Hii mbunga imekimbiwa awamu hii, watu wanaishi mjini

Hii mbunga imekimbiwa awamu hii, watu wanaishi mjini

Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!
Nilitaka nimjibu jamaa, umenisaidia...

Dola inashuka, gharama za maisha zinapanda balaa...leo maziwa yaliyokuwa yanauzwa sh 16,500 ni sh 19,000 mafuta, sukari etc na hiyo ni kutoka 2024 kuingia 2025, zaidi ya 18% ongezeko.

Mwamba alikaa Chato miezi 3 tu tena kwakuwa alikuwa anajaribu kukikwepa kirusi, waliongea na bado wanaongea...mama yao anaishi sehemu 3 kwa wiki, wako kimya!

Wakati wa mwamba walisema kuhusu deni la taifa/nchi kwama wasemavyo, leo wanaona hata aibu kusema figure na matumizi yake...hakuna kinachoonekana.

Mungu amsaidie Trump aendelee mara dufu ya hapo, awafungue macho na europe yote na baadhi ya waAsia, ipigwe pini TAKATIFU, tuone watakaoendelea kuimba "CCM ni ile ile watabaki wangapi"
 
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO

Kwa mbali naliona pori la chamwino ambalo limikimbiwa kibabe sana

Watoto wa mjini huwa wanaishi mjini siyo porin

Pumzika kwa aman anko magu , polen watanzania kukosa viongozi wazalendo badala yake mna viongozi wala Bata tu

SAYUNI BOY
 

Attachments

  • IMG-20250209-WA0004.jpg
    IMG-20250209-WA0004.jpg
    183.7 KB · Views: 2
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO

Kwa mbali naliona pori la chamwino ambalo limikimbiwa kibabe sana

Watoto wa mjini huwa wanaishi mjini siyo porin

Pumzika kwa aman anko magu , polen watanzania kukosa viongozi wazalendo badala yake mna viongozi wala Bata tu

SAYUNI BOY
Apumzike nini huyo shetani aungue moto wa milele, km si yeye matrilioni ya watanzania yasingeangamia huko kwa wagogo. Dunia ya leo unahangaika kujenga makao makuu ya nchi katikati ya nchi? Moscow iko katikati ya Urusi? Na Washington iko katikati mwa USA? Tusijepata Rais mshamba tena km yule.
 
Hata Magufuri naye alikurupuka. Haiwezekani nchi ambayo wanachi wake hawana umeme wa uhakika ,%kubwa ya watu wake hawana maji safi na salama, miundo mbinu ya elimu ni chakavu, mamilion ya vijana wake hawana ajira ,alafu unachukua matirion ya pesa za walipa kodi na kwenda kujenga ikulu na majengo ya kifahari na kununua ndege ambazo mpaka sasa hazieleweki zinafanya nini zaidi ya kuleta hasara za mabilion ya pesa kila mwaka.
Kiufupi Tz tangu uhuru tuna ombwe kubwa sana la uongozi wenye uwezo wa kuchanganua na kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya raia.
We ni miongoni mwa wachache wenye akili. Magu alikuwa mshamba kupindukia.
 
Shida ni ya magufuri au viongozi wenu wapenda starehe na anasa na wasiojishughulisha na maslahi mapana ya jamii? (Ceremonial leaders) waliofuata? Kosa la magufuli ni lipi hapo kama ninyi mmeshindwa kuendeleza? Mbona yapo mambo mengi na muhimu kayaacha na yote yanasuasua! Bwala la umeme hulioni? umeme hajapeleka vijijini Kwa kasi isiyo ya kawaida? Sgr huioni? hospitali na fly over huzioni? Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!
Ww ndo kielelezo cha ukilaza wa watz hivi Magufuri alifanya kitu gani ambacho hakikuwahi kufanywa na marais wengine mpaka aonekane ni kiongozi wa kipekee kama nyinyi chawa wake mnavyo jaribu kuaminisha watu?

Ya kwamba JPM yeye alikuwa hapendi sitarehe?kama alikuwa hapendi sitarehe kwanini kutembelea pikipiki badala yake alikuwa anatembea rundo la msafara wa v8 na helicopter juu?
Au mboa hakwenda kujenga ikulu ya makuti badala yake akaenda kujenga ikulu ya mabilion ya fedha?

Yaani ww huoni tatizo juu ya hilo kabisa?
Yaani unajiita kiongozi wa wanyonge alafu unatumia matrion ya pesa kujenga majengo ya kifahari na kununa ndenge alafu anakataa kuwaajili mamilion ya watoto wa hao wanyonge anao jifanya ana watetea.

Hivi hapa Tz kuna kiongozi ambaye aliongoza alafu hakujenga barabara,mahospital, hakujenga vyanzo vya umeme, hakujenga shule nk ila vyote vilikuja kujengwa na Magufuri sio?

Mradi wa kusambaza umeme vijijini ulihasisiwa na kikwete na mpaka JPM anaingia madarakani vijiji zaidi ya 5000 tiyari vilikuwa na umeme wa REA na vifaa na pesa iliyo hitajika kuunganisha umeme vijiji 7000 zilikuwa zimesha lipiwa.
Alafu kingine usicho kijua ni kuwa mradi wa kusambaza umeme vijiji pesa nyingi zinatokana na ufadhili wa serikali ya Denmark na umoja wa Ulaya serikali ya ccm inatoa pesa kidogo sana.
Fly over alianzisha kikwete na Magufuri aliikuta ume fikia %55 yeye akaja kuimalizia tu ,daraja la Kigamboni alikuta limefikia %95 yeye akaja kumalizia %5 tu.

Mradi pekee ambao Magufuri aliuanzisha ambao ulikuwa amgusa mwananchi wa kawaida ni bwawa la umeme tu lakini mingine alikuwa anafanya kwa mihemuko na kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa matutusa kama nyinyi.

Miradi yote aliyo ianzisha magufuri hakuna hata mmoja alio uacha umevuka hata %50 yote kaja kuikamilisa bibi kiziwi.
 
Kitendo cha kujenga mji mpya huwa kinasisimua uchumi wa nchi. Hasa kama malighafi za ujenzi zinatoka ndani ya nchi.
Kwa hiyo mpaka sasa uchumi wa nchi umisisimka kiasi gani tangu magufuri ahanzishe mradi huo?
 
Nilitaka nimjibu jamaa, umenisaidia...

Dola inashuka, gharama za maisha zinapanda balaa...leo maziwa yaliyokuwa yanauzwa sh 16,500 ni sh 19,000 mafuta, sukari etc na hiyo ni kutoka 2024 kuingia 2025, zaidi ya 18% ongezeko.

Mwamba alikaa Chato miezi 3 tu tena kwakuwa alikuwa anajaribu kukikwepa kirusi, waliongea na bado wanaongea...mama yao anaishi sehemu 3 kwa wiki, wako kimya!

Wakati wa mwamba walisema kuhusu deni la taifa/nchi kwama wasemavyo, leo wanaona hata aibu kusema figure na matumizi yake...hakuna kinachoonekana.

Mungu amsaidie Trump aendelee mara dufu ya hapo, awafungue macho na europe yote na baadhi ya waAsia, ipigwe pini TAKATIFU, tuone watakaoendelea kuimba "CCM ni ile ile watabaki wangapi"
Bei ya bidhaa ambazo magufuri alizikuta kipindi ana ingia madarakani ndo alizo ziacha?
 
Shida ni ya magufuri au viongozi wenu wapenda starehe na anasa na wasiojishughulisha na maslahi mapana ya jamii? (Ceremonial leaders) waliofuata? Kosa la magufuli ni lipi hapo kama ninyi mmeshindwa kuendeleza? Mbona yapo mambo mengi na muhimu kayaacha na yote yanasuasua! Bwala la umeme hulioni? umeme hajapeleka vijijini Kwa kasi isiyo ya kawaida? Sgr huioni? hospitali na fly over huzioni? Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!
Ni ngumu kumuonesha kipofu kitu.
 
Hao
Hao viongozi wengine ambao hawakujenga ikulu wa kununua ndege wala kujenga mwabwa ya umeme walilifanyia nini taifa na wamelifanyia nini taifa kama siyo matapeli tu
1.Walianzisha na kujenga chuo kikuu Cha Dodoma,
2.Shule za kata nchi mzima
3.Ujenzi na Usanifu wa BRT
4.Mtandao wa ujenzi wa Barabara kuunganisha mikoa
5.Ajira kila mwaka, watoto wa wakulima waliajiriwa5
6.Mikopo kwa elimu ya juu ilikuwa bwerere
7.Ukuaji wa sekta binafsi na mchango wake kiuchumi
8.Ujenzi wa daraja la Kigamboni na Malagarasi
9.Kuwatwanga M-23 na kyleta utulivu Kongo
10.Kumdhibiti kagame kupitia operation Kimbunga.
11. Komoro na kupinga mapinduzi

Hizo ni chache kati ya mengi ila hakukuwa na cheap propaganda
 
Apumzike nini huyo shetani aungue moto wa milele, km si yeye matrilioni ya watanzania yasingeangamia huko kwa wagogo. Dunia ya leo unahangaika kujenga makao makuu ya nchi ktk ya nchi? Moscow iko katikati ya Urusi? Na Washington iko katikati mwa USA? Tusijepata Rais mshamba tena km yule.
Pumbav mkubwa wewe kwani Nyerere alikuwa mjinga kuhamisha ikulu kupeleka Dodoma ? pia soma kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi cha Mwandishi Yericko ujue faida za kuwa na makao makuu katikati ya nchi.
 
Shida ni ya magufuri au viongozi wenu wapenda starehe na anasa na wasiojishughulisha na maslahi mapana ya jamii? (Ceremonial leaders) waliofuata? Kosa la magufuli ni lipi hapo kama ninyi mmeshindwa kuendeleza? Mbona yapo mambo mengi na muhimu kayaacha na yote yanasuasua! Bwala la umeme hulioni? umeme hajapeleka vijijini Kwa kasi isiyo ya kawaida? Sgr huioni? hospitali na fly over huzioni? Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!
Ni ngumu kumuonesha kipofu kitu.
 
Back
Top Bottom