Hii mimba itakuwa ya nani?

Yani alivofanya huyo binti ndo mademu wa siku hz wanavotufanyia.....yani anakuja kwako kesho kutwa anampa mwingine....!!! Umalaya umekua fasheni.

But to the matter,,,,Hiyo mimba ni ya jamaa wa pili
 
Mwambie kijana A kuwa una mimba yake, mwambie pia kijana B kuwa una mimba yake atakaesomeka na kubeba majukumu ndiyo huyo huyo mpe huo mzigo
 
Kwa Hisani ya watu wa Wamerekani, Kijana Brighton, Boniphace, Boloyang anahusika, kijana Alphonce hausiki kabisa.

Ila huo ni ukatili mkubwa, why ulale na vijana wawili ndani ya muda mfupi hivyo
 
Nimewahadithia wanangu huku kuzimu hadi wamebaki midomo wazi...

Mmoja ameshangaa zaidi na kudai hata zile sperm za jamaa wa mwanzo hazijakufa tayari akazipokea zingine...
 
Nature..mwanaume kawaida, mwanamke haitakiwi.

Ukitoa mambo za leisure, basically sex iko kwa ajili ya kuzaana, mwanaume mmoja anaeza tia mimba wanawake makumi ndani ya mwezi, ushaona wapi mwanamke mmoja akatiwa mimba na wanaume makumi?
Ila si unajua mimba moja ina baba 10 mkuu
 
Hivi tabia ya kujifanya ni rafiki Yako kumbe ni wewe, humu si tuna fake ID kwani ukisema wewe kuna shida gani?
 
Hivi tabia ya kujifanya ni rafiki Yako kumbe ni wewe, humu si tuna fake ID kwani ukisema wewe kuna shida gani?
Asa si na mimi ndo nashangaa kwanini iwe ivo wakati humu ni fake id
 
Duu utakuwa malaya pro max haloo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ