Hii mbunga imekimbiwa awamu hii, watu wanaishi mjini

Hii mbunga imekimbiwa awamu hii, watu wanaishi mjini

Hata Magufuri naye alikurupuka. Haiwezekani nchi ambayo wanachi wake hawana umeme wa uhakika ,%kubwa ya watu wake hawana maji safi na salama, miundo mbinu ya elimu ni chakavu, mamilion ya vijana wake hawana ajira ,alafu unachukua matirion ya pesa za walipa kodi na kwenda kujenga ikulu na majengo ya kifahari na kununua ndege ambazo mpaka sasa hazieleweki zinafanya nini zaidi ya kuleta hasara za mabilion ya pesa kila mwaka.
Kiufupi Tz tangu uhuru tuna ombwe kubwa sana la uongozi wenye uwezo wa kuchanganua na kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya raia.
mkuu licha ya haya yote uliyoyazungumza, lakini nipende kukurekebisha kidogo, asilimia kubwa huduma za jamii hasa maji eg (mradi wa ziwa victoria to tabora na mikoa mingine),umeme(usambazaji wa umeme vijiji na ujenzi wa bwawa la umeme la nyerere), miundombinu barabara,reli,madaraja, usafiri na usafirishaj uliongezeka, na huduma zngne zilikuwa mathubuti.
 
Kitendo cha kujenga mji mpya huwa kinasisimua uchumi wa nchi. Hasa kama malighafi za ujenzi zinatoka ndani ya nchi.
Hizo hela angesambaza umeme nchi nzima angeamsha uchumi sio kuusisimua,
Kuhamia Dodoma was good idea with poor timing
 
Hata Magufuri naye alikurupuka. Haiwezekani nchi ambayo wanachi wake hawana umeme wa uhakika ,%kubwa ya watu wake hawana maji safi na salama, miundo mbinu ya elimu ni chakavu, mamilion ya vijana wake hawana ajira ,alafu unachukua matirion ya pesa za walipa kodi na kwenda kujenga ikulu na majengo ya kifahari na kununua ndege ambazo mpaka sasa hazieleweki zinafanya nini zaidi ya kuleta hasara za mabilion ya pesa kila mwaka.
Kiufupi Tz tangu uhuru tuna ombwe kubwa sana la uongozi wenye uwezo wa kuchanganua na kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya raia.
We nyumbu mkosa akili, bwawa la mwl nyerere hajawahi lisikia?
 
Hizo hela angesambaza umeme nchi nzima angeamsha uchumi sio kuusisimua,
Kuhamia Dodoma was good idea with poor timing
We nyumbu mkosa akili, bwawa la mwl nyerere hajawahi lisikia?
 
Hizo hela angesambaza umeme nchi nzima angeamsha uchumi sio kuusisimua,
Kuhamia Dodoma was good idea with poor timing
kuhusu umeme huoni mambo yalivyobadilika mkuu? mradi wa REA umesambaza mpaka vijijini tena kwa bei nafuu tu, hapa sio kwamba anatetewa mtu, ila naona kama wewe ni aina ya watu ambao hata afanyiwe nini atalalamika tu, umejipa upofu kabisa na kila kinachofanyika, means unataka vitu vifanyike namna unayotaka wewe kitu ambacho hakiwezekani
 
Maghufuli Chenga sana , sema mambo mengine yabaki tu hvyo hvyo madam ashapita zake, ila jamaa hakuwa na talent ya uongozi alikuwa na kipaji cha usimamizi
Hawa wapambe wake ukiwauliza
Ninsheria ipi ya Bunge ilitumika kukusanya zile hela za vitambulisho vya machinga, na zilikusanywa katika account Gani na matumizi yake yalikuaje hawawezi kujibu! Huu si wizi wa wazi wazi!
 
Tatizo siyo kutokuwa na viongozi wazalendo. Tatizo ni kwamba hao waliopo wawe wazalendo kwa nchi gani? Mwaka 1964 nchi mbili (Zanzibar na Tanganyika) ziliamua kuunganisha ardhi na serikali zao kuwa moja; na kutokana na makubaliano hayo ilizaliwa nchi mpya iliyoitwa Tanzania. Kwenye miaka ya 80 (sikumbuki tarehe wala mwaka), Zanzibar ikaamua kuondoa ardhi na serikali yake kutoka katika muungano uliyozaa Tanzania. Hivyo nchi hiyo mpya (Tanzania) ikafa. Kufutika kwa muunganiko wa ardhi na serikali za Zanzibar na Tanganyika kulimanisha hata jina Tanzania pia lilitoweka, kwa sababu jina hilo lilipatikana kwa kila nchi kufuta jina lake, na kuchangia herufi tatu kuunda jina jipya. Zanzibar ilichangia herufi ZAN na Tanganyika ikachangia herufi TAN, na kisha zikaongezwa herufi IA, likapatikanana jina TAN ZAN IA. Baada ya Zanzibar kujitoa katika muungano na kufufua jina lake, muungano ulikufa na jina pia likafa kwa sababu Zanzibar ilichukua herufi ZAN ilizokuwa imechangia; kwa hiyo jina TANZANIA likabakia na herufi TAN na IA, yaani jina la nchi iliyokuwa inaitwa TAN ZAN IA, sasa limekuwa TAN ... IA (TANIA). Baada yakitendo hicho cha Zanzibar kuvunja Muungano, Serikali ilibaki hewani, hivyo Muungano wa vyama vya ASP na TAN (CCM) ambao ulikuwa umeundwa kuongoza Serikali ya nchi mpya TANZANIA ukaamua kulazimisha nchi ya Tanganyika ndiyo itambuliwe kama MUUNGANO na iendelee kutambuliwa kwa jina lililokufa - TANZANIA, ambalo sasa ni TANIA. Katika hali hiyo hao viongozi wanaojiita viongozi wa Serikali ya Muungano, ambao haupo, watakuwa 'wazalendo' kwa nchi gani?
 
Hao
Hao viongozi wengine ambao hawakujenga ikulu wa kununua ndege wala kujenga mwabwa ya umeme walilifanyia nini taifa na wamelifanyia nini taifa kama siyo matapeli tu
yule mzee nilikuwa namwambia kilasiku father usijenge ikulu ,fanya mishe maji Toka ziwa Viktoria yafike kwanza...... wasukuma wabishi sana
 
mkuu licha ya haya yote uliyoyazungumza, lakini nipende kukurekebisha kidogo, asilimia kubwa huduma za jamii hasa maji eg (mradi wa ziwa victoria to tabora na mikoa mingine),umeme(usambazaji wa umeme vijiji na ujenzi wa bwawa la umeme la nyerere), miundombinu barabara,reli,madaraja, usafiri na usafirishaj uliongezeka, na huduma zngne zilikuwa mathubuti.
Zilikuwa madhubuti kivipi hali ya kuwa JPM mpaka ana fariki miradi yote aliye ianzisha kwa pupa hakuna mradi wowote aliofanikiwa hata kuvuka %50 mpaka imemlazimu samia kukopa matirion ya fedha ili kuikamilisha.
Ya kwamba kipindi cha Magufuri watz wote walikuwa wanapata maji safi na salama ila baada ya kuondoka hiyo miundo mbinu ya maji ikafutika kimiujiza?
Ya kwamba kipindi cha JPM wana nchi wa Tz walikuwa na maisha bora alipo ondoka hayo maisha yakafutika wakarudi kwenye ufukara?
Ya kwamba kipindi cha Magufuri watoto walikuwa wana pata elimu bora ila baada ya kuondoka hiyo elimu ikafutika.

Alafu acheni kumpa JPM sifa ambazo hasitahili mradi wa kusambaza umeme vijijini ulihasisiwa na kikwete kwa ufadhiri wa umoja wa ulaya na serikali ya Denmark na mpaka magufuri anaingia madarakani alikuta vijiji kibao vimesha unanishiwa umeme kikiwemo kijiji ninacho tokea mm hivyo acha upotoshaji.
Nchi hii ina nuka umasikini kila sehemu hivyo serikali ya watu wenye akili inatakiwa kuanzisha miradi inayo gusa maisha ya wananchi moja kwa moja na sio kutumia pesa kufanya miradi ya ufahari.
Lakini pia iko miradi ambayo JPM alianzisha iliyo kuwa na manufaa kwenye maisha ya watu masikini mfano bwawa la umeme na SGR lakini kuna mingine alipuyanga.

Magufuri alikuwa na mazuri na mabaya yake kama walivyo binadamu wote ,lakini tatizo nyinyi wafuasi wa Magufuri ni kuona kuwa kila alicho kuwa ana fanya kilikuwa sahihi kana kwamba yeye ni Mungu.
 
kuhusu umeme huoni mambo yalivyobadilika mkuu? mradi wa REA umesambaza mpaka vijijini tena kwa bei nafuu tu, hapa sio kwamba anatetewa mtu, ila naona kama wewe ni aina ya watu ambao hata afanyiwe nini atalalamika tu, umejipa upofu kabisa na kila kinachofanyika, means unataka vitu vifanyike namna unayotaka wewe kitu ambacho hakiwezekani
Nchi hii ina matatizo mengi sana, inanuka umasikini kila sehemu kulikuwa na miradi mingi ya kuanzisha inayo gusa maisha ya mamilioni ya watu.
Na sio kwenda kujenga mahekaru ambayo mpaka sasa hayatumiki na kununua ndege ambazo zinashinda zimepaki na bado kodi zetu zinatumika kuzitunza?
Magufuri alikuwa binadamu kama nyinyi alikuwa anakosea kama binadamu yeyote acheni kumfanya kama mungu.
Alafu mradi wa REA uliasisiwa na kikwete kwa ufadhiri wa umoja wa Ulaya na serikali ya Denmark hivyo acha kumpa sifa asizo sitahili.
 
Shida ni ya magufuri au viongozi wenu wapenda starehe na anasa na wasiojishughulisha na maslahi mapana ya jamii? (Ceremonial leaders) waliofuata? Kosa la magufuli ni lipi hapo kama ninyi mmeshindwa kuendeleza? Mbona yapo mambo mengi na muhimu kayaacha na yote yanasuasua! Bwala la umeme hulioni? umeme hajapeleka vijijini Kwa kasi isiyo ya kawaida? Sgr huioni? hospitali na fly over huzioni? Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!
Hata Hilo bwawa la umeme walipinga sana lisijengwe,chuki bila sababu.
 
Kiukweli alihitajika Magu kuthubutu kufanya aliyofanya. Bila ujasiri wake kusingekuwa
na Bwawa la umeme, SGR, flyovers, na hata serikali kuhamia Dodoma. Dhambi zake atahukumiwa na Mungu.
 
Back
Top Bottom