe ndio maana akaita awamu ya sita, huku iliyopigiwa kura ni awamu ya tano.
Urais umetamaniwa na wengi japo si wote walioupata, kigoma Malima aliuwawa kwasababu hiyo, Bernard Membe alifukuzwa, Lowasa aliporwa n. kMama alikuwa anautamani uraisi miaka mingi alichelewa kuupata.
Hamna cha homa, kwa tz rais anweza kufanya lolote, kwa namna yoyote atakayo, wakati wowote na asifanye kitu.kitendo Cha kumwita Majaliwa Kasim,ujue kuna shida ....Mama anapaniki anahoma ya 2025!