Hii milioni 20 ya Rais Samia mbona kama imetumika tofauti na maelezo? Tazama hapa

Hii milioni 20 ya Rais Samia mbona kama imetumika tofauti na maelezo? Tazama hapa

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610


Poleni sana Wananchi kwa kupoteza mchezo jana. Naamini nafasi bado ipo kama mtaenda na mipango na mbinu sahihi ugenini.

Nikirudi kwenye mada hapa, shida yangu ipo kwenye namna ya ahadi ya Rais kuhusu kutoa Milioni ishirini na namna ilivyofanyika.

Mjadala huu haufungamani na upande wowote tazameni wenyewe.
 
Kuna siasa nyingi zinaingizwa huko.
Hizo ni pesa za Serikali
 
Back
Top Bottom