Suley2019 JF-Expert Member Joined Oct 7, 2019 Posts 2,203 Reaction score 5,610 May 29, 2023 #1 Your browser is not able to display this video. Poleni sana Wananchi kwa kupoteza mchezo jana. Naamini nafasi bado ipo kama mtaenda na mipango na mbinu sahihi ugenini. Nikirudi kwenye mada hapa, shida yangu ipo kwenye namna ya ahadi ya Rais kuhusu kutoa Milioni ishirini na namna ilivyofanyika. Mjadala huu haufungamani na upande wowote tazameni wenyewe.
Your browser is not able to display this video. Poleni sana Wananchi kwa kupoteza mchezo jana. Naamini nafasi bado ipo kama mtaenda na mipango na mbinu sahihi ugenini. Nikirudi kwenye mada hapa, shida yangu ipo kwenye namna ya ahadi ya Rais kuhusu kutoa Milioni ishirini na namna ilivyofanyika. Mjadala huu haufungamani na upande wowote tazameni wenyewe.
HIMARS JF-Expert Member Joined Jan 23, 2012 Posts 70,791 Reaction score 98,334 May 29, 2023 #2 Kuna siasa nyingi zinaingizwa huko. Hizo ni pesa za Serikali
Slim5 JF-Expert Member Joined Jan 7, 2014 Posts 28,203 Reaction score 37,906 May 29, 2023 #3 Ni swala la Muda tu...
Sang'udi JF-Expert Member Joined May 16, 2016 Posts 9,138 Reaction score 22,236 May 29, 2023 #4 CCM wameiletea mikosi Yanga
K kyata JF-Expert Member Joined Jun 20, 2015 Posts 2,535 Reaction score 2,499 May 29, 2023 #5 Basi hizo hela upewe wewe
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 May 29, 2023 #6 Ngoja tuone...
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Joined Nov 13, 2009 Posts 47,706 Reaction score 69,281 May 29, 2023 #7 Sang'udi said: CCM wameiletea mikosi Yanga Click to expand... Tuliwaonya gongowazi wakapuuza