Hii ndio aina ya wanaume wengi wa JF MMU, wanaune mko vizuri mno

Asilimia kubwa niliokutana nao mm kwaajili ya story 2 tatu kwenye mikoa tofauti tofauti ni hohehahe....na hawajielewi....sifa nyiingi wakati hamna lolote na inaonekana wanatafuta kulelewa....... Kasoro m1 tu ndo alikua anajitambua na anajiweza.....na makusudi yote niliyofanya lakini bado alilipa Bill [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]na anajijua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ha ha umezingua rafiki kwani nini msinge share cost mimi tukikutana for a meeting lazima to share cost
 
Heri yangu mimi nimejipambanua kazi yangu na ujuzi wangu na makazi yangu
Hahahaa. Lakini cha ajabu kwenye hizo nyuzi za aina hiyo watu ndio wanajaa mbaya kuonyesha kwamba hizo kamba ndio burudani kwao

Jr[emoji769]
 
ha ha umezingua rafiki kwani nini msinge share cost mimi tukikutana for a meeting lazima to share cost
Alikataa kabisa akasema hawezi kulipiwa na mdada.......na nilichafua meza haswaaa..... lakini wale wengine ulikua ukisema acha usijali....., asante inamtoka haraka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mnisamehe bure jaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kiungwana bill ikija unaisoma then unatoa misimbazi kadhaa inakujengea value kama mwanamke
 
usijali nakuzingua m
wanaume ni lazima ulipe bills inakujengea heshima
 
na mnaagizaga stuff hata ambazo amlagi mara kwa mara,ngoja nikuchekesha kuna mmoja nilimualika mahali akafakamia mavyakula km ana njaa yote na masavana nashukuru siku hiyo nilikuwa mtamu alichemka mwenyewe ila ni vizuri ukitwa mahali uwe na balance yako pembeni lolote laweza kutokea
 
kiungwana bill ikija unaisoma then unatoa misimbazi kadhaa inakujengea value kama mwanamke
Achana na kutoa misimbazi kadhaa nilitaka kuilipia yote..... mshkaji alikataa yan mpaka ikataka kua kama ugomvi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] kati ya members kama 30 na kitu niliokutana nao...... At least alikua real

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sound good mwamba yuko real kama mm ha ha
 
Kuna wengine ulikua ukiagiza kitu yy anabaki kukutizama halafu unasikia akiagiza maji makubwa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] ukiuliza vip mbona maji anakwambia yuko vizur...... Jaman watu wa humu wanavituko sana yan sanaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
halafu katika umri wangu ambao ninao mwanaume kama mfukoni aupo vizuri usimtoe mtu utapata aibu,na wanawake wanasaikolojia kubwa sana kama hauko vizuri watakujua watu wanatakaga aibu za kujitakia
 
ha ha kaka wewe ni mganga wa tiba mbadala na kwako panajulikana na bado wanakuja balaa sana
[emoji2][emoji2][emoji2]utajiri wangu tunguli... makazi yangu kilingeni Msata... Usafiri wangu..!? [emoji12][emoji848][emoji40]

Jr[emoji769]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…