Robo tatu ya watu wenye tamaa huwa wanatusua nmeshuhudia wengi wakitoboa Kwa kuwaumiza wengine wachache ndo huwa wanafeli japo Mimi binafsi naamini katika subra kama nikikosa basi lakini lazima nipateBetter that way,kuliko kuwa wewe ndo mwenye tamaa asee,majuto yake yanakosa mtu wa kumuangushia jumba bovu!!!
Kwenye hili sikupingi joh,tamaa ni neno la kiswahili lenye maana labda ambitious au arrogance,na wote ambitious wamefanikiwa ila hao arrogance ndo walofeli,nlipopinga hasa hasa ni hao wa sekta ya mapenzi maana wengi wao ni arrogance(ignorance + tamaa)Robo tatu ya watu wenye tamaa huwa wanatusua nmeshuhudia wengi wakitoboa Kwa kuwaumiza wengine wachache ndo huwa wanafeli japo Mimi binafsi naamini katika subra kama nikikosa basi lakini lazima nipate
Mkuu sijaelewa hapa..
Niko katika hatua ya kifedha ambapo ninaelewa kwa nini watu wanafanya ulaghai.Mkuu sijaelewa hapa..
Naomba ufafanuzi...
Sawa mkuu.. Je wanafanya fraud ili kumake ends meet? Au ni tamaa ya financial prosperity?Niko katika hatua ya kifedha ambapo ninaelewa kwa nini watu wanafanya ulaghai.
Yeye aliimba asiyoweza kuyatenda😀😀😀20% aliimba, chunga tamaa mbaya, vijana wengine wanashindwa kujishikilia wanageuka kuwa wanawake.
HmmmmTabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.
Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa; Kati ya hao kuna waliopo jela, mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka
We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.
Asanteni
"Tamaa ikizidi lazima utende dhambi"
Tutende dhambi basi..."Tamaa ikizidi lazima utende dhambi"
Mwisho wa kunukuu
Nadhani watu u,commit fraud hakuna kingine zaidi yakuwa na financial pressure, greed, opportunity, and rationalization.Sawa mkuu.. Je wanafanya fraud ili kumake ends meet? Au ni tamaa ya financial prosperity?
Nashukuru sana mkuu lakini "Nayaweza yote katika yeye anitiaye Nguvu"Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.
Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa; Kati ya hao kuna waliopo jela, mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka
We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.
Asanteni
Utamkuta Mtu hata Geto la kupanga chumba cha giza elfu 20 kwa mwezi hana. Lakini ana jadili Bilions za Diamond au za Mwijaku eti na yeye ipo siku.Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.
Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa; Kati ya hao kuna waliopo jela, mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka
We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.
Asanteni
HahahaTamaa za vijana wa daslamu mwishowe wanatowa speaker kwa mabasha