Wewe kama viongozi wa dini wanatuma Majin kumlinda rais unazani Kuna lolote hapoHaya yote yanatokana na Viongozi au nchi kwa ujumla kuongozwa/kutawaliwa kwa nguvu za giza na ushirikina. Hawaamini katika maarifa wala uwepo wa Mungu wa kweli bali kuamini katika miungu yao.
Kwa mtazamo wa kimaskini na hafifu ni sawaHadi kufika 2030 yatakua magofu.
Nilitaka nimjibu jamaa, umenisaidia...Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!
Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO
Kwa mbali naliona pori la chamwino ambalo limikimbiwa kibabe sana
Watoto wa mjini huwa wanaishi mjini siyo porin
Pumzika kwa aman anko magu , polen watanzania kukosa viongozi wazalendo badala yake mna viongozi wala Bata tu
SAYUNI BOY
Apumzike nini huyo shetani aungue moto wa milele, km si yeye matrilioni ya watanzania yasingeangamia huko kwa wagogo. Dunia ya leo unahangaika kujenga makao makuu ya nchi katikati ya nchi? Moscow iko katikati ya Urusi? Na Washington iko katikati mwa USA? Tusijepata Rais mshamba tena km yule.Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO
Kwa mbali naliona pori la chamwino ambalo limikimbiwa kibabe sana
Watoto wa mjini huwa wanaishi mjini siyo porin
Pumzika kwa aman anko magu , polen watanzania kukosa viongozi wazalendo badala yake mna viongozi wala Bata tu
SAYUNI BOY
We ni miongoni mwa wachache wenye akili. Magu alikuwa mshamba kupindukia.Hata Magufuri naye alikurupuka. Haiwezekani nchi ambayo wanachi wake hawana umeme wa uhakika ,%kubwa ya watu wake hawana maji safi na salama, miundo mbinu ya elimu ni chakavu, mamilion ya vijana wake hawana ajira ,alafu unachukua matirion ya pesa za walipa kodi na kwenda kujenga ikulu na majengo ya kifahari na kununua ndege ambazo mpaka sasa hazieleweki zinafanya nini zaidi ya kuleta hasara za mabilion ya pesa kila mwaka.
Kiufupi Tz tangu uhuru tuna ombwe kubwa sana la uongozi wenye uwezo wa kuchanganua na kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya raia.
Sasa Nimeshangaa Wamenunua Ndege Mpya Ya Rais Gulfstream 700Wastage of money! Ununuzi wa ndege nao ulikuwa ni wastage of money!
Ww ndo kielelezo cha ukilaza wa watz hivi Magufuri alifanya kitu gani ambacho hakikuwahi kufanywa na marais wengine mpaka aonekane ni kiongozi wa kipekee kama nyinyi chawa wake mnavyo jaribu kuaminisha watu?Shida ni ya magufuri au viongozi wenu wapenda starehe na anasa na wasiojishughulisha na maslahi mapana ya jamii? (Ceremonial leaders) waliofuata? Kosa la magufuli ni lipi hapo kama ninyi mmeshindwa kuendeleza? Mbona yapo mambo mengi na muhimu kayaacha na yote yanasuasua! Bwala la umeme hulioni? umeme hajapeleka vijijini Kwa kasi isiyo ya kawaida? Sgr huioni? hospitali na fly over huzioni? Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!
Kwa hiyo mpaka sasa uchumi wa nchi umisisimka kiasi gani tangu magufuri ahanzishe mradi huo?Kitendo cha kujenga mji mpya huwa kinasisimua uchumi wa nchi. Hasa kama malighafi za ujenzi zinatoka ndani ya nchi.
Bei ya bidhaa ambazo magufuri alizikuta kipindi ana ingia madarakani ndo alizo ziacha?Nilitaka nimjibu jamaa, umenisaidia...
Dola inashuka, gharama za maisha zinapanda balaa...leo maziwa yaliyokuwa yanauzwa sh 16,500 ni sh 19,000 mafuta, sukari etc na hiyo ni kutoka 2024 kuingia 2025, zaidi ya 18% ongezeko.
Mwamba alikaa Chato miezi 3 tu tena kwakuwa alikuwa anajaribu kukikwepa kirusi, waliongea na bado wanaongea...mama yao anaishi sehemu 3 kwa wiki, wako kimya!
Wakati wa mwamba walisema kuhusu deni la taifa/nchi kwama wasemavyo, leo wanaona hata aibu kusema figure na matumizi yake...hakuna kinachoonekana.
Mungu amsaidie Trump aendelee mara dufu ya hapo, awafungue macho na europe yote na baadhi ya waAsia, ipigwe pini TAKATIFU, tuone watakaoendelea kuimba "CCM ni ile ile watabaki wangapi"
Hata Magufuli alizozikuta wakati wa Kikwete siyo alizoziacha.Bei ya bidhaa ambazo magufuri alizikuta kipindi ana ingia madarakani ndo alizo ziacha?
Ni ngumu kumuonesha kipofu kitu.Shida ni ya magufuri au viongozi wenu wapenda starehe na anasa na wasiojishughulisha na maslahi mapana ya jamii? (Ceremonial leaders) waliofuata? Kosa la magufuli ni lipi hapo kama ninyi mmeshindwa kuendeleza? Mbona yapo mambo mengi na muhimu kayaacha na yote yanasuasua! Bwala la umeme hulioni? umeme hajapeleka vijijini Kwa kasi isiyo ya kawaida? Sgr huioni? hospitali na fly over huzioni? Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!
1.Walianzisha na kujenga chuo kikuu Cha Dodoma,Hao
Hao viongozi wengine ambao hawakujenga ikulu wa kununua ndege wala kujenga mwabwa ya umeme walilifanyia nini taifa na wamelifanyia nini taifa kama siyo matapeli tu
Taahira ni Mama yako aliyekuzaa apata mimba kwa bahati mbaya baada ya kondomu kupasuka pale Kinondoni Makaburini.Yule mzee alikuwa tahira ila ni mungu wa wajinga wengi.
Pumbav mkubwa wewe kwani Nyerere alikuwa mjinga kuhamisha ikulu kupeleka Dodoma ? pia soma kitabu cha ujasusi wa kidola na kiuchumi cha Mwandishi Yericko ujue faida za kuwa na makao makuu katikati ya nchi.Apumzike nini huyo shetani aungue moto wa milele, km si yeye matrilioni ya watanzania yasingeangamia huko kwa wagogo. Dunia ya leo unahangaika kujenga makao makuu ya nchi ktk ya nchi? Moscow iko katikati ya Urusi? Na Washington iko katikati mwa USA? Tusijepata Rais mshamba tena km yule.
Kwahiyo kila kilichoko Tz kimejengwa na Magufuri?Hao
Hao viongozi wengine ambao hawakujenga ikulu wa kununua ndege wala kujenga mwabwa ya umeme walilifanyia nini taifa na wamelifanyia nini taifa kama siyo matapeli tu
Wana zaidi ya mavi, sasa miaka 5 afanye nini. Hakuna alichokamilishaKwahiyo kila kilichoko Tz kimejengwa na Magufuri?
Kweli wafuasi wa jiwe mna mavi kichwani.
Ni ngumu kumuonesha kipofu kitu.Shida ni ya magufuri au viongozi wenu wapenda starehe na anasa na wasiojishughulisha na maslahi mapana ya jamii? (Ceremonial leaders) waliofuata? Kosa la magufuli ni lipi hapo kama ninyi mmeshindwa kuendeleza? Mbona yapo mambo mengi na muhimu kayaacha na yote yanasuasua! Bwala la umeme hulioni? umeme hajapeleka vijijini Kwa kasi isiyo ya kawaida? Sgr huioni? hospitali na fly over huzioni? Watanzania wengi ni VILAZA na wajuaji wasiotambua hata kiongozi Bora anafananaje! Hopeless kbs!