Hii kwa wanaume wote

Hii kwa wanaume wote

Better that way,kuliko kuwa wewe ndo mwenye tamaa asee,majuto yake yanakosa mtu wa kumuangushia jumba bovu!!!
Robo tatu ya watu wenye tamaa huwa wanatusua nmeshuhudia wengi wakitoboa Kwa kuwaumiza wengine wachache ndo huwa wanafeli japo Mimi binafsi naamini katika subra kama nikikosa basi lakini lazima nipate
 
Robo tatu ya watu wenye tamaa huwa wanatusua nmeshuhudia wengi wakitoboa Kwa kuwaumiza wengine wachache ndo huwa wanafeli japo Mimi binafsi naamini katika subra kama nikikosa basi lakini lazima nipate
Kwenye hili sikupingi joh,tamaa ni neno la kiswahili lenye maana labda ambitious au arrogance,na wote ambitious wamefanikiwa ila hao arrogance ndo walofeli,nlipopinga hasa hasa ni hao wa sekta ya mapenzi maana wengi wao ni arrogance(ignorance + tamaa)
 
📌📌Do or die!!!


Mwanaume huna excuse yoyote ya kufa masikini.Tafuteni hela!!!! Tafuteni helaaaaa hakuna sababu ya kuutetea umasikini.
 
Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.

Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa; Kati ya hao kuna waliopo jela, mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka

We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.

Asanteni
Hmmmm
 
Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.

Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa; Kati ya hao kuna waliopo jela, mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka

We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.

Asanteni
Nashukuru sana mkuu lakini "Nayaweza yote katika yeye anitiaye Nguvu"
 
Tabia ya tamaa imewaangusha wanaume wengi sana till date: Tamaa ya fedha, tamaa ya kutaka maisha ya juu kupita uwezo, tamaa ya wanawake, tamaa ya kutaka kuyafikia mambo makubwa kupita uwezo.

Mpaka umri huu nilionao nimeshuhudia marafiki zangu 58 wakipata madhira mbalimbali kwasababu ya tabia ya tamaa; Kati ya hao kuna waliopo jela, mahabusu za muda mrefu, kuna waliotekwa na waliouwawa kwa visasi, waliokufa kwa magonjwa makubwa, wengine wanateseka hospitalini kwa mgonjwa yasiyoeleweka

We mwanaume na kijana unayepambana kufikia ndoto zako Nachotaka kukwambia ni kwamba fanya yote kwa kiasi kwa maana TAMAA IKIZIDI KIASI LAZIMA UTENDE DHAMBI, DHAMBI IKIZIDI KIASI LAZIMA UINGIE KIFONI.

Asanteni
Utamkuta Mtu hata Geto la kupanga chumba cha giza elfu 20 kwa mwezi hana. Lakini ana jadili Bilions za Diamond au za Mwijaku eti na yeye ipo siku.

Wenyewe wanadai eti ni Ku Dream Big🤣🤣🤣
Huwezi ku Dream Big wakati hata madogo yamekushinda, mafanikio ni Hatua.

Ukiendelea kudream Big wakati hata hela ya kula bado unadowea kwa mama yako utataka kujiingza kwenye Ushoga, ́madawa, wizi, utapeli n.k
 
Back
Top Bottom