Hii miradi siyo ya Hayati Magufuli, ni ya nchi. Waziri Makamba kuwa makini sana

Taasisi mbona zipo tayari, tatizo ni watu walio kwenye hizo taasisi wengi wanawaza upigaji tu, hawafanyi kazi kwa weledi na uzalendo. Utashangaa taasisi muhimu Kama TAKUKURU baadhi ya watumishi pia wanakula rushwa.
Kwa hiyo ishu siyo kutengeneza taasisi tu bali kazi kubwa inayotakiwa kufanyika ni kubadili mindset ya watanzania, tupate watu wenye weledi na wazalendo kweli kweli wataoweza kusimamia hizo taasisi.
 
ni kweli na wengi tunaamini katika mtu kuliko system, ila lakin wala rushwa wapo sn ht kwa wenzetu lkn system zao zinawadhibiti? ht netanyahu ana kesi mahakamani ila kwetu huku sisi tunawapa kinga yaani ni sisi wenyew tunajirudisha nyuma
 
Sijui nikusome vipi Fatma Zehra, kama mchambuzi makini au ... (nimekosa maneno ya staha kuyajaza hapo).

Nakumbuka, nimewahi kukusoma humu JF, angalau mara moja, bila shaka jungu lako linao ukoko wa kutosha.

Ninakubaliana na wewe, huyo kaka yako akichezea lile bwawa haponi. Kama hana akili ya kupambanua na kujua kwamba pamoja na ukichaa wa Magufuli, kuna miradi ambayo inampambanua kwa ujasiri wake kuitekeleza.

Kuna mambo mengi umeyaweka mule, natamani kuyagusa moja moja, lakini ngoja niyaweke pembeni kwa sasa.
 
Kuchafuana kumeanza mapema sana. Hapa si utendaji wa January, hapa suala ni kwa nini January amekuwa Waziri na anapata platform ya kisiasa. Walitaka asiwe na nafasi yoyote ya uwaziri ili afutike kisiasa. Hapa ndipo unaposikia Usiye mpenda kaja. Sasa vita ni vita mura wanataka wammalize.
 
Umenikumbusha mwaka 2005 Magufuli aliulizwa na Waandishi wa Habari kama atagombea Urais akawajibu kwamba mimi naendelea kujenga mabarabara sigombei urais. Wakati anayasema hayo alikuwa site. Kwa kweli Magufuli nadhani hakujengwa na mtu bali alijijenga mwenyewe na mwishowe kabisa ENL akafanya yake. Mengine imebaki historia
 
Kila crane na kazi yake mkuu, si kila crane inaweza kufanya kazi katika mazingira tofauti tofauti,
 
Sizani kama amekuelewa
 
Leo ndio mnajua kuwa miradi ni ya serikali(umma) na haikua ya mtu fulani.ndege za fulani utafikiri hela imetoka mfukoni kwake.
 
Aisee mimi.mwenyewe nawashangaa. Nchi iligeuka kuwa mto wa damu. Mauaji kila mahali wameingia watu waungwana lakini kelele kila kona. Watz wengi wanaendeshwa na wivu na roho mbaya.
Nyie mlizoea kunyonya watu damu na kuwaacha wamekondeana huku mkila bata sas nyie mkikatwa vichwa mnapiga kelele eti nchi ilimwagwa damu,
Nyie mnaowanyonya hiyo dam mnaona ni sawa sio?
 
Leo ndio mnajua kuwa miradi ni ya serikali(umma) na haikua ya mtu fulani.ndege za fulani utafikiri hela imetoka mfukoni kwake.
Kwa hiyo kwa akili yako ndogo ukajua ni zake!!.
 
Kuna ka taarifa fulani kabaya kanakuja kwa baadhi ya watu,ngoja leo nisikaseme!

Natamani wangelitambua wakati uliofaa!
 


Hii ni kweli kabisa Mkuu, Well Said !! Na ndio maana JPM baada ya kupata Uraisi akaungana na Team Lowasa Wakina Rostam Aziz, Bashe na Cornel Apson
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…