Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahy hapo DNA ndo itakuwa mwarobaini wa hiyo issueHapa sasa ndo shida inapoanza
😅 😅 😅 duh kuna wale wana DNA za macho sa itakuaje jamani tusijekuumbuka 😁😁unasema ni B mtoto anakuja kuzaliwa anafanana na AKwahy hapo DNA ndo itakuwa mwarobaini wa hiyo issue
😃😃Kuna watu Huwa wanafyatua kitu copyright kuanzia sura mpaka kimo, hapo ndo mtaumbuka😃😅 😅 😅 duh kuna wale wana DNA za macho sa itakuaje jamani tusijekuumbuka 😁😁unasema ni B mtoto anakuja kuzaliwa anafanana na A
😅 😅 😅 sasa unatushaurije mkuu😂maana naona mambo magumu😃😃Kuna watu Huwa wanafyatua kitu copyright kuanzia sura mpaka kimo, hapo ndo mtaumbuka😃
😅 😅 😅 hii issue ya p2 kudunda ndo inaleta utata sanaSometimes p2 zinadunda lakin ukiwa wa mwisho lazima uangushiwe jumba bovu
😃Kuweni tayari Kwa lolote tu😅 😅 😅 sasa unatushaurije mkuu😂maana naona mambo magumu
Ila si unajua mimba moja ina baba 10 mkuuNature..mwanaume kawaida, mwanamke haitakiwi.
Ukitoa mambo za leisure, basically sex iko kwa ajili ya kuzaana, mwanaume mmoja anaeza tia mimba wanawake makumi ndani ya mwezi, ushaona wapi mwanamke mmoja akatiwa mimba na wanaume makumi?
Mmmh noma hiyoooMkuu tuje tufanye JARIBIO
Hahaha mkuu Wanawake wanapenda liuboo likubwa .
tena akishajua unalikubwa hakuzungushi
Habari wanajf natumaini muwazima na mnaendelea vema na majukumu ya kila siku,kwa wale wenye changamoto yoyote poleni
Husika na kichwa hapo juu,Ipo hivi nina rafiki yangu ni mjamzito ila sasa haelewi mimba ni ya nani kati ya vijana hao wawili aliofanya nao tendo.
Kwa maelezo yake anadai aliingia period tarehe6 mwezi wa pili tarehe16 akaenda kuonana na kijana A huyo alkuwa nae usiku mzima asubuhi wakaamkia baada ya hapo akanywa p2
Tarehe20 akaenda kuonana na kijana B wakafanya yao sasa binti amenasa na anashindwa kuelewa mimba ni ya nani japo kwa kijana A alitumia p2 ila kwa kijana B baada ya tendo hakuchukua tahadhari yoyote. Tusaidieni wakuu kwa hiyo situation ilivyo hapo mimba itakuwa ya nani?
Na je mtu anaweza tumia p2 na akapata mimba kweli yan tuseme labda p2 imemsaliti au mimba ni ya kijana B
Najua humu hakuna kinachoshindikana wakuu😁
Asa si na mimi ndo nashangaa kwanini iwe ivo wakati humu ni fake idHivi tabia ya kujifanya ni rafiki Yako kumbe ni wewe, humu si tuna fake ID kwani ukisema wewe kuna shida gani?
😅 😅 😅😃Kuweni tayari Kwa lolote tu
Duu utakuwa malaya pro max halooHabari wanajf natumaini muwazima na mnaendelea vema na majukumu ya kila siku,kwa wale wenye changamoto yoyote poleni
Husika na kichwa hapo juu,Ipo hivi nina rafiki yangu ni mjamzito ila sasa haelewi mimba ni ya nani kati ya vijana hao wawili aliofanya nao tendo.
Kwa maelezo yake anadai aliingia period tarehe6 mwezi wa pili tarehe16 akaenda kuonana na kijana A huyo alkuwa nae usiku mzima asubuhi wakaamkia baada ya hapo akanywa p2
Tarehe20 akaenda kuonana na kijana B wakafanya yao sasa binti amenasa na anashindwa kuelewa mimba ni ya nani japo kwa kijana A alitumia p2 ila kwa kijana B baada ya tendo hakuchukua tahadhari yoyote. Tusaidieni wakuu kwa hiyo situation ilivyo hapo mimba itakuwa ya nani?
Na je mtu anaweza tumia p2 na akapata mimba kweli yan tuseme labda p2 imemsaliti au mimba ni ya kijana B
Najua humu hakuna kinachoshindikana wakuu😁