Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Msukuma mjinga sana wewe.Sasa mtu akifa halafu akikandamizwa na udongo tani saba anapumzikaje?Kuwa makini na unachokiandika msugunsu wewe.Amani iwe nanyi wapendwa katika BWANA YESU KRISTO
Kwa mbali naliona pori la chamwino ambalo limikimbiwa kibabe sana
Watoto wa mjini huwa wanaishi mjini siyo porin
Pumzika kwa aman anko magu , polen watanzania kukosa viongozi wazalendo badala yake mna viongozi wala Bata tu
SAYUNI BOY
Huo ujenzi pia umeleta ajira au ulitaka hao mamilion ya wasio na ajira wawekewe pesa mifukoni?Hata Magufuri naye alikurupuka. Haiwezekani nchi ambayo wanachi wake hawana umeme wa uhakika ,%kubwa ya watu wake hawana maji safi na salama, miundo mbinu ya elimu ni chakavu, mamilion ya vijana wake hawana ajira ,alafu unachukua matirion ya pesa za walipa kodi na kwenda kujenga ikulu na majengo ya kifahari na kununua ndege ambazo mpaka sasa hazieleweki zinafanya nini zaidi ya kuleta hasara za mabilion ya pesa kila mwaka.
Kiufupi Tz tangu uhuru tuna ombwe kubwa sana la uongozi wenye uwezo wa kuchanganua na kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya raia.
Beira boy ni pm nakutafuta sana mzeeWewe kama viongozi wa dini wanatuma Majin kumlinda rais unazani Kuna lolote hapo
Kwa upande wangu nakubaliana na Hayati Magufuli. Kwa sisi wakazi wa DAR tunaona adha ya viongozi kuwa wengi huku mjini.Hata Magufuri naye alikurupuka. Haiwezekani nchi ambayo wanachi wake hawana umeme wa uhakika ,%kubwa ya watu wake hawana maji safi na salama, miundo mbinu ya elimu ni chakavu, mamilion ya vijana wake hawana ajira ,alafu unachukua matirion ya pesa za walipa kodi na kwenda kujenga ikulu na majengo ya kifahari na kununua ndege ambazo mpaka sasa hazieleweki zinafanya nini zaidi ya kuleta hasara za mabilion ya pesa kila mwaka.
Kiufupi Tz tangu uhuru tuna ombwe kubwa sana la uongozi wenye uwezo wa kuchanganua na kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya raia.
Mungu wa masikini nae ni mmoja wa matapeli hao anajenga ikulu dodoma afu wizara zinabaki dar!Hao
Hao viongozi wengine ambao hawakujenga ikulu wa kununua ndege wala kujenga mwabwa ya umeme walilifanyia nini taifa na wamelifanyia nini taifa kama siyo matapeli tu
Mungu wa masikini nae ni mmoja wa matapeli haoHao
Hao viongozi wengine ambao hawakujenga ikulu wa kununua ndege wala kujenga mwabwa ya umeme walilifanyia nini taifa na wamelifanyia nini taifa kama siyo matapeli tu
Mradi pekee ambao magufuri aliuanzisha na wenye tija moja kwa moja kwa mwana nchi wa kawaida ni bwawa la kuzalisha umeme na SRG kidogo kwa mbali iliyo baki yote ilikuwa ni ufujaji wa pesa za uma.Kwa upande wangu nakubaliana na Hayati Magufuli. Kwa sisi wakazi wa DAR tunaona adha ya viongozi kuwa wengi huku mjini.
Barabara kufungwa, foleni kutokana na misafara, traffic na polisi kila kona.
Nchi inapanuliwa kwa kuhamisha vitu vingine kwenda mikoa mingine ikizingatiwa DOM ni mji wa kiserikali na DAR n mji wa kibiashara. Dar wabak wafanyabiashara na DOM wabaki viongozi.,
Ndege za Tanzania ni nembo imara sana kwa nchi yetu, tunaona maraisi wankuja nchini kwetu na ndege za kukodi, ila sisi tuna ndege zetu. Haujui ni watu wangapi wanaenda India (one way) - wagonjwa, wanafunzi etc.
Kukosa viongozi wa kusimamia vision za viongozi waliotangulia ndio kinatuumiza sisi. Miradi yote inatija ila ikisimamiwa vizuri kwa weledi Mfano Ndege, SGR, Biashara, Wakulima...
Kuna inshu mzee nitext hapo pm au nitext kawaidaUnataka unichinje nini mzee mwenzagu?
Well, ukitaka kulinganisha, tungeanzia kwenye uhalisia wa maisha kitaa...achana na number za ccm.Bei ya bidhaa ambazo magufuri alizikuta kipindi ana ingia madarakani ndo alizo ziacha?
Kama mnaona au wanaona haukuwa uamuzi mzuri kununua hizo ndege, mnaweza kuziuza na pesa hizo zikafanya mambo mengine ya maana zaidi kwa taifa.Wastage of money! Ununuzi wa ndege nao ulikuwa ni wastage of money!
Umesomeka.Ww ndo kielelezo cha ukilaza wa watz hivi Magufuri alifanya kitu gani ambacho hakikuwahi kufanywa na marais wengine mpaka aonekane ni kiongozi wa kipekee kama nyinyi chawa wake mnavyo jaribu kuaminisha watu?
Ya kwamba JPM yeye alikuwa hapendi sitarehe?kama alikuwa hapendi sitarehe kwanini kutembelea pikipiki badala yake alikuwa anatembea rundo la msafara wa v8 na helicopter juu?
Au mboa hakwenda kujenga ikulu ya makuti badala yake akaenda kujenga ikulu ya mabilion ya fedha?
Yaani ww huoni tatizo juu ya hilo kabisa?
Yaani unajiita kiongozi wa wanyonge alafu unatumia matrion ya pesa kujenga majengo ya kifahari na kununa ndenge alafu anakataa kuwaajili mamilion ya watoto wa hao wanyonge anao jifanya ana watetea.
Hivi hapa Tz kuna kiongozi ambaye aliongoza alafu hakujenga barabara,mahospital, hakujenga vyanzo vya umeme, hakujenga shule nk ila vyote vilikuja kujengwa na Magufuri sio?
Mradi wa kusambaza umeme vijijini ulihasisiwa na kikwete na mpaka JPM anaingia madarakani vijiji zaidi ya 5000 tiyari vilikuwa na umeme wa REA na vifaa na pesa iliyo hitajika kuunganisha umeme vijiji 7000 zilikuwa zimesha lipiwa.
Alafu kingine usicho kijua ni kuwa mradi wa kusambaza umeme vijiji pesa nyingi zinatokana na ufadhili wa serikali ya Denmark na umoja wa Ulaya serikali ya ccm inatoa pesa kidogo sana.
Fly over alianzisha kikwete na Magufuri aliikuta ume fikia %55 yeye akaja kuimalizia tu ,daraja la Kigamboni alikuta limefikia %95 yeye akaja kumalizia %5 tu.
Mradi pekee ambao Magufuri aliuanzisha ambao ulikuwa amgusa mwananchi wa kawaida ni bwawa la umeme tu lakini mingine alikuwa anafanya kwa mihemuko na kutafuta umaarufu wa kisiasa kwa matutusa kama nyinyi.
Miradi yote aliyo ianzisha magufuri hakuna hata mmoja alio uacha umevuka hata %50 yote kaja kuikamilisa bibi kiziwi.
Nimekusoma bro.1.Walianzisha na kujenga chuo kikuu Cha Dodoma,
2.Shule za kata nchi mzima
3.Ujenzi na Usanifu wa BRT
4.Mtandao wa ujenzi wa Barabara kuunganisha mikoa
5.Ajira kila mwaka, watoto wa wakulima waliajiriwa5
6.Mikopo kwa elimu ya juu ilikuwa bwerere
7.Ukuaji wa sekta binafsi na mchango wake kiuchumi
8.Ujenzi wa daraja la Kigamboni na Malagarasi
9.Kuwatwanga M-23 na kyleta utulivu Kongo
10.Kumdhibiti kagame kupitia operation Kimbunga.
11. Komoro na kupinga mapinduzi
Hizo ni chache kati ya mengi ila hakukuwa na cheap propaganda
Hatujui vipaumbele vyetu. Je ni kujenga makasri ambayo hayatumiki toka yajengwe na kujidai kwamba yana Eneo kubwa kuliko makasri yote Afrika au ni kujenga miundombinu mizuri ili mazao ya wakulima yafikishwe sokoni? Hakika kupanga ni kuchagua bali tunachokichagua siku zote ni kwa manufaa ya watu wachache walioko matawi ya juu.Hata Magufuri naye alikurupuka. Haiwezekani nchi ambayo wanachi wake hawana umeme wa uhakika ,%kubwa ya watu wake hawana maji safi na salama, miundo mbinu ya elimu ni chakavu, mamilion ya vijana wake hawana ajira ,alafu unachukua matirion ya pesa za walipa kodi na kwenda kujenga ikulu na majengo ya kifahari na kununua ndege ambazo mpaka sasa hazieleweki zinafanya nini zaidi ya kuleta hasara za mabilion ya pesa kila mwaka.
Kiufupi Tz tangu uhuru tuna ombwe kubwa sana la uongozi wenye uwezo wa kuchanganua na kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya raia.
kwani hakukuanzishwa mradi wa umeme? tatizo bongo kila mtu na mpinzani tuu pasipo kujua hata anapinga niniHata Magufuri naye alikurupuka. Haiwezekani nchi ambayo wanachi wake hawana umeme wa uhakika ,%kubwa ya watu wake hawana maji safi na salama, miundo mbinu ya elimu ni chakavu, mamilion ya vijana wake hawana ajira ,alafu unachukua matirion ya pesa za walipa kodi na kwenda kujenga ikulu na majengo ya kifahari na kununua ndege ambazo mpaka sasa hazieleweki zinafanya nini zaidi ya kuleta hasara za mabilion ya pesa kila mwaka.
Kiufupi Tz tangu uhuru tuna ombwe kubwa sana la uongozi wenye uwezo wa kuchanganua na kufanya maamuzi kwa ajili ya maendeleo ya raia.